Kwa Dar hii ni kituko ila kwa Arusha hii ni zaidi ya fashion

Hapo vipi?

Najua sababu ya hawa ni weupe utawasifia na hizo oversized



[emoji817]
Ila arusha bhana,vjana wa kule huwa wanaswaga zao za kpekee,afu ktu nilichokpenda kula,kdume akgundulika ni shoga watamsaka na atakula mikwaju ya kutosha,sio kama dar mashoga ni watu huru
 
Ila arusha bhana,vjana wa kule huwa wanaswaga zao za kpekee,afu ktu nilichokpenda kula,kdume akgundulika ni shoga watamsaka na atakula mikwaju ya kutosha,sio kama dar mashoga ni watu huru
Aisee kule ni nenda kwa usalama watu hawataki mambo ya kijinga nawapenda sababu wana ile solidarity wanakumbatia wanachokiamini mpaka unashtuka alafu watakilinda kwa nguvu zote na kujivunia chao.

Kwa kifupi hawana usnichi yaani ni peace and love. Hawana neno na mtu ila ukiwafuatafuata utahama mkoa sababu wana camps ambazo wanasystems za kubadilishana taarifa na uzoefu (intelejensia).

Ukiwazingua kijenge ukakimbilia ungaleloo watakunasa tu hawashindwi Kitu [emoji23] [emoji23] [emoji23]



[emoji817]
 
Kitu kimoja wanacho nishangaza.....up stairs wako vizuri. Wako well informed. Tena siyo information kama za 'WASAFI' wa Makonda, maisha Wema Sepetu. Chalii ya Chuga ina information za maana na weledi.
Ha ha haa!..si unaona wamehitimu hapo wanapata shule kwanza hawana masihara na kitabu.kaka yao nick wa pili ana masters anatafuta PhD sasa wanafuata njia.
 
arusha ni kwa hovyo hovyo sana wao ni ugoro bangi na viroba tu
Si bora huku ni bangi na viroba na bado raia gado,kuliko vijana wenu huko dar,mtt wa kiume unashindwa kumtofautisha na dada ake,nice mnajivunia vijana wenu like [HASHTAG]#james[/HASHTAG] delicious
 
Ha ha haa!..si unaona wamehitimu hapo wanapata shule kwanza hawana masihara na kitabu.kaka yao nick wa pili ana masters anatafuta PhD sasa wanafuata njia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa kweli Machalii wanaonekana wamewekeza sana kwenye elimu wanatekeleza kauli mbiu kwa vitendo

Elimu elimu elimu



[emoji817]
 
Exactly,hapo ukute ana pikpik sjui katoboa eksoz inatoa sauti kubwa,afu mikogo mingi sana,noma sana hawa majamaa
Unakuta amejining'iniza hapo juu ya xlr (sio toyo) exost inatoa mngurumo kama kiwanda cha kuvunjia miamba amevaa ndula kubwaa hiyo pose aliyokaa hapo juu ya bike utasema amesinzia



[emoji817]
 
Alafu wanathani hii style imeanza leo hii ipo tokea miaka ya 90 inaenda ikiboreshwa tu mtu amepiga pamba zake yeye mwenyewe anajiona ametoka babkubwa nashangaa mtu wa pembeni anamaind lifestyle ya mtu mwingine.



[emoji817]
 


we kweli ni mgeni na Chuga,viroba,bangi vimeanzwa kunywa leo?,watu tokea wayback wanagonga mipetrol hakuna kupigwa gap na hiyo mikoa ,ndio kwanza mabilionea wanazidi kuongezeka,anyway,hatupo huko,tupo kwenye mavazi hapa,narudia tena,sioni tatizo,nachoona ni kwamba una chuki binafsi tu na machalii wa chuga,inawezekana uliingia kwenye timing zao manake wale hawatakagi ujinga ujinga kama madogo wa mikoa yenu
 
Sielewi hawa ni wanafunzi au wapiga deki stendi ya chuga?hakuna mwanafunzi anaweza vaa huo upuuzi hata kule kwenye baridi mpaka watu hawatoki nje hawavai huo uchafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…