Wakati fulani kwenye maisha yangu ya dhambi nilitokea kumpenda msichana aliyekuwa akiabudu kwenye kanisa moja la katoliki pale Msimbazi. Huyu binti alikuwa mkatoliki safi aliyenyooka. Ikawa ananisihi sana hata kama mimi sio mkatoliki niwe najiunga nae mara moja moja kwenye ibada kanisani kwao. Baada ya danadana nyingi kuna siku nikaamua ngoja niende nikasali. Nakumbuka hata sikumjulisha na ulikuwa ni uamuzi wangu binafsi.
Kwa kweli nilivyongia kanisani misa ya kwanza nilipata na mshangao mkubwa na nikatafakari sana kuhusu kanisa katoliki. Ni tofauti kabisa na nilivyokuwa nilifikiri. Kwanza pale Msimbazi hawaruhusu kabisa matumizi ya simu ndani ya ibada. Waumini wote huzima au kuweka silent simu zao. Hii ni tofauti kabisa hata na kanisa nililokuwa nikiabudu. Makanisa mengi siku hizi wamenasa kwenye mtego wa teknolojia.
Wengi wanajidanganya kuruhusu simu kwa kigezo cha kusomea biblia kwenye simu. Shetani kwa ubunifu wake akajua kabisa akiwaletea hii hoja ya biblia atafanikiwa kulivuruga sana kanisa kwasababu wengi wataanza kuchat na kurekodi matukio. Inafikia hatua watu wanasali kuna mpuuzi anachukua video. Kanisa la Msimbazi wameukwepa huo mtego wa shetani.
Ingawa sio sheria ya kanisa lakini pale Msimbazi kuna safu ya wanaume na wanawake.. yaani jinsia hizi mbili kila mmoja ina upande wake. Lakini kwa sababu sio rasmi inatokea kuona wanawake wachache upande wa wanaume na wanaume upande wa wanawake.
Mara nyingi wanakuwa ni wale wachelewaji. Huu utaratibu unafanana na waislamu ambao ni utaratibu bora kabisa kimaadili. Binafsi nikikaa tu kwenye kiti kwa dakika 20 bila kujishughulisha lazima isimame.. sasa chukulia umebanana na pisi iliyonona ibadani si concentration na focus inapotea? Kanisa katoliki Msimbazi nawapongeza.
Baada ya ibada nilifarijika sana na kujikuta nahudhuria mara kwa mara. Na kwa bahati nikapata manzi mwingine kulekule kanisani aliyekuja kusababisha nikaachwa na manzi wangu wa kwanza. Kibaya zaidi hata huyu manzi mpya tuliachana nikaanza kutangatanga.
Kwa kweli nilivyongia kanisani misa ya kwanza nilipata na mshangao mkubwa na nikatafakari sana kuhusu kanisa katoliki. Ni tofauti kabisa na nilivyokuwa nilifikiri. Kwanza pale Msimbazi hawaruhusu kabisa matumizi ya simu ndani ya ibada. Waumini wote huzima au kuweka silent simu zao. Hii ni tofauti kabisa hata na kanisa nililokuwa nikiabudu. Makanisa mengi siku hizi wamenasa kwenye mtego wa teknolojia.
Wengi wanajidanganya kuruhusu simu kwa kigezo cha kusomea biblia kwenye simu. Shetani kwa ubunifu wake akajua kabisa akiwaletea hii hoja ya biblia atafanikiwa kulivuruga sana kanisa kwasababu wengi wataanza kuchat na kurekodi matukio. Inafikia hatua watu wanasali kuna mpuuzi anachukua video. Kanisa la Msimbazi wameukwepa huo mtego wa shetani.
Ingawa sio sheria ya kanisa lakini pale Msimbazi kuna safu ya wanaume na wanawake.. yaani jinsia hizi mbili kila mmoja ina upande wake. Lakini kwa sababu sio rasmi inatokea kuona wanawake wachache upande wa wanaume na wanaume upande wa wanawake.
Mara nyingi wanakuwa ni wale wachelewaji. Huu utaratibu unafanana na waislamu ambao ni utaratibu bora kabisa kimaadili. Binafsi nikikaa tu kwenye kiti kwa dakika 20 bila kujishughulisha lazima isimame.. sasa chukulia umebanana na pisi iliyonona ibadani si concentration na focus inapotea? Kanisa katoliki Msimbazi nawapongeza.
Baada ya ibada nilifarijika sana na kujikuta nahudhuria mara kwa mara. Na kwa bahati nikapata manzi mwingine kulekule kanisani aliyekuja kusababisha nikaachwa na manzi wangu wa kwanza. Kibaya zaidi hata huyu manzi mpya tuliachana nikaanza kutangatanga.