Kwa dhuluma ambayo Jakaya Kikwete alimfanyia Mzee Lowassa, ataumaliza uzee wake bila amani

Halafu anajiita mcha Allah!
Mama SSH ajihadhari sana na huyu mtu!
Kwa magufuli alisema hayahya anayosema kwa Lowasa!
 
Ila lazima ukubali Lowasa mpaka umauti unamkuta hakuwa na bifu na CCM...Alisharudi na walimalizana japo maelewano madogo hakuna ila sip bifu na CCM.
 

Hotuba yake ni fupi and clear
JK kabeba msalaba tu
But taifa halikumtaka lowasaa
 
Kikweti hakumdhurumu lowasa, Bali aliwadhurumu watanzania haki ya kutawaliwa na raisi aliye mchaguwa wao. Kwa maneno kikwete ndiye aliye uwa watu wote walio uliwa na magufuli kwenye utawala wake. Mpaka Leo uonevu na wizi wa Mali, uuzwaji wa bandari na Mbuga za wanyama kwa warabu yote chanzo chake ni dhuruma ya Kikweti ya mwaka 2015.
 
Wewe ndiye umepanic. Mimi mara zote first post inakuwa na makosa halafu na edit.

Wewe ndiye umepanic.
 
Tunajichanganya wapi?

Ukisema tunajichanganya bikanku point hapa ndipo yunapojichanganya, na kusema mambo generally tu ambayo yapo kwenye rekodi, na wewe unatuchanganya zaidi.
 
lowassa hakuhitaji sana msaada wa kikwete, kikwete analaumiwa kwa kupindisha mchakato ndani ya ccm ili kumfitini na kumdhibiti rafiki yake asipate uongozi
 
Nilichogundua
Kile alichosema ,mako da,kuwa EL alikuwa na kifua kipana!

Bora angeongeaga tu ,kukaa kwake kimya kumwacha balaa ,kunaumiza wasio husika,etc...
Japo Kwa muda ule ilikuwa sawa,ila duh,(km ni kweli)kusingiziwa kunauma unakaa na maumivu moyoni yanayoweza kudhohofisha afya .
 
Mbona ANC ilimchagua Jacob Zuma kuwa mgombea wake akiwa ananuka rushwa na ufisadi mtupu? Kwenye de facto monoparty kama hii yetu chama kinaweza kumpa mtu yeyote nafasi yoyote wanayotaka
.kuu,

Rwanda wameuana mauaji ya kimbari.

Na sisi tuuane mauaji ya kimbari kwa sababu Rwanda waliuana?

What kind of dilapidated logic is this?

Two wrongs do not make a right.
 
Ni siri iliyo wazi kwamba mfumo huo mzima unafuata maelekezo, muongozo na matamanio ya mwenyekiti
Badilisheni mfumo sasa, msimlaumu Kikwete.

Kwa sababu kama mfumo haujabadilika, hata Kikwete akifa, akibaki mwingine anaweza kuwachezea vile vile.

Tunaambiwa Nyerere alimkata Kikwete kwa kumbadilishia sheria wakati mchezo unaendelea. Tunaambiwa Kikwete alimkata Lowassa. Kama hayo ni kweli, Hili ni tatizo la kimfumo, si la mtu mmoja.

Tatizo la Watanzania wengi wanaangalia watu, badala ya kuangalia mfumo.
 
Janaba,,[emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…