Kwa documentary ya Pele hii iliyotoka nitakuwa mpuuzi kuendelea kumlinganisha na watoto wadogo kina Messi

Kwa documentary ya Pele hii iliyotoka nitakuwa mpuuzi kuendelea kumlinganisha na watoto wadogo kina Messi

Documentary iliyotolewa na FIFA inaonesha kwamba Pele mambo yote aliyofanya Ronaldo de Lima el Phenomenon kayafanya miaka 50 iliyopita, kweli inamaliza ubishi wote wa wanazi kina SHAFY DAUDA,

Mambo alifanya Lionel Messi uwanjani yamefanywa na Pele miaka ya zamani sana na mengine Messi hajayafanya

Mambo aliyofanya Zinedine Zidane Uwanjani yote wamecopy Kwa Pele ,

Mambo aliyofanya Cristiano Ronaldo yote kayafanya Pele miaka 50 iliyopita na mengine Ronaldo hajayafanya mpaka sasa,


FIFA wame apologize Kwa kuchelewa kurelease baadhi ya video pia na ubora wake haukuwa mzuri lakin wamefanya kuonesha kila anachofanya mchezaji wa sasa na waliopita wanalinganisha na matukio ya Pele uwanjani,

Video imeeleza kila kitu Kwa undani kabisa

Hapo utaona Luis figo, Ronaldo original, Roberto Carlos, Zidane, Fredrik Ljumberg , Messi n Ronaldinho matukio na mambo walofanya wanaonesha walipoyacopy Kwa pele,


Pitia video hii Kwa umakini,


Ukimaliza umpe salute Pele



hapo zijaiona R - Zidane........zote pele amepiga ila R - Zidane zijaiona
 
Watu tuna akili 'vipande vipande'.Kwahiyo unataka kusema mazoezi ya wachezaji hao wanategemea clip za Pele?
Hizo hata huku kijijini wapo wanaojua kupiga,nao wameiga kwa Pele?
Wewe kwanini usiige na ukawa kama Pele?na mimi nikiiga nitakuwa kama yeye?
 
Kuna Ile ya mwaka 2010 Ilikuwa iwe ya Iniesta wakampa Messi,
Iniesta alikuwa na kila kitu akichokuwa nacho Messi , na akamzidi kombe la Dunia na Euro kombe la mabara wakati Messi na alijentina yake walichemka Copa America, Lakin wasiojua vigezo wakampa Messi,
Kisa ana Uefa hahaha dah, wakati na Iniesta anayo, na ndo aliibeba spain kubeba ubingwa Goli lake la 86"

Ya mwaka 2012 wakampa Messi Badala ya Xavi

Xavi alikuwa na Euro , Eufa, La Liga, TOP assits, kiungo mwenye magoli na assists kuzidi wenzake, Lakin walikalili jina messi, ambaye hakuwa na sifa za Xavi,

2013 wakampa Ronaldo Badala ya Ribery
alikuwa na kila sifa ya Kupata hii tuzo
2014 wakampa Ronaldo Badala ya Neur Emanuel
Mwenye
Uefa , World cup, Bundesliga, Ame conceed magoli machache kuliko kipa yeyote, na amekuwa man of match 80% ya mechi alizocheza, duh aisee wanaokalili ushindani wa Ronaldo na Messi wakaidondosha Kwa Ronaldo,


Lakin wanaoelewa watakataa mi ni shabiki wa Messi na Barcelona tangu tuko na Henrik Larson, Kina Kruivert, Romario, Ronaldo de lima (Original)

Lakin ukweli usemwe,

Na sasa Natabili Coutinho anaweza Tisha,
Ulipogusia ya Ribery na Cristiano nikajua unafuatilia soka. Big up
 
Documentary iliyotolewa na FIFA inaonesha kwamba Pele mambo yote aliyofanya Ronaldo de Lima el Phenomenon kayafanya miaka 50 iliyopita, kweli inamaliza ubishi wote wa wanazi kina SHAFY DAUDA,

Mambo alifanya Lionel Messi uwanjani yamefanywa na Pele miaka ya zamani sana na mengine Messi hajayafanya

Mambo aliyofanya Zinedine Zidane Uwanjani yote wamecopy Kwa Pele ,

Mambo aliyofanya Cristiano Ronaldo yote kayafanya Pele miaka 50 iliyopita na mengine Ronaldo hajayafanya mpaka sasa,


FIFA wame apologize Kwa kuchelewa kurelease baadhi ya video pia na ubora wake haukuwa mzuri lakin wamefanya kuonesha kila anachofanya mchezaji wa sasa na waliopita wanalinganisha na matukio ya Pele uwanjani,

Video imeeleza kila kitu Kwa undani kabisa

Hapo utaona Luis figo, Ronaldo original, Roberto Carlos, Zidane, Fredrik Ljumberg , Messi n Ronaldinho matukio na mambo walofanya wanaonesha walipoyacopy Kwa pele,


Pitia video hii Kwa umakini,


Ukimaliza umpe salute Pele



Acheni kumfananisha Messi na vitu vyakijinga
 
Documentary iliyotolewa na FIFA inaonesha kwamba Pele mambo yote aliyofanya Ronaldo de Lima el Phenomenon kayafanya miaka 50 iliyopita, kweli inamaliza ubishi wote wa wanazi kina SHAFY DAUDA,

Mambo alifanya Lionel Messi uwanjani yamefanywa na Pele miaka ya zamani sana na mengine Messi hajayafanya

Mambo aliyofanya Zinedine Zidane Uwanjani yote wamecopy Kwa Pele ,

Mambo aliyofanya Cristiano Ronaldo yote kayafanya Pele miaka 50 iliyopita na mengine Ronaldo hajayafanya mpaka sasa,


FIFA wame apologize Kwa kuchelewa kurelease baadhi ya video pia na ubora wake haukuwa mzuri lakin wamefanya kuonesha kila anachofanya mchezaji wa sasa na waliopita wanalinganisha na matukio ya Pele uwanjani,

Video imeeleza kila kitu Kwa undani kabisa

Hapo utaona Luis figo, Ronaldo original, Roberto Carlos, Zidane, Fredrik Ljumberg , Messi n Ronaldinho matukio na mambo walofanya wanaonesha walipoyacopy Kwa pele,


Pitia video hii Kwa umakini,


Ukimaliza umpe salute Pele



Amna kitu hapo beki zenyewe mbona hazikabi zinaangalia tu
 
Daaa...kweli bora wameomba msamaha kutofanya compilation vzr....hii mutu ilikuwa jiniasi
Ila inaonesha neimar analeta vitu vingi vya kwake.....may be anaweza kuwekwa levo moja na legend pele
 
Huenda jamaa alikuwa hajazaliwa au alikuwa mdogo sana kujua kwamba hawa jamaa walishindanishwa kwenye tunzo ya mwanasoka bora wa karne ya 20 mwaka huo
Hata hapa bongo ccm walikataa vyama vingi lkn zilipokaa akili kubwa zikawanyima wengi ambao walikalia ushabiki bila utaalamu.....sio kila wengi wanapewa hata km ni wehu
 
UN ilisema pele ndio mwanamichezo wa karne mbona mnashupalia popular votes za fifa ambazo 90% zilipigwa ulaya tu alipoishi maradona
P
Hamuongelei mashirikia ya habari kma reuters yaliyosema pele hana mfano

Hamuongelei kamati ya Olympic IOC???

Ina maana kote huko pele kabebwa
Hata hapa bongo ccm walikataa vyama vingi lkn zilipokaa akili kubwa zikawanyima wengi ambao walikalia ushabiki bila utaalamu.....sio kila wengi wanapewa hata km ni wehu
 
Duh jamaa si mchezo, vijana wengi hawafahamu haya mambo...Fifa tupeni vitu zaidi vya mashujaa wetu katika soka ili tuwajue zaidi
 
Bruce Lee
Mohamed ali (the great )
Bob marley
Michael Jordan
Michael Jackson
Pele wa brazil
Hawa viumbe walifanya yao endeleeni tu kuwafananisha ila kwangu mimi walikuwa na vipaji na vipawa vya hali ya juu sana
Kipaji cha Bruce Lee ni kipi mkuu
 
Kipaji cha Bruce Lee ni kipi mkuu
Tizama moja kati ya filamu zake enter the dragon humo utawakuta akina Jim kelly na John saxon alifanya mambo yake. Kipaji au neema ya kitu ukiwa umepewa na kisha ukakifanyia mazoezi unazidi kuwa mzuri. Hata leo hii baadhi ya watu husema ni zawadi toka kwa mungu. Watu wengine wanafanya lakini hawaendi mbali au vizuri zaidi kuliko weye.
 
Hahaa wabongo bana 😀😀😀😀 yote kujifariji tu. Messi amewakaba koo sio mchezo 😀😀😀😀😀
Hebu tuambie Messi amemzidi pele kiuchezaji kwenye nyanja ipi labda?..Achana na hayo matuzo sijui ya FIFA,kipindi cha kina Pele kuna uwezekano pia hayakuwepo.Pia siku hizi yameshaingiliwa na wafanyabiashara...Tuambie kiuchezaji Messi amemzidi hata Ronaldinho wapi?
 
Back
Top Bottom