Kwa faida ya Tanganyika ijayo ipo haja kwa watanzania wote wafurahie Tundu Lissu kuomba nafasi ya Uenyekiti Taifa wa CHADEMA

Kwa faida ya Tanganyika ijayo ipo haja kwa watanzania wote wafurahie Tundu Lissu kuomba nafasi ya Uenyekiti Taifa wa CHADEMA

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Naomba kuwasilisha ndugu wana jukwaa, Taifa hili linapita katika nyakati ngumu sana awamu hii ya 2015-2025, mengi yametokea na yanaendelea kutokea, Lissu ata set precedence ya mambo yanayokuja mbeleni kwenye maeneo kadhaa ambayo sipaswi kuyasema.

Demokrasia ndani ya CHADEMA ni chachu ya demokrasia ndani ya CCM.

Mungu wa mbinguni awape maisha marefu ili mpate kuyashuhudia maono yangu kwa kibali cha Mungu wetu na kwa niaba ya Taifa na wananchi.

Kwa pamoja tutashinda na Mungu ampe maisha marefu Jakaya M Kikwete. Chachu ya demokrasia ni haki na uhuru.

Shukrani kwa hayo machache

Pang Fung Mi
 
Naomba kuwasilisha ndugu wana jukwaa, Taifa hili linapita katika nyakati ngumu sana awamu hii ya 2015-2025, mengi yametokea na yanaendelea kutokea, Lissu ata set precedence ya mambo yanayokuja mbeleni kwenye maeneo kadhaa ambayo sipaswi kuyasema.

Demokrasia ndani ya CHADEMA ni chachu ya demokrasia ndani ya CCM.

Mungu wa mbinguni awape maisha marefu ili mpate kuyashuhudia maono yangu kwa kibali cha Mungu wetu na kwa niaba ya Taifa na wananchi.

Kwa pamoja tutashinda na Mungu ampe maisha marefu Jakaya M Kikwete. Chachu ya demokrasia ni haki na uhuru.

Shukrani kwa hayo machache

Pang Fung Mi
Unadhani watunwote wanapata vioato vyao Kwa kutumia mdomo/siasa?
 
Naomba kuwasilisha ndugu wana jukwaa, Taifa hili linapita katika nyakati ngumu sana awamu hii ya 2015-2025, mengi yametokea na yanaendelea kutokea, Lissu ata set precedence ya mambo yanayokuja mbeleni kwenye maeneo kadhaa ambayo sipaswi kuyasema.

Demokrasia ndani ya CHADEMA ni chachu ya demokrasia ndani ya CCM.

Mungu wa mbinguni awape maisha marefu ili mpate kuyashuhudia maono yangu kwa kibali cha Mungu wetu na kwa niaba ya Taifa na wananchi.

Kwa pamoja tutashinda na Mungu ampe maisha marefu Jakaya M Kikwete. Chachu ya demokrasia ni haki na uhuru.

Shukrani kwa hayo machache

Pang Fung Mi
Tundu lissu for Chadema, Tundu Lissu For Tanzania.

God Bless
 
Back
Top Bottom