jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Wauuzaa Bajaji wezi tu! Million 7 unapata gari nzuri tu!Bajaj inauzwa million 7.5. Kuna vitu muwe mnajitafakari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wauuzaa Bajaji wezi tu! Million 7 unapata gari nzuri tu!Bajaj inauzwa million 7.5. Kuna vitu muwe mnajitafakari.
Duh! Salute![emoji137]Kwani kati ya kwenye pombe na misikitini na makanisani ni wapi panaongoza parking zake kupaki magari makali?
Kama ulidhani pombe inatia umaskini, amka toka usingizini, wewe ni maskini unayependa pombe, hakuna pombe inampa mtu umaskini, umaskini unaweza kupata hata kanisani kwa kukamuliwa sadaka zisizo kichwa wala miguu kwa kutishiwa tu maisha ya mbinguni wakati huyo anayekutisha hajawahi kufika na wala hajui hatma yake.
Siyo gari hiyo, ni usafiri tu.Wauuzaa Bajaji wezi tu! Million 7 unapata gari nzuri tu!
Inapunguza riski ya kifo,hiyo air bag!!!Kwani airbags ndio inazuia kifo au ajali?
Jamaa kaleta ujumbe mzuri sana,tuifundishe jamiii yetu kua gari siyo utajiri!!!Yaani unaanzisha Uzi kwa haka ka mkebe? Kweli illiteracy is a very bad desease but poverty is a deadly desease.
Gari ni nyenzo!!!Jamaa kaleta ujumbe mzuri sana,tuifundishe jamiii yetu kua gari siyo utajiri!!!
Itabidi ahamie Qatar huyuBIMA ni nini?..kuhamasisha watu wasinywe pombe ni kuikosesha Serikali mapato, unaweza kukutwa na hatia ya uhujumu uchumi..
Pole Sana Mkuu. Ni bora Kufa Kimwili lakini si Kiroho. Inaonekana hata Maana ya Sadaka hujui!Kwani kati ya kwenye pombe na misikitini na makanisani ni wapi panaongoza parking zake kupaki magari makali?
Kama ulidhani pombe inatia umaskini, amka toka usingizini, wewe ni maskini unayependa pombe, hakuna pombe inampa mtu umaskini, umaskini unaweza kupata hata kanisani kwa kukamuliwa sadaka zisizo kichwa wala miguu kwa kutishiwa tu maisha ya mbinguni wakati huyo anayekutisha hajawahi kufika na wala hajui hatma yake.
Inaweza ikawa dollar /Randi ngapi BmW X 3 kwa sauziSouth Africa BMW ndio gari za bei rahisi, maana zipo series nyingi sana.
Kama unapenda BMW nunua South Africa.
Alitaka na yeye avimbe ang'olee mademu4.5m used.. Kuna jamaa yangu alinunua hiyo, angejua angetanua biashara yake TU...kilomita 3 inakula lita 10[emoji23][emoji23]
African life InsuranceUnamaanisha BIMA ya NHIF au JUBILEE?
Kwenye TikTokTunaomiliki Beemer tuna comment wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee unaita BMW
Si tunaita BIMA/ BEAMER wewee
Ukipanda funga mkanda
Kisha anza kuvimba weee
Watu wanatoa heshima kwa boda boda mbona gari ni mbali sana huko...Mtaani kwenu ni wapi mkuu tuwajue Hao watu wanaokupa heshima ya kipekee kwa spasho