BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Muanzisha uzi saizi anaangalia uzi wake jasho linamtoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado umekaa pale?Yanga anaenda kudraw na Singida, Simba anashinda na Namungo zinabaki point 3, then Yanga anashinda na Dodoma anakuja kudraw na Mbeya city.
Simba anashinda na Ruvu shooting, Yanga anadraw tena na Prison, Simba huyo kileleni, mark my words nimekaa pale.
bado umekaa palee?Yanga anaenda kudraw na Singida, Simba anashinda na Namungo zinabaki point 3, then Yanga anashinda na Dodoma anakuja kudraw na Mbeya city.
Simba anashinda na Ruvu shooting, Yanga anadraw tena na Prison, Simba huyo kileleni, mark my words nimekaa pale.
Ulisema umekaa pale mbona uondoka baada ya simba kutoa sare?Yanga anaenda kudraw na Singida, Simba anashinda na Namungo zinabaki point 3, then Yanga anashinda na Dodoma anakuja kudraw na Mbeya city.
Simba anashinda na Ruvu shooting, Yanga anadraw tena na Prison, Simba huyo kileleni, mark my words nimekaa pale.
Mkuu kingereza ulichogharamikia ada kubwa unakitumia kumjibu MTU wa simba? Kweli nimeamini uchawi upo.You need to retract your words now because you've proved that you're a false prophet.
Yanga anaenda kudraw na Singida, Simba anashinda na Namungo zinabaki point 3, then Yanga anashinda na Dodoma anakuja kudraw na Mbeya city.
Simba anashinda na Ruvu shooting, Yanga anadraw tena na Prison, Simba huyo kileleni, mark my words nimekaa pale.
Sawa umechukua kombe, haya chukua.
Draw ya kiume,ila sio draw ya kufa kiume😂draw ya kiume
Anasema ka draw kiume🏃Umekalia nini pale [emoji28]
Au Sio….Yanga anaenda kudraw na Singida, Simba anashinda na Namungo zinabaki point 3, then Yanga anashinda na Dodoma anakuja kudraw na Mbeya city.
Simba anashinda na Ruvu shooting, Yanga anadraw tena na Prison, Simba huyo kileleni, mark my words nimekaa pale.
Acheni kuandika thread baada ya kuvimbiwa makandeYanga anaenda kudraw na Singida, Simba anashinda na Namungo zinabaki point 3, then Yanga anashinda na Dodoma anakuja kudraw na Mbeya city.
Simba anashinda na Ruvu shooting, Yanga anadraw tena na Prison, Simba huyo kileleni, mark my words nimekaa pale.
Akili zimeanza kuwarudi [emoji1787][emoji28]SIMBA INA WATUMISHI HEWA KIBAO.
1. ISMAIL SAWADOGO.
2. MOHAMED OTTARA.
3. PETER BANDA.
4. PAPE SACKHO.
5. AUGUSTINE OKRAH.
6.( ONYANGO)
WATUMISHI HAWA WA NYUMBANI.
7. JOHN BOKO.
8. ERASTO NYONI.
9. NASSOR KAPAMA.
10. GADIEL MICHAEL.
11. HABIB KYOMBO.
BORA USAJILI HATA WACHEZAJI SABA KULIKO KUWA NA WATUMISHI HEWA WENGI KIASI HIKI.
MOHAMED UPUNGUZE UBAHILI. MASHABIKI TUNAUMI NA HII TIMU.
AKINA MAGORI WARUDISHWE.