fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Akili zako ziko wapi.Yanga anaenda kudraw na Singida, Simba anashinda na Namungo zinabaki point 3, then Yanga anashinda na Dodoma anakuja kudraw na Mbeya city.
Simba anashinda na Ruvu shooting, Yanga anadraw tena na Prison, Simba huyo kileleni, mark my words nimekaa pale.