Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni mbaya kwa sababu watu wana akili wanaweza kutafuta njia mbadala ya "kufanya uchaguzi". Sina uhakika na "athari" za njia mbadala zitakazo tokea. Kwa hiyo, wajitahidi njia ya sasa ya uchaguzi waiheshimu kwa sababu ni nzuri na tunajua kwa uhakika athari zake.Atapita tu tena kwa kishindo
Wanasema by hook or by crook
Nchi za kimasikini zote wakibana wananchi sana wakati wa uchaguzi wanatoa ahadi kibao halafu mchague msichague wanapita tu
Halafu mwendo ule ule
Naunga mkono hojaCcm haitegemei kura kubaki madarakani
Kitakachowatoa hawa viumbe madarakani ni vita tu!
Jitahidini muwe mnaenda kupima hata akili,wengine hamjui ni wagonjwa kbs wa akili. Wenzio wana hoja ya msingi kuhusu kupanda kwa maisha na utepetevu wa kiuongozi wa mama,wewe una leta hoja zako za kijinga za kila siku,mie nafkiri hujitambui wewe, yaani kila siku,kila mada,wewe ni jpm tu. Peleka huko upumbavu wako,sie tuna hasira na nchi yetu imegeuzwa shamba la bibi,minyonyaji ya ccm inazidi kuilalua nchi.Wa kulaumiwa ni Shujaa Magufuli kwa kutuchagulia Wabunge [emoji209]
Wao wanajua hakuna watu wapole na wavumilivu kama wabongo ndio maana mnaweza kulazwa mwaka bila umeme na maisha yakaenda tuHii ni mbaya kwa sababu watu wana akili wanaweza kutafuta njia mbadala ya "kufanya uchaguzi". Sina uhakika na "athari" za njia mbadala zitakazo tokea. Kwa hiyo, wajitahidi njia ya sasa ya uchaguzi waiheshimu kwa sababu ni nzuri na tunajua kwa uhakika athari zake.
Umeshapanic 🐼🔥Jitahidini muwe mnaenda kupima hata akili,wengine hamjui ni wagonjwa kbs wa akili. Wenzio wana hoja ya msingi kuhusu kupanda kwa maisha na utepetevu wa kiuongozi wa mama,wewe una leta hoja zako za kijinga za kila siku,mie nafkiri hujitambui wewe, yaani kila siku,kila mada,wewe ni jpm tu. Peleka huko upumbavu wako,sie tuna hasira na nchi yetu imegeuzwa shamba la bibi,minyonyaji ya ccm inazidi kuilalua nchi.
Uzuri ni kuwa hawategemei kura yakoSukari kizungumkuti, umeme kizungumkuti, maji kizungumkuti, huduma za jamii(Afya, Elimu, Miundombinu nk.) kizungumkuti. Kwa ujumla karibu mambo yote ni kizungumkuti.
Je, atagombea tena 2025?
Umesema vyema na atakaye sikia na asikieCcm haitegemei kura kubaki madarakani
Kitakachowatoa hawa viumbe madarakani ni vita tu!
Kweli alichagua wabunge wenye uwezo kama wake.Wa kulaumiwa ni Shujaa Magufuli kwa kutuchagulia Wabunge 🐼
Ingawa ni njia mbaya ya vita na haifai lakini ulichosema ni kweliCcm haitegemei kura kubaki madarakani
Kitakachowatoa hawa viumbe madarakani ni vita tu!
Huyo mnae mpk 2030.Sukari kizungumkuti, umeme kizungumkuti, maji kizungumkuti, huduma za jamii(Afya, Elimu, Miundombinu nk.) kizungumkuti. Kwa ujumla karibu mambo yote ni kizungumkuti.
Je, atagombea tena 2025?
Ila kweli. Lkn mbona hatuoni japo jitihada?Hizo huduma zimekuwa kaa la moto toka nchi inapata uhuru.Simkubali Honorable causa lakini Kuna mambo tunampa lawama bure huyo mama.
Kuna rais alikaa miaka 20s kwenye madaraka,lakini nchi aliiacha kwenye umasikini wa kutupwa na wengine miaka 10,lakini bado walishindwa, kitendo Cha kuona huyo mama atatatua matatizo kwa muda mchache ni kumuonea bure.