JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Atagombea tena 2025 kwani alishagombea?Sukari kizungumkuti, umeme kizungumkuti, maji kizungumkuti, huduma za jamii(Afya, Elimu, Miundombinu nk.) kizungumkuti.
Kwa ujumla karibu mambo yote ni kizungumkuti.
Je, atagombea tena 2025?