Atagombea tena 2025 kwani alishagombea?Sukari kizungumkuti, umeme kizungumkuti, maji kizungumkuti, huduma za jamii(Afya, Elimu, Miundombinu nk.) kizungumkuti.
Kwa ujumla karibu mambo yote ni kizungumkuti.
Je, atagombea tena 2025?
Kwa NEC hii anapata 60% mapema sn, hakuna uchaguzi zaidi ya maigizoSukari kizungumkuti, umeme kizungumkuti, maji kizungumkuti, huduma za jamii(Afya, Elimu, Miundombinu nk.) kizungumkuti.
Kwa ujumla karibu mambo yote ni kizungumkuti.
Je, atagombea tena 2025?
Mifumo ovu snKwani umewahi kuona ambaye hakugombea sababu ya mahitaji ya kijamii kukosekana?
Atagombea na watu watajazana kwenye kampeni kwa nderemo na vifijo.
Kabisaa.Atakuwa mtu aliyekosa aibu endapo atagombea tena
Hawanaga haibu ,atagombeaSukari kizungumkuti, umeme kizungumkuti, maji kizungumkuti, huduma za jamii(Afya, Elimu, Miundombinu nk.) kizungumkuti.
Kwa ujumla karibu mambo yote ni kizungumkuti.
Je, atagombea tena 2025?
Afya,elimu, miundombinu kizungumkuti!?..au umeandika tu!?Sukari kizungumkuti, umeme kizungumkuti, maji kizungumkuti, huduma za jamii(Afya, Elimu, Miundombinu nk.) kizungumkuti.
Kwa ujumla karibu mambo yote ni kizungumkuti.
Je, atagombea tena 2025?
Chagua CCM Kwa Maendeleo Ya Ubabaifu TanzaniaSukari kizungumkuti, umeme kizungumkuti, maji kizungumkuti, huduma za jamii(Afya, Elimu, Miundombinu nk.) kizungumkuti.
Kwa ujumla karibu mambo yote ni kizungumkuti.
Je, atagombea tena 2025?
Umlaani usimlaani CCM Ndio inatakiwa kulaaniwa na wewe ukiwemo.Wa kulaumiwa ni Shujaa Magufuli kwa kutuchagulia Wabunge 🐼
Wachumia matumbo na walamba asali, we unafikiri mtu kama Nape, Mwigulu, Februari and alike watasemaje?Anza na huku jamiiforum kuna watu wanamsifia ile mbaya japokua wanapitia haya magumu
Nani Puppet au Dr.S.Mzee mvurugaji wa sauti ya wananchi 🐒Sukari kizungumkuti, umeme kizungumkuti, maji kizungumkuti, huduma za jamii(Afya, Elimu, Miundombinu nk.) kizungumkuti.
Kwa ujumla karibu mambo yote ni kizungumkuti.
Je, atagombea tena 2025?
Kwa hiyo ataanza kugombea na wengineo?Atagombea tena 2025 kwani alishagombea?
uvivu????Umlaani usimlaani CCM Ndio inatakiwa kulaaniwa na wewe ukiwemo.
Utagombea wewe Mkuu Ili utatue hizo vizungimkuti 🤣🤣Sukari kizungumkuti, umeme kizungumkuti, maji kizungumkuti, huduma za jamii(Afya, Elimu, Miundombinu nk.) kizungumkuti.
Kwa ujumla karibu mambo yote ni kizungumkuti.
Je, atagombea tena 2025?
Yale macho yake hayanaga aibuSukari kizungumkuti, umeme kizungumkuti, maji kizungumkuti, huduma za jamii(Afya, Elimu, Miundombinu nk.) kizungumkuti.
Kwa ujumla karibu mambo yote ni kizungumkuti.
Je, atagombea tena 2025?