Kwa hali hii naamini maneno ya Askofu Gwajima kuwa viongozi wamehongwa ili chanjo ije

Kwa hali hii naamini maneno ya Askofu Gwajima kuwa viongozi wamehongwa ili chanjo ije

Ni Wapumbavu wakubwa kwa sababu duniani billions of people they got vaccinated and they are just doing fine healthy wise with exception of few.
Duuh, with exception of few, hio few ni ngapi, kwako Haina thamani?
Ikumbukwe kuwa Ulaya wamekufa Sana na hio wamuue kurisk katika chanjo isiyo na uhakika! Nakuhakikishia kuwa Ulaya ingekuwa Tanzania ambako majority wako safe with exception of few, wote wangepinga hio chanjo yako unayoshadidia
 
Huu ni mkusanyiko wa watu ktk Jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam mbele ya rais 02/09/2021. Halafu bila soni akasisitiza chanjo.

Hivi rais Samia yuko serious na gonjwa hili ama anaongea kuwafurahisha na kuwapumbaza walotoa hela?
Kuwa serious dogo, ,,wakati huu ambapo bado watu wanapata corona na wanakufa (kifo hakikwepeki), na kuna watu wanahubiri kupinga kupata chanjo, rais kama kiongozi mkuu wa nchi- kuhamasisha watu wachanje ni moja ya wajibu wake. Siyo yeye tu , wamefanya hivyo viongozi wakubwa duniani.
Kwa hilo rais yupo sahihi na hongera nyingi kwake.
Isitoshe ameweka hali ya hewa nzuri sana hapa nchini ikiwemo kushusha tozo.
Weekend njema'
 
Huu ni mkusanyiko wa watu ktk Jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam mbele ya rais 02/09/2021. Halafu bila soni akasisitiza chanjo.

Hivi rais Samia yuko serious na gonjwa hili ama anaongea kuwafurahisha na kuwapumbaza walotoa hela?
Hujui hata anafanya nini ndiyo maana amegeukia maigizo
 

More Than 5.39
Billion Shots Given:
Covid-19 Tracker​

In the U.S., 372 million doses
have been administered
Updated: September 2, 2021, 3:54 PM EDT
https://www.facebook.com/sharer/sha...cs/covid-vaccine-tracker-global-distribution/
Vaccine Tracker
The biggest vaccination campaign in history is underway. More than 5.39 billion doses have been administered across 183 countries, according to data collected by Bloomberg. The latest rate was roughly 41 million doses a day.
In the U.S., 372 million doses have been given so far. In the last week, an average of 910,432 doses per day were administered.

World Map of Vaccinations​

More than 5.39 billion doses have been administered—enough to fully vaccinate 35.1% of the global population
  • no data0515
Duuh, with exception of few, hio few ni ngapi, kwako Haina thamani?

Ikumbukwe kuwa Ulaya wamekufa Sana na hio wamuue kurisk katika chanjo isiyo na uhakika! Nakuhakikishia kuwa Ulaya ingekuwa Tanzania ambako majority wako safe with exception of few, wote wangepinga hio chanjo yako unayoshadidia
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Duuh, with exception of few, hio few ni ngapi, kwako Haina thamani?
Ikumbukwe kuwa Ulaya wamekufa Sana na hio wamuue kurisk katika chanjo isiyo na uhakika! Nakuhakikishia kuwa Ulaya ingekuwa Tanzania ambako majority wako safe with exception of few, wote wangepinga hio chanjo yako unayoshadidia
Waafrika tuache unafiki..... ARVs zina uhakika 100%? Tiba ya mionzi kwa wagonjwa wa kansa madhara yake mbona makubwa na haina guarantee ya kuponya?? Kiufupi 85% ya wanaotumia radiotherapy wanapata side effects za both long term na short term ila Mmewahi kupiga vita??

Nadhani tuna shida ya exposure that's all
 
1630643110148.jpeg

Duuh, with exception of few, hio few ni ngapi, kwako Haina thamani?

Ikumbukwe kuwa Ulaya wamekufa Sana na hio wamuue kurisk katika chanjo isiyo na uhakika! Nakuhakikishia kuwa Ulaya ingekuwa Tanzania ambako majority wako safe with exception of few, wote wangepinga hio chanjo yako unayoshadidia
 

More Than 5.39​

Billion Shots Given:​

Covid-19 Tracker​

In the U.S., 372 million doses
have been administered
Updated: September 2, 2021, 3:54 PM EDT
https://www.facebook.com/sharer/sharer.php?u=https://www.bloomberg.com/graphics/covid-vaccine-tracker-global-distribution/
Vaccine Tracker
The biggest vaccination campaign in history is underway. More than 5.39 billion doses have been administered across 183 countries, according to data collected by Bloomberg. The latest rate was roughly 41 million doses a day.
In the U.S., 372 million doses have been given so far. In the last week, an average of 910,432 doses per day were administered.

World Map of Vaccinations​

More than 5.39 billion doses have been administered—enough to fully vaccinate 35.1% of the global population
  • no data0515
Facts kama hizi hawapendi kabisa kuzisikia..... Wanapenda umbea umbea tu kma wa Gwajima lakini huwezi kuta wanatafuta data kama hivi kujiridhisha.
 
Najua hilo Mkuu hawa Wapumbavu WANAKURUPUKA na uzushi wao usio na kichwa wala miguu ili kuwazuga Watanzania ambao hawafuatilii kwa karibu yale yanayojiri duniani kote kuhusu Covid-19. Walishalishwa uongo wa yule dhalimu mwendazake basi uongo ule watauamini milele. Upumbavu katika jamii ni kitu hatari sana.
Facts kama hizi hawapendi kabisa kuzisikia..... Wanapenda umbea umbea tu kma wa Gwajima lakini huwezi kuta wanatafuta data kama hivi kujiridhisha.
 
World Health Organization approved those vaccines in order to save billions of people around the World and so far so good despite of those few and WHO is still supporting those vaccines.
Kwa nini Saudi arabia wamekataa kutambua chanjo ya China kwa mahujaji?
 
Kwa hiyo kama kuna wazungu wema kwa hiyo hakuna matycoon yanayoweza kupanga hatari
Chanjo ya Ebola iliidhinishwa ndani ya saa 48 na WHO nadhani ndio chanjo iliopitishwa kwa spidi zaidi. Na umeona inavyofanya kazi kwa usanifu mkubwa..... But sijaona kelele za kuwa wazungu wanataka kutuua. Same to ARVs, kama walikua hawatupendi why walete ARVs kutusaidia tusife kma nzige?? Kwani hizo chanjo hawatumii pia wazungu?

Black mentality ya inferiority complex
 
Go and ask this question to Saudi Arabia government, by the way it is not the only country that reject China’s vaccine.
Kwa nini Saudi arabia wamekataa kutambua chanjo ya China kwa mahujaji?
 
Chanjo ya Ebola iliidhinishwa ndani ya saa 48 na WHO nadhani ndio chanjo iliopitishwa kwa spidi zaidi. Na umeona inavyofanya kazi kwa usanifu mkubwa..... But sijaona kelele za kuwa wazungu wanataka kutuua. Same to ARVs, kama walikua hawatupendi why walete ARVs kutusaidia tusife kma nzige?? Kwani hizo chanjo hawatumii pia wazungu?

Black mentality ya inferiority complex
Chanjo anayochanja mzungu ndio hii ya Tandale?
 
Haya nijibu sasa mwanasayansi, je ukichanja huambukizwi? Je ukichanjwa hutavaa mabarakoa tena? Na ukichanjwa uviko haitakuua?
Mkuu unabishana na MPUMBAVU mmoja hanaga akili. Reasoning Capacity yake ipo Very Low, angalia comments zake na majibu yake ndo utanielewa. Ni mmoja wa watu wasiotumia akili binafsi atakwambia WHO wamesema hivi au vile hajui WHO inaongozwa na binadamu wwnye mapungufu kibao. Nakushauri muache aendelee kuishi na ufala wake.
 
Haya nijibu sasa mwanasayansi, je ukichanja huambukizwi? Je ukichanjwa hutavaa mabarakoa tena? Na ukichanjwa uviko haitakuua?
Hakuna chanjo au dawa iliyo na efficacy 100% hata kuna wanaotumia ARVs ila CD4 bado zinashuka na wapo pia wanaotumia sindano za Insuline ila bado sukari inashindwa kujibalance so sio issue mpya kwenye medicine.

The thing is chanjo inakupa kinga kubwa zaidi so hta ikitokea umeugua inakua mild sio ile ya kwenda kupigwa mitungi ya gesi. Na ambacho ulipaswa kufahamu waliougua tena ni sababu ya delta variant sio virus wa kwanza ambapo ndio chanjo ilifanyiwa experiment kupitia hiko. So msipotoshe

Angalia tu takwimu mfano israel wamechanjwa zaidi ya 70% na kweli wagonjwa wanaolazwa wamepungua kwa asilimia nyingi mnoo na vifo vimepotea and actually mpka barakoa hazikuhitajika tena. Huko wanakivaa barakoa ni sababu watu chini ya 70% (Recommended na WHO) hawajachanjwa so kunakua na risk ya exposure.

UVIKO kukuua ni sababu ya underlying diseases ulizokua nazo..... Lakini kwa tafiti tu ingia kule MRDP upakue papers ni kwamba vifo vimepungua sana kadri chanjo zinavyozidi kutolewa meaning chanjo imesaidia mnoo kupunguza vifo na unaweza ona hta mpira watu wanaingia viwanjani freely tu!!
 
Sipo katika kundi la wakataa chanjo. Lakini watu wanao justify chanjo ya Corona kupitia history like "tumechomwa chanjo nyingi|kadhaa huko nyuma" nawachukulia ni watu wapumbavu sana.

Jambo ambalo hawajui kuwa ni mambo yanabadilika na kama mambo yanabadilika basi hata demand inabadilika.

Mfano: Kwa wakati huo walitaka tuwe safe sababu walikua na uhitaji wa Human resource/Labour power.
Lakini kwa sasa tupo kwenye digital/technological era ambapo Teknolojia ime-replace/inaendelea kureplace human labour.
Ni wakati sasa ambapo human labour hasa kazi za minguvu haziitajiki tena kwahiyo wanaweza fanya lolote ili kuendana na demand yao kwa wakati huu.

Mytake: Elimisheni watu kuhusu chanjo kwa faida zake wakati huu na baade.

Msione watu wanaokataa chanjo ni wajinga. Wakati hata nyie mnaochanjwa hamjui faida ya chanjo zaidi ya kuona kama ni ufahari kuchanja na ka-pichaa juu.
Upeo mkubwa wa akili pevu [emoji119][emoji106]
 
Back
Top Bottom