Duuh, with exception of few, hio few ni ngapi, kwako Haina thamani?Ni Wapumbavu wakubwa kwa sababu duniani billions of people they got vaccinated and they are just doing fine healthy wise with exception of few.
Ikumbukwe kuwa Ulaya wamekufa Sana na hio wamuue kurisk katika chanjo isiyo na uhakika! Nakuhakikishia kuwa Ulaya ingekuwa Tanzania ambako majority wako safe with exception of few, wote wangepinga hio chanjo yako unayoshadidia