Kwa hali hii naamini maneno ya Askofu Gwajima kuwa viongozi wamehongwa ili chanjo ije

Kwa hali hii naamini maneno ya Askofu Gwajima kuwa viongozi wamehongwa ili chanjo ije

Huu ni mkusanyiko wa watu ktk Jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam mbele ya Rais 02/09/2021. Halafu bila soni akasisitiza chanjo.

Hivi Rais Samia yuko serious na gonjwa hili ama anaongea kuwafurahisha na kuwapumbaza walotoa hela?


View attachment 1921733

Wenye akili wameamua kumchana mheshimiwa rais bila woga.

View attachment 1922082


Yaani mtu akuhonge ili akupe dawa za kukuponya bure! Jamani elimu bure hizi zimefanya watu wawe bure!!
 
Wanatuua kila siku na wamekuwa wakituua kila siku ila wewe huwezi kujua sababu unawaza mikopo na misaada ya wazungu
Kama unakiri wameshatuua huoni ni ujinga kuogopa chanjo huku wameshakuua tayari kwa sumu ambazo wamekulisha kwenye dawa zingine??
 
Ndio, wale wanaopinga (ambao ni asilimia ndogo ya wananchi) ni foolish. Kwa nini idadi kubwa wanakaa foleni kupita chanjo
?
(foolishness is no African priviledge!)

Tanzania tumeletewa chanjo milioni moja, mwezi sasa bado hazijaisha pamoja na kwamba idadi ya watumishi wa Wizara ya Afya, husika na kutoa chanjo, (madaktari na wauguzi) wako zaidi ya chanjo. Hiyo idadi kubwa wanakaa foleni kupata chanjo ya wasio "foolish" ni wapi?
 
😂😂😂 Chanjo za TB, ndui, pepo punda, polio, yellow fever na madawa chungu nzima ya MABEBERU Waafrika tumemeza au kunywa kwa miaka mingi. MABEBERU wangetaka kutuua mbona kungekuwa hakuna hata Muafrika mmoja duniani? Baadhi ya Watanzania wana ufinyu mkubwa wa akili.
Hitaji la wakati ule ni tofauti na hitaji la sasa la hao so called mabeberu.Watozonia kuweni na akili
 
Kama nakuona ukiwahi foleni siku chanjo ya UKIMWI itakapotolewa

Ukimwi ni ugonjwa kwa ajili ya watu wajinga kama wewe

It's a disease for gullible people

Ukimwi ni kiini macho kama ilivyo corona

Endelea na ujinga wako wa kuamini kila unacholetewa na mzungu
 
Ugonjwa wanagundua wao, vipimo wanagundua wao, dawa wanagundua wao, chanjo wanagundua wao

Kisha wanakulazimisha kuchukua mkopo badala ya kukusamehe madeni ya nyuma

Upumbavu mtupu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 evidence please of my writings about China’s vaccine.
Is it not WHO's approved? Go through your text again you will see the linkage.
 
Acha uongo sijawahi kuandika chochote humu kuhusu China’s vaccine.
Is it not WHO's approved? Go through your text again you will see the linkage.
 
Acha uongo sijawahi kuandika chochote humu kuhusu China’s vaccine.
Kumbe unajua Kiswahili!

Pitia text yako ya mwanzo umezungumzia nini halafu utaona uhusiano uliopo japo hukutaja kwa jina hiyo dawa.
 
Acha longo longo!!! Weka ushahidi wa mimi kuandika humu kuhusu hiyo China’s vaccine.

unajua Kiswahili!

Pitia text yako ya mwanzo umezungumzia nini halafu utaona uhusiano uliopo japo hukutaja kwa jina hiyo dawa.
 
Back
Top Bottom