Kwa hali hii naamini maneno ya Askofu Gwajima kuwa viongozi wamehongwa ili chanjo ije



Yaani mtu akuhonge ili akupe dawa za kukuponya bure! Jamani elimu bure hizi zimefanya watu wawe bure!!
 
Wanatuua kila siku na wamekuwa wakituua kila siku ila wewe huwezi kujua sababu unawaza mikopo na misaada ya wazungu
Kama unakiri wameshatuua huoni ni ujinga kuogopa chanjo huku wameshakuua tayari kwa sumu ambazo wamekulisha kwenye dawa zingine??
 
Ndio, wale wanaopinga (ambao ni asilimia ndogo ya wananchi) ni foolish. Kwa nini idadi kubwa wanakaa foleni kupita chanjo
?
(foolishness is no African priviledge!)

Tanzania tumeletewa chanjo milioni moja, mwezi sasa bado hazijaisha pamoja na kwamba idadi ya watumishi wa Wizara ya Afya, husika na kutoa chanjo, (madaktari na wauguzi) wako zaidi ya chanjo. Hiyo idadi kubwa wanakaa foleni kupata chanjo ya wasio "foolish" ni wapi?
 
Hitaji la wakati ule ni tofauti na hitaji la sasa la hao so called mabeberu.Watozonia kuweni na akili
 
Kama nakuona ukiwahi foleni siku chanjo ya UKIMWI itakapotolewa

Ukimwi ni ugonjwa kwa ajili ya watu wajinga kama wewe

It's a disease for gullible people

Ukimwi ni kiini macho kama ilivyo corona

Endelea na ujinga wako wa kuamini kila unacholetewa na mzungu
 
Hebu ondoa upuuzi wako? Wameshakufa Waafrika wangapi waliopata chanjo au kuwa mazombie? 😳
Hitaji la wakati ule ni tofauti na hitaji la sasa la hao so called mabeberu.Watozonia kuweni na akili
 
Ugonjwa wanagundua wao, vipimo wanagundua wao, dawa wanagundua wao, chanjo wanagundua wao

Kisha wanakulazimisha kuchukua mkopo badala ya kukusamehe madeni ya nyuma

Upumbavu mtupu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 evidence please of my writings about China’s vaccine.
Is it not WHO's approved? Go through your text again you will see the linkage.
 
Acha uongo sijawahi kuandika chochote humu kuhusu China’s vaccine.
Is it not WHO's approved? Go through your text again you will see the linkage.
 
Kwa UFINYU wa akili yako there is a huge difference between the two don’t try to force words that are unrelated.
Ukishajiita bak we ni back tu Kila mahala
 
Acha uongo sijawahi kuandika chochote humu kuhusu China’s vaccine.
Kumbe unajua Kiswahili!

Pitia text yako ya mwanzo umezungumzia nini halafu utaona uhusiano uliopo japo hukutaja kwa jina hiyo dawa.
 
Acha longo longo!!! Weka ushahidi wa mimi kuandika humu kuhusu hiyo China’s vaccine.

unajua Kiswahili!

Pitia text yako ya mwanzo umezungumzia nini halafu utaona uhusiano uliopo japo hukutaja kwa jina hiyo dawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…