Wanawake ndio wanaforce na jamaa kaona kawaida nadhani akufikili effect zake kwa kumlizisha mwanamke mpumbavu.Vitu kama hivi mfanyie bwana yako mkiwa wote faragha, sio mbele za mtoto wenu na mna post jamii inaangalia, hata huyu mtoto akikuwa atakuwa akiona hii picha kupelekea EITHER kumtia aibu mbele ya wenzake OR kuona kufanya uchafu mitandaoni ni kawaida kwa maana hata baba na mama walifanyaga hivi.
AFRICANS..daaah
View attachment 2780783
Hiko wazi wanawake wa sasa wengi wanapenda mambo machafu machafu.Alaf ndio inaonekana jinsia "ke" wanatuforce eeeh? Na kuharibu maadili ya watoto au unasemaje mleta mada?
Sure, anajifanya hataki kumuudhi mrembo.Wanawake ndio wanaforce na jamaa kaona kawaida nadhani akufikili effect zake kwa kumlizisha mwanamke mpumbavu.
Mitandao..mitandao..Hiko wazi wanawake wa sasa wengi wanapenda mambo machafu machafu.
😅hawajapitia huu uzi na comment yakoHiko wazi wanawake wa sasa wengi wanapenda mambo machafu machafu.
Unafosiwaje yaani?Alaf ndio inaonekana jinsia "ke" wanatuforce eeeh? Na kuharibu maadili ya watoto au unasemaje mleta mada?
Tupo hapa.😅hawajapitia huu uzi na comment yako
Vita hii.
Ubongo wangu unakuwa kwenye makalio yake tayari🤣Unafosiwaje yaani?
Ubongo wako unakuwa wapi wakati huo ushindwe kuzuia?
Basi tatizo ni wewe kichwa cha familia.Ubongo wangu unakuwa kwenye makalio yake tayari🤣
Kweli hapa mwanamke ndio kaforce hii pose while jamaa alikuwa akili yote kwa mpiga picha. Inawezekana mwanamke alikuwa amesimama mwanzo katika kubadirisha poses akainama na kupata snapshots zingine.Wanawake ndio wanaforce na jamaa kaona kawaida nadhani akufikili effect zake kwa kumlizisha mwanamke mpumbavu.
Good morning..Sawa mama
Usiku mwema.... 👋
Muda mwingine ishu hizi zinatokea pale unakuta pale baba nae maadili ni zero, yani nae yuko wild.Kweli hapa mwanamke ndio kaforce hii pose while jamaa alikuwa akili yote kwa mpiga picha. Inawezekana mwanamke alikuwa amesimama mwanzo katika kubadirisha poses akainama na kupata snapshots zingine.