Kwa hali hii unadhani vizazi vya ufuska na maadili mabovu vitapungua?

Kwa hali hii unadhani vizazi vya ufuska na maadili mabovu vitapungua?

Vitu kama hivi mfanyie bwana yako mkiwa wote faragha, sio mbele za mtoto wenu na mna post jamii inaangalia, hata huyu mtoto akikuwa atakuwa akiona hii picha kupelekea EITHER kumtia aibu mbele ya wenzake OR kuona kufanya uchafu mitandaoni ni kawaida kwa maana hata baba na mama walifanyaga hivi.

AFRICANS..daaah
View attachment 2780783
This is social media business, right?
 
Tuoneshe na wewe picha ya mama yako akiwa amkekaa hivi baba yako.
_namibiahimbawomenshop__40339.1639450195.500.750.jpg
Mama zangu hao hapo mila za ushungi ni mila kigeni sio zetu.


Ndugu zangu Waafrika tusidanganyike kwa kuona mila za kigeni ndio ustaarabu.
 
Wanawake wa sasa wana mambo mengi ya ajabu. Siku hizi wanawake wanaweza badili nguo mbele ya mabinti zao bila aibu. Kuna wengine wapo na vichupi mbele ya watoto wao wa kiume yaani hatari. Huko tiktok kuna laana.
 
Ukiangalia iyo picha mwanaume umakini wake upo kwa mpiga picha inawezekana walikua katika pozi zuri tu halafu uyo mwanamke akabadilisha pozi kwa kushtukiza
PIcha zilivyotoka hakuziangalia?
Sijui yaani kwanini mnamtetea jamaa.
Mimi jamaa yangu nikipost picha ya hivyo atanikata shingo siku hiyo hiyo kwahiyo hata mawazo ya kupost hayatakuwepo.
Wote hapo wana shida.
 
Hapo kichwa cha familia (Baba) kimeyumba, hakijui majukumu yake.
Na wanawake mkitupa upenyo tuwaendeshe tutawaonyesha matendo yote ya shetani. Sababu sisi ndio binadamu wa kwanza kuongea naye live
 
Bila ya Mama yako kumuinamia Baba yako Mkuu Elli Cohen usingekuwa hapa.
Ok, hawajaonesha kwenye picha yoyote jinsi alivyomuinamia.

Tofauti na wewe mama ako aliefirw na ukatoka kupitia mkundn huku baba yako akiwa ana rekodi kupitia tik tok.
 
Kugonoka ni Mila na Desturi za Mwafrika siku nyingi kabla ya ujio wa Hijabu na Vilemba

Kama kwenye Picha hii Wanawake wetu wa Kiafrika wakienda kwa Mume wao huku wakiwa wamegonoka bila ya chupi

View attachment 2780804

Life is too short enjoy it.
Wewe ni kizazi cha wale wanawake waliopewa mimba mitaa ya kimboka, sasa ukawa unalelewa chumba kimoja unamuona mama yako anavyopigwa vitu na wateja wake.
 
Sure, anajifanya hataki kumuudhi mrembo.

Mpumbavu sana huyu. Yani hawa wote na mke wake wanalingana akili zao, sasa mtoto wao ndio namhurumia kwa maana analelewa na majinga.
Apa umeongea point.wote akili hawana,mwanaume mwenye akili zake timamu angemkataza lakin na lenyew janaume linapelekwa pelekwa.sema wanaume ni watu wa kupelekwa pelekwa siku zote
 
PIcha zilivyotoka hakuziangalia?
Sijui yaani kwanini mnamtetea jamaa.
Mimi jamaa yangu nikipost picha ya hivyo atanikata shingo siku hiyo hiyo kwahiyo hata mawazo ya kupost hayatakuwepo.
Wote hapo wana shida.
Kabisa demi, wala sio eti demu kafos mshikaji.

Ni huyo jamaa ambae ni kichwa cha familia sasa yeye kama kichwa cha familia alafu kichwa kimejaa porno na xxx, ina maana hata mke akikaaa ki porno porno , yeye jamaa anaona tu kawaida.
 
Kabisa demi, wala sio eti demu kafos mshikaji.

Ni huyo jamaa ambae ni kichwa cha familia sasa yeye kama kichwa cha familia alafu kichwa kimejaa porno na xxx, ina maana hata mke akikaaa ki porno porno , yeye jamaa anaona tu kawaida.
Wote ni tatizo. Wanaomtupia lawama mwanamke bado sijawaelewa.

Kwanza huyo mwanaume anaruhusu vipi mke wake apige picha na tumbo wazi?
 
Back
Top Bottom