Kwa hali hii unadhani vizazi vya ufuska na maadili mabovu vitapungua?

This is social media business, right?
 
Wanawake wa sasa wana mambo mengi ya ajabu. Siku hizi wanawake wanaweza badili nguo mbele ya mabinti zao bila aibu. Kuna wengine wapo na vichupi mbele ya watoto wao wa kiume yaani hatari. Huko tiktok kuna laana.
 
Ukiangalia iyo picha mwanaume umakini wake upo kwa mpiga picha inawezekana walikua katika pozi zuri tu halafu uyo mwanamke akabadilisha pozi kwa kushtukiza
PIcha zilivyotoka hakuziangalia?
Sijui yaani kwanini mnamtetea jamaa.
Mimi jamaa yangu nikipost picha ya hivyo atanikata shingo siku hiyo hiyo kwahiyo hata mawazo ya kupost hayatakuwepo.
Wote hapo wana shida.
 
Hapo kichwa cha familia (Baba) kimeyumba, hakijui majukumu yake.
Na wanawake mkitupa upenyo tuwaendeshe tutawaonyesha matendo yote ya shetani. Sababu sisi ndio binadamu wa kwanza kuongea naye live
 
Bila ya Mama yako kumuinamia Baba yako Mkuu Elli Cohen usingekuwa hapa.
Ok, hawajaonesha kwenye picha yoyote jinsi alivyomuinamia.

Tofauti na wewe mama ako aliefirw na ukatoka kupitia mkundn huku baba yako akiwa ana rekodi kupitia tik tok.
 
Kugonoka ni Mila na Desturi za Mwafrika siku nyingi kabla ya ujio wa Hijabu na Vilemba

Kama kwenye Picha hii Wanawake wetu wa Kiafrika wakienda kwa Mume wao huku wakiwa wamegonoka bila ya chupi

View attachment 2780804

Life is too short enjoy it.
Wewe ni kizazi cha wale wanawake waliopewa mimba mitaa ya kimboka, sasa ukawa unalelewa chumba kimoja unamuona mama yako anavyopigwa vitu na wateja wake.
 
Sure, anajifanya hataki kumuudhi mrembo.

Mpumbavu sana huyu. Yani hawa wote na mke wake wanalingana akili zao, sasa mtoto wao ndio namhurumia kwa maana analelewa na majinga.
Apa umeongea point.wote akili hawana,mwanaume mwenye akili zake timamu angemkataza lakin na lenyew janaume linapelekwa pelekwa.sema wanaume ni watu wa kupelekwa pelekwa siku zote
 
PIcha zilivyotoka hakuziangalia?
Sijui yaani kwanini mnamtetea jamaa.
Mimi jamaa yangu nikipost picha ya hivyo atanikata shingo siku hiyo hiyo kwahiyo hata mawazo ya kupost hayatakuwepo.
Wote hapo wana shida.
Kabisa demi, wala sio eti demu kafos mshikaji.

Ni huyo jamaa ambae ni kichwa cha familia sasa yeye kama kichwa cha familia alafu kichwa kimejaa porno na xxx, ina maana hata mke akikaaa ki porno porno , yeye jamaa anaona tu kawaida.
 
Kabisa demi, wala sio eti demu kafos mshikaji.

Ni huyo jamaa ambae ni kichwa cha familia sasa yeye kama kichwa cha familia alafu kichwa kimejaa porno na xxx, ina maana hata mke akikaaa ki porno porno , yeye jamaa anaona tu kawaida.
Wote ni tatizo. Wanaomtupia lawama mwanamke bado sijawaelewa.

Kwanza huyo mwanaume anaruhusu vipi mke wake apige picha na tumbo wazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…