Hii ya daladala. hua inanifanya no waze sana kuhusu hili gonjwa mtambukaUjinga wa mawazo.
Sie tunao tumia daladala tuna pumuliana visogoni,tulio sokoni ,makanisani na misikitini,
Ferry kwny ma boat na mabasi ya mikoani.treni n.k
Jeshini,Shuleni,vyuoni.
Bado nch nzima ina wagonjwa chini ya 200.
Nabaki nacheka tu huyu anaezusha ugonjwa kuepo,anatuchekesha sana.
VP katoa tamko juzi wala sio mimi, nimejenga hoja yangu based on VP's statementMbona Dar nyomi ya Simba na Yanga hatukuona watu wakifa au ni Kigoma tu boss?
Hahahahaha Mkusanyiko wa lazima, nimekusomaMkusanyiko wa lazima huo corona haigusi hapo. Iwe delta, alpha, southafrica strain
Corona itaisha tukishapata mkopo wa 1 TrillionVP katoa tamko juzi wala sio mimi, nimejenga hoja yangu based on VP's statement
Kama ukitoa majibu au mawazo unageuka gaidi kwanini tusitafakari sasa,kwakuwa kufanya hivyo tunaepuka kuitwa magaidi?Tuwe tunatoa majibu/mawazo baada ya kutafakari otherwise jukwaa litakuwa halina cha maana kwa baadhi ya watu,tusiwakwaze
CCM wanawaza kupiga pesa tuCorona itaisha tukishapata mkopo wa 1 Trillion
Dah ila ina ukweli flani ndani yakeKama ukitoa majibu au mawazo unageuka gaidi kwanini tusitafakari sasa,kwakuwa kufanya hivyo tunaepuka kuitwa magaidi?
Ndio uzuri wa kenge, huwa hasikii hadi masikio yatoke damuHuyo kirusi mpya ni tishio kiasi hiko? Binafsi sikumbuki mara ya mwisho ilikuwa lini kusikia marufuku ya mikusanyiko. It is just a media hype, mara Bugando imezidiwa na wagonjwa, sijui nini. Ugonjwa haujawa tishio hivyo, kama unaishi Dar ungeshaona tunavyojazana kwenye dalalada, na maisha yanaenda kama kawaida.
Money Talks brotherUjinga wa mawazo.
Sie tunao tumia daladala tuna pumuliana visogoni,tulio sokoni ,makanisani na misikitini,
Ferry kwny ma boat na mabasi ya mikoani.treni n.k
Jeshini,Shuleni,vyuoni.
Bado nch nzima ina wagonjwa chini ya 200.
Nabaki nacheka tu huyu anaezusha ugonjwa kuepo,anatuchekesha sana.
Unajiandaa kuzika badala ya kusema nawewe ujiandae kuzikwa?Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili timamu ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao kidogo walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
SawaUnajiandaa kuzika badala ya kusema nawewe ujiandae kuzikwa?
Wewe unadhani corona inakuogopa?
Wajiandae na wewe ukiwamo.
Basi wote waliokwenda Kigoma watarudi na chanjo ya KoronaAnzeni KUTABIRI mazuri sasa!
Imekuwa fashion wadau humu kutabiri yasiyo mema na ukitafakari unagundua kuwa siyo utabiri bali ni MAOMBI.
Tuko pamoja,kuna mtu anatwambia ulaya kuna nyomi na tuache kukariri,hii haina mantiki, si kila kitu cha ulaya tu copy tuuuuKama ukitoa majibu au mawazo unageuka gaidi kwanini tusitafakari sasa,kwakuwa kufanya hivyo tunaepuka kuitwa magaidi?
Anasahau kuwa Wao 80% wameshapata chanjoTuko pamoja,kuna mtu anatwambia ulaya kuna nyomi na tuache kukariri,hii haina mantiki, si kila kitu cha ulaya tu copy tuuuu
Kama hubishani uliandika ili iweje?Mwisho wa andiko langu nimesema.hivi SIBISHANI
Ila pia huyo ajue ulaya na kwingineko duniani enzi za kutotendeana haki na kubambikiana vyesi vya kubambikiana walipitia karne nyingi zilizopita.Tuko pamoja,kuna mtu anatwambia ulaya kuna nyomi na tuache kukariri,hii haina mantiki, si kila kitu cha ulaya tu copy tuuuu