Acha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukaririwa
Yameongezeka Ila baada ya chanjo virusi haviwi na madhara magumu Kama ambavyo hukuchanjwa, hivyo vifo vimepungua Sana kwao. Vinatibika kirahisiUlaya wamechanjwa mkuu,Uingereza pekee wamefikia asilimia 60 kupiga chanjo raia wake.Hata hivyo baada ya mashindano maambukiz yaliongezeka.
Tumekusikia wakala wa shetaniii. Sasa kwa taarifa yako utakufa we we na kuwaacha hao uliowatabiria kifo.Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
Ulaya brother at high risk wote wameshachanjwa. Na chanjo zinaendelea kwa wote. Sisi ndio kwanza tunaomba msaada.Acha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukariri
Wenzio wamekula chanjo wewe usiige tembo kunya utapasuka msamba.Acha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukariri
SAS mbona unabishana au huelewi at msimamo wako n UPI?Mwisho wa andiko langu nimesema.hivi SIBISHANI
kwamajibu haya! Je na wew hauja kariri?Acha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukariri
Wazungu Wengi wameshachanja chanjoAcha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukariri
Kwani CHADEMA watakuwepo? Wakiwepo hao watasambaratishwa mara moja ni hatari kwa CORONA.Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
Mkuu mm sipo ktk mlengo wowote wa kisiasa.Kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa RPCs na RCs waliozuia mikusanyiko kwenye mikoa yapo na wale waliozuia makongamano ya CHADEMA ni wajinga wa mawazo? Au COVID19 inaambukishwa kwenye mikusanyiko inayohusisha chadema tu> Maana tumeona kinamwigulu nchemba, kina mabula wakifanya mikutano ya hadhara bila kusumbuliwa.
Jibu swali moja kutetea hoja yako, je nao ni wajinga wa mawazo, acha maelezo marefu yasiyo na maanaMkuu mm sipo ktk mlengo wowote wa kisiasa.
Hao Rpcs na Rcs wanawapa sababu kuzuia makangamano kama walivyoona na wanavyojua wao.
Kulingana na Serekali inatakaje.
Hata hivyo RPCs hawakosagi sababu ya zuio lolote la mikusanyiko au maandamano never hawawawezi kosa.
Yaani wazuie tu bila kutoa maelezo kwann wamezuia,haiwezekani.
Toka miaka hiyo ya awamu ya 4.
Hata kama Covid isinge kuepo km wamekusudia kuzuia makongamano/mandamano wangezuia tu.
Rejea Kabla mwezi March 2020.
Hatukua na Uviko na mikutano ilizuiliwa.
Hebu toka nje ya siasa ubaki free alafu utazame mtaan kwako, Je wananchi wanafuata kile viongozi wakisiasa wanachoelekeza?
Je Waumini wanawasiliza viongozi wa dini juu ya maelekezo ya Uviko?
Je umetembelea kwny mikusanyiko ya maisha ya kawaida isiyoitishwa na Viongozi wa dini au siasa ukaona uhalisia?
Umesafiri na ukapanda usafiri wa uma,uliona uhalisia ndani ya chombo cha usafiri?
Je unapenda michezo?
Umeona uhalisia viwanjani na sports betting stations?
Sehem za umma ni nyingi mno..
Tuache walio hai,
Jaribu uende Hosptl za Rufaa kisha chungulia au ulizia kule waliko wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji ujiridhishe mwenyewe.
Tuache hao wagonjwa,Nenda makaburini,ya dini zote.
Angaza angaza makaburi mapya.
Ukifanikisha zoezi hili nahakika utarudi na majibu au maswali mengi sana Kichwani mwako.
Think freely
Ndio ujinga wa ccmJibu swali moja kutetea hoja yako, je nao ni wajinga wa mawazo, acha maelezo marefu yasiyo na maana
Tutaipigia kura za maruhani CCMMtoa mada kwanza ukae ukijua Serikali ishapokea mahela ya covid kwahio tegemea tatizo kuzidi kua kubwa hauoni TFF wamewaambia wananchi watawapa barakoa bure haya nambie tangu covid imeanza lini watu wamepewa masks bure? bongo upewe kitu buree? Mwisho covid ipo kweli nmeishuhudia mwananyamala hosp watu wanapumua kwa mitungi kwa wengi waloenda kigoma kama ni mzee na upo immunocompromised wameyakanyaga lakini kwa vijana immunocompetent si issue sana
Ndio wajinga wa mawazo,wee kwa akili yako unaonaje?Jibu swali moja kutetea hoja yako, je nao ni wajinga wa mawazo, acha maelezo marefu yasiyo na maana
Na mimi naomba wafe.Almanusra!! Kwa upendo na unyenyekevu naomba Mwenyezzi Mungu aepushe mbali janga hilo.... kwani viumbe wake hawa ni majahili na wanyonge God forbids
nataka ujibu swali acha kumbwelambwelaNdio wajinga wa mawazo,wee kwa akili yako unaonaje?
Upinzani ukizuiwa kelele Ila kwenye soka ndio mnaona kosaSiandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani