Kwa hali hii ya uwingi wa majeshi huko Loliondo kwanini Serikali isitangaze hali ya hatari?!

Kwa hali hii ya uwingi wa majeshi huko Loliondo kwanini Serikali isitangaze hali ya hatari?!

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
dodoma_zone_~p~CfOdzvnK9d1~1.jpg


Hiyo picha ni Loliondo Waziri Mkuu akisikiliza wimbo wa hamasa ukiimbwa na vijana wa JKT.

Hoja hapa ni huo umati wa vijana wa Vyombo vya Dola ambao wamepelekwa huko eti kwa kisingizio cha uwekaji wa beacon za mpaka wa eneo la hifadhi ya Pori tengefu.Inafikirisha sana!

Kwa nini becoan zile zisiwekwe na TFS?

Yanini umati wote ule wa VYOMBO VYA DOLA ENEO LILE kama kweli hali na zoezi lile siyo la shari?!

Ndugu zangu,ukweli ni kwamba LOLIONDO yapo mengi yawayo tusiyoyatambua na wakati umefika tuelezwe eneo lile ni makazi ya MAJESHI YETU NA WAARABU.
 
View attachment 2271594

Hiyo picha ni Loliondo Waziri Mkuu akisikiliza wimbo wa hamasa ukiimbwa na vijana wa JKT.

Hoja hapa ni huo umati wa vijana wa Vyombo vya Dola ambao wamepelekwa huko eti kwa kisingizio cha uwekaji wa beacon za mpaka wa eneo la hifadhi ya Pori tengefu.Inafikirisha sana!

Kwa nini becoan zile zisiwekwe na TFS?

Yanini umati wote ule wa VYOMBO VYA DOLA ENEO LILE kama kweli hali na zoezi lile siyo la shari?!

Ndugu zangu,ukweli ni kwamba LOLIONDO yapo mengi yawayo tusiyoyatambua na wakati umefika tuelezwe eneo lile ni makazi ya MAJESHI YETU NA WAARABU.
Hali ya hatari ina levels. Hii si hali ya hatari kwamba nchi nzima iwe attention kama vile wanapigwa bomu la nuclear
 
View attachment 2271594

Hiyo picha ni Loliondo Waziri Mkuu akisikiliza wimbo wa hamasa ukiimbwa na vijana wa JKT.

Hoja hapa ni huo umati wa vijana wa Vyombo vya Dola ambao wamepelekwa huko eti kwa kisingizio cha uwekaji wa beacon za mpaka wa eneo la hifadhi ya Pori tengefu.Inafikirisha sana!

Kwa nini becoan zile zisiwekwe na TFS?

Yanini umati wote ule wa VYOMBO VYA DOLA ENEO LILE kama kweli hali na zoezi lile siyo la shari?!

Ndugu zangu,ukweli ni kwamba LOLIONDO yapo mengi yawayo tusiyoyatambua na wakati umefika tuelezwe eneo lile ni makazi ya MAJESHI YETU NA WAARABU.
Becon becon mzee
 
Mzee wa kikombe aliondoka na siri nyingi. Wote walioenda kunywa kikombe cha babu bado wanapang'ng'ania mpaka leo. Kuna kitu pale. Babu aliona akaacha wosia uliopokelewa na mwendazake.
 
Mzee wa kikombe aliondoka na siri nyingi. Wote walioenda kunywa kikombe cha babu bado wanapang'ng'ania mpaka leo. Kuna kitu pale. Babu aliona akaacha wosia uliopokelewa na mwendazake.
Kambi za Jeshi zingewekwa kuzingira raslimali zetu zote zisiuzwe kiholela.

Wakiwamaliza wanyama wataanza uwindaji wa chini ya mbuga.
 
Kambi za Jeshi zingewekwa kuzingira raslimali zetu zote zisiuzwe kiholela.

Wakiwamaliza wanyama wataanza uwindaji wa chini ya mbuga.
Tayari kambi ya Jeshi ilishajengwa tangu 2020

Tanzania tulishajiandaa na hili jambo! Samia anakamilisha utekelezaji
 
View attachment 2271594

Hiyo picha ni Loliondo Waziri Mkuu akisikiliza wimbo wa hamasa ukiimbwa na vijana wa JKT.

Hoja hapa ni huo umati wa vijana wa Vyombo vya Dola ambao wamepelekwa huko eti kwa kisingizio cha uwekaji wa beacon za mpaka wa eneo la hifadhi ya Pori tengefu.Inafikirisha sana!

Kwa nini becoan zile zisiwekwe na TFS?

Yanini umati wote ule wa VYOMBO VYA DOLA ENEO LILE kama kweli hali na zoezi lile siyo la shari?!

Ndugu zangu,ukweli ni kwamba LOLIONDO yapo mengi yawayo tusiyoyatambua na wakati umefika tuelezwe eneo lile ni makazi ya MAJESHI YETU NA WAARABU.
Mtu ukiwa mjinga siyo lazima uutangazie ulimwengu.
Watu binafsi toka Kenya walisha jitangaza maslahi binafsi huko zloliondo na Ngorongoro.Wameishauri na kuwatumia UN picha za zogowalilo incite wamasai sehemu hizo.
Hapo kitu gani unashindwa kuelewa?
 
Tayari kambi ya Jeshi ilishajengwa tangu 2020

Tanzania tulishajiandaa na hili jambo! Samia anakamilisha utekelezaji
Uliwahi kuona uwindaji ikifanyika? Yaan kama movie mnyama anapigwa ya mguu, anachechemea huku akivuja Damu.

Wao wakishangilia Wakt huo, wanajifunzia shabaha Kwa wanyama.

Hiyo kitu ni mbaya Bora ht Masai Huwatibu wanyama wakijeruhiwa au kuugua, Waarabu roho mbaya sana.
 
View attachment 2271594

Hiyo picha ni Loliondo Waziri Mkuu akisikiliza wimbo wa hamasa ukiimbwa na vijana wa JKT.

Hoja hapa ni huo umati wa vijana wa Vyombo vya Dola ambao wamepelekwa huko eti kwa kisingizio cha uwekaji wa beacon za mpaka wa eneo la hifadhi ya Pori tengefu.Inafikirisha sana!

Kwa nini becoan zile zisiwekwe na TFS?

Yanini umati wote ule wa VYOMBO VYA DOLA ENEO LILE kama kweli hali na zoezi lile siyo la shari?!

Ndugu zangu,ukweli ni kwamba LOLIONDO yapo mengi yawayo tusiyoyatambua na wakati umefika tuelezwe eneo lile ni makazi ya MAJESHI YETU NA WAARABU.
Ktk kuboresha Rasimu ya Warioba, tuwe makini sana na MAJANGILI wenye vibali vya uwindaji.
 
Back
Top Bottom