Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikushihishe kidogo Kusini mwa Uturuki inapakana na Syria Arab Republic.Kwahiyo ipo mbali mbali mno na zile nchi za kiarabu.
View attachment 2271594
Hiyo picha ni Loliondo Waziri Mkuu akisikiliza wimbo wa hamasa ukiimbwa na vijana wa JKT.
Hoja hapa ni huo umati wa vijana wa Vyombo vya Dola ambao wamepelekwa huko eti kwa kisingizio cha uwekaji wa beacon za mpaka wa eneo la hifadhi ya Pori tengefu.Inafikirisha sana!
Kwa nini becoan zile zisiwekwe na TFS?
Yanini umati wote ule wa VYOMBO VYA DOLA ENEO LILE kama kweli hali na zoezi lile siyo la shari?!
Ndugu zangu,ukweli ni kwamba LOLIONDO yapo mengi yawayo tusiyoyatambua na wakati umefika tuelezwe eneo lile ni makazi ya MAJESHI YETU NA WAAR
Wapi wanakataza kutumia jeshi kuweka Bikoni? We kama unataka ukorofi nenda katoe bikoni.View attachment 2271594
Hiyo picha ni Loliondo Waziri Mkuu akisikiliza wimbo wa hamasa ukiimbwa na vijana wa JKT.
Hoja hapa ni huo umati wa vijana wa Vyombo vya Dola ambao wamepelekwa huko eti kwa kisingizio cha uwekaji wa beacon za mpaka wa eneo la hifadhi ya Pori tengefu.Inafikirisha sana!
Kwa nini becoan zile zisiwekwe na TFS?
Yanini umati wote ule wa VYOMBO VYA DOLA ENEO LILE kama kweli hali na zoezi lile siyo la shari?!
Ndugu zangu,ukweli ni kwamba LOLIONDO yapo mengi yawayo tusiyoyatambua na wakati umefika tuelezwe eneo lile ni makazi ya MAJESHI YETU NA WAARABU.
Wanaccm mtajuana wenyewe kwa wenyewe. Msituweke na sisi.View attachment 2271594
Hiyo picha ni Loliondo Waziri Mkuu akisikiliza wimbo wa hamasa ukiimbwa na vijana wa JKT.
Hoja hapa ni huo umati wa vijana wa Vyombo vya Dola ambao wamepelekwa huko eti kwa kisingizio cha uwekaji wa beacon za mpaka wa eneo la hifadhi ya Pori tengefu.Inafikirisha sana!
Kwa nini becoan zile zisiwekwe na TFS?
Yanini umati wote ule wa VYOMBO VYA DOLA ENEO LILE kama kweli hali na zoezi lile siyo la shari?!
Ndugu zangu,ukweli ni kwamba LOLIONDO yapo mengi yawayo tusiyoyatambua na wakati umefika tuelezwe eneo lile ni makazi ya MAJESHI YETU NA WAARABU.
Vibaraka vinatumika sana mkuuWoga wako nini hasa , unajua taratibu za Rais kutangaza Hali ya hatari ,jf imevamiwa na vilaza kama wewe siku hizi USSR
Ulitaka wafanyeje mkuu ikiwa wananchi walikuwa wakishambuliwa nao wanashambulia kwa silaha za jadi mpaka wakaua polisi mmoja na kujeruhi kadhaa?View attachment 2271594
Hiyo picha ni Loliondo Waziri Mkuu akisikiliza wimbo wa hamasa ukiimbwa na vijana wa JKT.
Hoja hapa ni huo umati wa vijana wa Vyombo vya Dola ambao wamepelekwa huko eti kwa kisingizio cha uwekaji wa beacon za mpaka wa eneo la hifadhi ya Pori tengefu.Inafikirisha sana!
Kwa nini becoan zile zisiwekwe na TFS?
Yanini umati wote ule wa VYOMBO VYA DOLA ENEO LILE kama kweli hali na zoezi lile siyo la shari?!
Ndugu zangu,ukweli ni kwamba LOLIONDO yapo mengi yawayo tusiyoyatambua na wakati umefika tuelezwe eneo lile ni makazi ya MAJESHI YETU NA WAARABU.
Hiyo italeta msuguano kidiplomasia, imagine we unazuia ujangili Ili watalii waje,, Jirani anaruhusu uwindaji wanyama.Trust me,Kenya Uganda Rwanda wakishaban Trophy Hunting limebaki Shamba la Bibi lenye Viongozi wenye Low IQ ambao wakivaa mashati ya Kijani tu wanajiona wao ni miungu.
Trust me,Kenya Uganda Rwanda wakishaban Trophy Hunting limebaki Shamba la Bibi lenye Viongozi wenye Low IQ ambao wakivaa mashati ya Kijani tu wanajiona wao ni miungu.
Yaelekea mzee wa kikombe hakuwa anatibu bali alitumia njia ya kikombe kuwavuta watu hasa viongozi waje waone Loliondo na maloliloli yake ili waamue kuwaachia wamasai au kumega wote cake ya taifa. Kumbuka babu ni mtoka mbali kama sikosei Rukwa au Mbeya lakini alishaona uhondo wa pale ndo akaona ngoja awahusishe walaji hasa.MKUU
Fafanua VIZURI
Sijaelewa
Nadhani mleta hajui maana ya wingi Au Hizi Ni propaganda za kipuuzi.Huo ndio unauita uwingi wa majeshi kweli?
Mbona ni kawaida tu, huo wingi wa majeshi hapo huko wapi.View attachment 2271594
Hiyo picha ni Loliondo Waziri Mkuu akisikiliza wimbo wa hamasa ukiimbwa na vijana wa JKT.
Hoja hapa ni huo umati wa vijana wa Vyombo vya Dola ambao wamepelekwa huko eti kwa kisingizio cha uwekaji wa beacon za mpaka wa eneo la hifadhi ya Pori tengefu.Inafikirisha sana!
Kwa nini becoan zile zisiwekwe na TFS?
Yanini umati wote ule wa VYOMBO VYA DOLA ENEO LILE kama kweli hali na zoezi lile siyo la shari?!
Ndugu zangu,ukweli ni kwamba LOLIONDO yapo mengi yawayo tusiyoyatambua na wakati umefika tuelezwe eneo lile ni makazi ya MAJESHI YETU NA WAARABU.