Kwa hali ilivyo, taifa linahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu (dikteta), si mwenye kubembeleza

Kwa hali ilivyo, taifa linahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu (dikteta), si mwenye kubembeleza

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Kwa sasa watu wengi sana wanalalamikia ugumu wa maisha, kupanda kwa bei ya bidhaa, mfumuko wa bei nk.

Ukitaka kulijua hili wala hata huitaji kuandaa proposal na kufanya utafiti, unaweza tu kujaribu kumuomba ndg, jamaa au rafiki akusaidie kiasi fulani cha pesa kisha usikie majibu atakayokupa.

Au uwe na shughuli inayohitaji michango ya pesa.

Kwa mambo kama hayo ni wazi kwamba tulihitaji kiongozi mwenye mikakati ya namna sahihi ya kupunguza ukali wa maisha.

Mojawapo ni kuwabana wanaoitwa wawekezaji, walipe kodi na si kusamehewa. Kukusanya kodi kutoka kwenye mashirika yasiyo ya kiserikali,

Kupunguza baraza la mawaziri,

Kuondoa warsha na sherehe za kitaifa sisizo na umuhimu sana.

Badala ya kuwakusanya wakuu wa mikoa na watendaji wengine kwa ajili ya mafunzo, viandaliwe vipeperushi au video zenye maelekezo. Yote hii ni kubana matumizi. Ziara zipungue.

Ukweli ni kwamba, wananchi wengi hawaelewi wanakoelekea. Kila kukicha afadhali ya jana!
 
Mbona ni empty set tu huyo maandishi,mwambie ukweli...mtu hajui sababu ya vitu kupanda Bei,pia anadhani uchumi wa watu 60m unaweza ubadili kwa mwaka mmoja na miezi mitano..akanyonye korodani tu huenda ndo ajualo vizuri
Nilishakataa maneno matam ya wachumi WETU Tz uchwara, wakati na mwanzo kabisa niliandika kujua sababu za vitu kuanza kupanda, ikiwemo vifaa vya ujenzi, wachumi uchwara wakanijazia inzi kwenye andiko lile, leo hii, mafuta yanapaa Kama parachuti hata hizo bil 100 zimemezwa,na WENDA hazijawekwa ilikua ni fix,au mchanga wa wacho.

Matozo utafikili ni Zama za kodi ya kichwa.

Leo Tz ni kipi kipo chini, ? Kuanzia matumizi ya nyumbani n.k?

Alisema Bwana mmoja akimsihi rais kwamba huku chini hawakuelewi ,akashambuliwa mpaka na baadhi ya mawaziri, ila alisema kweli.

Wachumi wa nchi hii hasa walio hapo juu , hamna kitu, tena Kama na wewe mchumi kwenda huko,hamna impact yoyote katika Taifa pamoja na vyeti vyenu.

Prof Kishimba ni mchumi haswa kuliko nyie mliojaza mavyeti au makaratasi , leo nakwambia mfano mh Kishimba,a.ka.prof Kishimba akiwa waziri hata wa fedha bila kujali elim yake Mtashangaa, maana anajua maana ya kucheza na pesa na maisha yanaenda vipi, nyie mnakalia angalia graph.

Hatuna wachumi Tanzania, so mtoa mada kaandika vizuri, sinaga muda wa mapambio.
 
Nilishakataa maneno matam ya wachumi WETU Tz uchwara, wakati na mwanzo kabisa niliandika kujua sababu za vitu kuanza kupanda, ikiwemo vifaa vya ujenzi...
Kichwani kwako Pana shida Sana...hujui hata unaongea nini!!...lala
 
Back
Top Bottom