Nilishakataa maneno matam ya wachumi WETU Tz uchwara, wakati na mwanzo kabisa niliandika kujua sababu za vitu kuanza kupanda, ikiwemo vifaa vya ujenzi, wachumi uchwara wakanijazia inzi kwenye andiko lile, leo hii, mafuta yanapaa Kama parachuti hata hizo bil 100 zimemezwa,na WENDA hazijawekwa ilikua ni fix,au mchanga wa wacho.
Matozo utafikili ni Zama za kodi ya kichwa.
Leo Tz ni kipi kipo chini, ? Kuanzia matumizi ya nyumbani n.k?
Alisema Bwana mmoja akimsihi rais kwamba huku chini hawakuelewi ,akashambuliwa mpaka na baadhi ya mawaziri, ila alisema kweli.
Wachumi wa nchi hii hasa walio hapo juu , hamna kitu, tena Kama na wewe mchumi kwenda huko,hamna impact yoyote katika Taifa pamoja na vyeti vyenu.
Prof Kishimba ni mchumi haswa kuliko nyie mliojaza mavyeti au makaratasi , leo nakwambia mfano mh Kishimba,a.ka.prof Kishimba akiwa waziri hata wa fedha bila kujali elim yake Mtashangaa, maana anajua maana ya kucheza na pesa na maisha yanaenda vipi, nyie mnakalia angalia graph.
Hatuna wachumi Tanzania, so mtoa mada kaandika vizuri, sinaga muda wa mapambio.