4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Nilipe nikufundishe, ili Kama ulikua unaingia na possible ,mpaka ukawa ukajiita mchumi tujue, jf hakuna possible hapa, swali GANI unauliza mkuu?Uchumi ni nini!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipe nikufundishe, ili Kama ulikua unaingia na possible ,mpaka ukawa ukajiita mchumi tujue, jf hakuna possible hapa, swali GANI unauliza mkuu?Uchumi ni nini!?
UnaKushimba ndo nani tena, nikisema hatuna wachumi elewa Sasa Kama unakosea jina tu, vipi kwenye hesabu
Uchumi ni nini!?..acha kurukarukaNilipe nikufundishe, ili Kama ulikua unaingia na possible ,mpaka ukawa ukajiita mchumi tujue, jf hakuna possible hapa, swali GANI unauliza mkuu?
Unataka nikupe shule au wataka possible? Jibu kwanza mchumi , nilijua tu utajaaUna
Uchumi ni nini!?..acha kurukaruka
Utakuwa unapunguza pesa mtaani maana hawa wakikipata nasi tuñapata.Kupunguza baraza la mawaziri,
Kuondoa warsha na sherehe za kitaifa sisizo na umuhimu sana.
Unambana mwenye hela harafu hizo pesa utazipaje?Kwa sasa watu wengi sana wanalalamikia ugumu wa maisha, kupanda kwa bei ya bidhaa, mfumuko wa bei nk.
Ukitaka kulijua hili wala hata huitaji kuandaa proposal na kufanya utafiti, unaweza tu kujaribu kumuomba ndg, jamaa au rafiki akusaidie kiasi fulani cha pesa kisha usikie majibu atakayokupa.
Au uwe na shughuli inayohitaji michango ya pesa.
Kwa mambo kama hayo ni wazi kwamba tulihitaji kiongozi mwenye mikakati ya namna sahihi ya kupunguza ukali wa maisha.
Mojawapo ni kuwabana wanaoitwa wawekezaji, walipe kodi na si kusamehewa. Kukusanya kodi kutoka kwenye mashirika yasiyo ya kiserikali,
Kupunguza baraza la mawaziri,
Kuondoa warsha na sherehe za kitaifa sisizo na umuhimu sana.
Badala ya kuwakusanya wakuu wa mikoa na watendaji wengine kwa ajili ya mafunzo, viandaliwe vipeperushi au video zenye maelekezo. Yote hii ni kubana matumizi. Ziara zipungue.
Ukweli ni kwamba, wananchi wengi hawaelewi wanakoelekea. Kila kukicha afadhali ya jana!
Na kukurupukia mamiradi yaliyo nje ya uwezo wa Nchi ,haya ndio matokeo sasaSera mbovu za Ujamaa zimeharibu uchumi. Hata akija Putin kuongoza hali itakuwa ile ile kwa sababu kuna mfumo mbaya wa uchumi.
I'd yako inasadifu yoteMbona ni empty set tu huyo maandishi,mwambie ukweli...mtu hajui sababu ya vitu kupanda Bei,pia anadhani uchumi wa watu 60m unaweza ubadili kwa mwaka mmoja na miezi mitano..akanyonye korodani tu huenda ndo ajualo vizuri
Wizara ya mifugo imemshinda ndio aje Kuwa Rais?..Sikatai wachumi uchwara ndivyo mlivyo , mpeni wizara ya fedha mh Kishimba muone atakavyowatoa kamasi na makaratasi yenu,
Basi nenda ukalinde na kufanyia usafi kaburi lakeDamn Fool.
AmenNitakuwa naomba misa ya shukrani kwa Mungu kila mwaka kwa kutuondolea Ibilisi Magufuli.
2020 ndio ulikuwa wa mwisho Kwa familia yetu kupata kiongozi Kwa SECULAR system,Kwa sasa watu wengi sana wanalalamikia ugumu wa maisha, kupanda kwa bei ya bidhaa, mfumuko wa bei nk.
Ukitaka kulijua hili wala hata huitaji kuandaa proposal na kufanya utafiti, unaweza tu kujaribu kumuomba ndg, jamaa au rafiki akusaidie kiasi fulani cha pesa kisha usikie majibu atakayokupa.
Au uwe na shughuli inayohitaji michango ya pesa.
Kwa mambo kama hayo ni wazi kwamba tulihitaji kiongozi mwenye mikakati ya namna sahihi ya kupunguza ukali wa maisha.
Mojawapo ni kuwabana wanaoitwa wawekezaji, walipe kodi na si kusamehewa. Kukusanya kodi kutoka kwenye mashirika yasiyo ya kiserikali,
Kupunguza baraza la mawaziri,
Kuondoa warsha na sherehe za kitaifa sisizo na umuhimu sana.
Badala ya kuwakusanya wakuu wa mikoa na watendaji wengine kwa ajili ya mafunzo, viandaliwe vipeperushi au video zenye maelekezo. Yote hii ni kubana matumizi. Ziara zipungue.
Ukweli ni kwamba, wananchi wengi hawaelewi wanakoelekea. Kila kukicha afadhali ya jana!
Nakwambia wasio na akili za kufikiria na wale washabiki WENZANGU watakuja kukupinga.Kwa sasa watu wengi sana wanalalamikia ugumu wa maisha, kupanda kwa bei ya bidhaa, mfumuko wa bei nk.
Ukitaka kulijua hili wala hata huitaji kuandaa proposal na kufanya utafiti, unaweza tu kujaribu kumuomba ndg, jamaa au rafiki akusaidie kiasi fulani cha pesa kisha usikie majibu atakayokupa.
Au uwe na shughuli inayohitaji michango ya pesa.
Kwa mambo kama hayo ni wazi kwamba tulihitaji kiongozi mwenye mikakati ya namna sahihi ya kupunguza ukali wa maisha.
Mojawapo ni kuwabana wanaoitwa wawekezaji, walipe kodi na si kusamehewa. Kukusanya kodi kutoka kwenye mashirika yasiyo ya kiserikali,
Kupunguza baraza la mawaziri,
Kuondoa warsha na sherehe za kitaifa sisizo na umuhimu sana.
Badala ya kuwakusanya wakuu wa mikoa na watendaji wengine kwa ajili ya mafunzo, viandaliwe vipeperushi au video zenye maelekezo. Yote hii ni kubana matumizi. Ziara zipungue.
Ukweli ni kwamba, wananchi wengi hawaelewi wanakoelekea. Kila kukicha afadhali ya jana!
Umenikonga moyo km nn....Mungu fundi ,bora nife njaa mafuta yauzwe 10,000 kwa lita ila sio utawala kama wa yule ibilisi shetani