Kwa hali ilivyo, taifa linahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu (dikteta), si mwenye kubembeleza

Tatizo lenu wapenzi wa JPM ni roho mbaya na ukabila...mbona wakati wa JPM sukari ilifika 5000 na mlikuwa kimyaaaaaaaaaa....kama hampo
Aiseee Kama sio tusi basi umenionea Sana, tangu lini nikawa mfuasi wa mwendazake ,ukipata mda pitia post zangu mkuu, hujanitendea haki KWa hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…