Kwa hali ya Corona na kimbunga Jobo, nimeamini Tanzania inalindwa na Mungu

Kwa hali ya Corona na kimbunga Jobo, nimeamini Tanzania inalindwa na Mungu

jitombashisho

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
667
Reaction score
2,245
Hivi mimi ni nani hadi nisishuhudie maajabu ya Mungu kwa Nchi yetu!

Kwa sisi tunaosafiri hasa Nchi za wenzetu kwa namna wanavyohangaishwa na Corona na ukiringanisha na namna tunavyoishi hapa kwetu Tanzania hakika mapenzi ya Mungu kwa Nchi yetu ni mema sana.

Hilo la kimbuga Jobo pia kutokuleta athali zozote kama ilivyotarajiwa hakika mkono wa Mungu ni wa kipekee kwa Taifa letu.

Kama Watanzania na pasipo kujali tofauti zetu za kiimani na kisiasa yatupasa sasa tumshukuru mwenyezi Mungu kwa mapenzi mema kwa Nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania!
 
Halafu either kuna tatizo katika vyombo vya habari au katika system za kutabiri(forecasting) majanga duniani.Nakumbuka CNN iliripoti kuwa Tanzania itapatwa na kimbunga ambacho haijawahi kukipata tangia miaka 80 iliyopita.Sasa najiuliza,ina maana vituo vya kufanya forecasting ya hali ya hewa vilishindwa kujua kuwa hicho kimbunga hakitafika Tanzania?

Ni sahihi kuwa wanasayansi wa kufanya utabiri wa hali ya hewa hawana uwezo wa kujua kwamba kutokana na sababu fulani fulani kimbunga fulani hakiwezi kufika sehemu fulani?Au CNN ndiyo wana tatizo katika kuripoti taarifa zao?
 
Halafu either kuna tatizo katika vyombo vya habari au katika system za kutabiri(forecasting) majanga duniani.Nakumbuka CNN iliripoti kuwa Tanzania itapatwa na kimbunga ambacho haijawahi kukipata tangia miaka 80 iliyopita.Sasa najiuliza,ina maana vituo vya kufanya forecasting ya hali ya hewa vilishindwa kujua kuwa hicho kimbunga hakitafika Tanzania?

Ni sahihi kuwa wanasayansi wa kufanya utabiri wa hali ya hewa hawana uwezo wa kujua kwamba kutokana na sababu fulani fulani kimbunga fulani hakiwezi kufika sehemu fulani?Au CNN ndiyo wana tatizo katika kuripoti taarifa zao?
....bado mwenyezi Mungu ni wa ajabu na anaendelea kutenda wema usioelezeka kwa Nchi yetu.

Asubuhi ya leo,rafiki yangu mmoja bwana Smith mwenyezi wa Chigago huko USA amenipigia simu huku akionyesha hali ya kutokuamini kipi kimeleteleza kimbuga Jobo kiukwepe Ukanda wetu wa Pwani jambo ambalo hata huko ng'ambo hawaamini!
 
Hivi mimi ni nani hadi nisishuhudie maajabu ya Mungu kwa Nchi yetu!

Kwa sisi tunaosafiri hasa Nchi za wenzetu kwa namna wanavyohangaishwa na Corona na ukiringanisha na namna tunavyoishi hapa kwetu Tanzania hakika mapenzi ya Mungu kwa Nchi yetu ni mema sana.

Hilo la kimbuga Jobo pia kutokuleta athali zozote kama ilivyotarajiwa hakika mkono wa Mungu ni wa kipekee kwa Taifa letu.

Kama Watanzania na pasipo kujali tofauti zetu za kiimani na kisiasa yatupasa sasa tumshukuru mwenyezi Mungu kwa mapenzi mema kwa Nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania!
Uko sahihi kabisa mkuu.Ni Mungu anayeilinda Tanzania.Wapo washenzi walioleta picha humu wakionyesha how our coastal areas would be battered by the Cyclone, wameumbuka.

Najua kimbunga hicho kiliandaliwa kuleta uhuribifu mkubwa Tanzania.Lakini kimepeperushiwa mbali.Hii inaonyesha kwamba Mungu yupo pamoja nasi na hatuna budi kumshukuru sana.

Kwa wale wanao-soma soma na kutafuta taarifa watakubaliana na mimi kwamba Volcanic eruptions;unpredictable weather patterns kama ukame,mafuriko,vimbunga;magonjwa kama Smallpox,Ebola,Polio,MERS,SARS,Cancer,Diabetes,HBP,Hepatitis A-D nk.,ni tools of warfare.
 
Hivi mimi ni nani hadi nisishuhudie maajabu ya Mungu kwa Nchi yetu!

Kwa sisi tunaosafiri hasa Nchi za wenzetu kwa namna wanavyohangaishwa na Corona na ukiringanisha na namna tunavyoishi hapa kwetu Tanzania hakika mapenzi ya Mungu kwa Nchi yetu ni mema sana.

Hilo la kimbuga Jobo pia kutokuleta athali zozote kama ilivyotarajiwa hakika mkono wa Mungu ni wa kipekee kwa Taifa letu.

Kama Watanzania na pasipo kujali tofauti zetu za kiimani na kisiasa yatupasa sasa tumshukuru mwenyezi Mungu kwa mapenzi mema kwa Nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania!
Forecasting sio static ni agile.... Yaani unaweza ona mvua inakuja ila ndani ya sekunde ikahama. Same to Kimbunga cha mwaka jana baada ya Idai ilipaswa kitue Mtwara ila kikapinda kuelekea msumbiji.

Nadhani ukaribu na Equator ndio umeokoa hili kuliko wenzetu madagascar na msumbiji ambao hvi vimbunga huwapata kila wakati.

Mungu ni wa wote ina maana kwenye matetemeko kma Japan hakuna Mungu? Huko msumbiji hakuna wenye dini? Tuache kejeli za ajabu.
 
Nimeiona mahali:


Ndugu zangu!

Kikawaida cyclones huwa hazikimbilii towards the equator. Zikifanya hivyo huwa zinakosa nguvu na kutawanyika. Kwa maana hiyo hatari kubwa kwa hii Cyclone ya Jobo ni Lindi na Mtwara (9 degrees S) na sio Dar (6 degrees S).

Ndiyo maana cyclones nyingi zinazoanzia bahari ya Hindi huwa zina gain southwards na kuishia Madagascar au Mozambique. Hii ya ku gain northwards towards the equator kwa kweli ni ajabu

Kikawaida ni vigumu kutokea cyclone/hurricane/typhoon 5 - 7 degrees South or North of the Equator sababu kuna Coriolis Effect ndogo. Dar ni 6 degrees South of Equator kwa hiyo ideally cyclone itadhoofishwa na kutawanyika inapokaribia Dar. Ndiyo maana Lindi na Mtwara (9 degrees S) makes more sense.

Huku kwetu kwenye Southern hemisphere cyclones zote huwa zinaenda clockwise, hata vimbunga n.k......kwenye Northern hemisphere huwa ni anti-clockwise. Sasa tunapo approach Equator huwa hii phenomenon inapungua na tunapoenda mbali na equator inaongezeka....na kwenye equator yenyewe hakuna hii effect......cyclones huwa hazikimbilii equator. Kwa mfano unaweza kufanya practical kidogo.....tukijaza sink maji tukiyafungulia yatazunguka clockwise sababu tupo Southern hemisphere ila kwa wenzetu waliopo northern hemisphere (mfano Uingereza) itakua anti-clockwise....na waliopo equator mfano Kenya au Uganda yataanguka tu straight down! Ndiyo maana inavyosemwa kitaenda northwards hapo ni ajabu sana.

Kinadharia....the worst that can happen kwa Dar ni mvua tu tena kwa kiasi chake. Kitakutana na mengi ya kukiresolve njiani mpaka kifike Dar. Imesahaulika tu kukumbushia oceanic currents,......maana kikiwa njiani kwa upande uliosemwa kutokea kitakutana na Mozambican current hivyo kitapunguzwa nguvu sana.

Vurugu inaweza kuwa kusini hasa Mafia, Rufiji na kwenda Lindi na Mtwara. Dar si rahisi....kikija northwards kuanzia (Dar) na kuendelea maeneo mengine northwards kweli kitakua kimefanya Job kama wanavyokiita Jobo 😅
 
Uko sahihi kabisa mkuu.Ni Mungu anayeilinda Tanzania.Wapo washenzi walioleta picha humu wakionyesha how our coastal areas would be battered. Wameumbuka.

Najua kimbunga hicho kiliandaliwa kuleta uhuribifu mkubwa Tanzania.Lakini kimepeperushiwa mbali.Mungu yupo pamoja nasi na hatuna budi kumshukuru sana.

Kwa wale wanao-soma soma na kutafuta taarifa watakubaliana na mimi kwamba Volcanoes, unpredictable weather patterns,ukame,mafuriko,vimbunga,magonjwa kama Polio,Smallpox,Ebola,Polio,MERS,SARS,Cancer,Diabetes,HBP,Hepatitis A-D nk.ni tools of warfare.
Tools for Warfare? Nani sasa atume kimbunga? Yaani wasitume automated drones mbili kuichakaza bandari ila watume kimbunga?

Mbona tunapenda kujitukuza sana kuwa tuna maadui wengi!!
 
Forecasting sio static ni agile.... Yaani unaweza ona mvua inakuja ila ndani ya sekunde ikahama. Same to Kimbunga cha mwaka jana baada ya Idai ilipaswa kitue Mtwara ila kikapinda kuelekea msumbiji.

Nadhani ukaribu na Equator ndio umeokoa hili kuliko wenzetu madagascar na msumbiji ambao hvi vimbunga huwapata kila wakati.

Mungu ni wa wote ina maana kwenye matetemeko kma Japan hakuna Mungu? Huko msumbiji hakuna wenye dini? Tuache kejeli za ajabu.
...wao ni wao na sisi ni sisi na hata shukrani za wao kwa Mungu ni za wao na shukrani zetu kwa Mungu ni zetu na kwa muktadha huo haipo kejeli yeyote kwalo.

Tofauti na hapo,umepaniki!
 
Hicho kimbunga kimeisha nguvu baada ya kufika nchi kavu.

Hali ya hewa kawaida hubadilika kila baada ya muda mfupi sana, unaweza ambiwa sasa hivi mvua itanyesha, ila baada ya muda mfupi hiyo hali ya mvua kunyesha ikapotea.

Wasiojua hili husema mamlaka yetu ya hali ya hewa hawajui kutabiri, au Mungu anatupenda sana halafu anawachukia wengine.
 
...wao ni wao na sisi ni sisi na hata shukrani za wao kwa Mungu ni za wao na shukrani zetu kwa Mungu ni zetu na kwa muktadha huo haipo kejeli yeyote kwalo.

Tofauti na hapo,umepaniki!
Eti Mungu anatulinda sana wakati Biblia na Quran zote zinakiri mvua,upepo, n.k vinatoka kwa Mungu!! So ina maana Mungu anatulinda dhidi ya kitu alichoumba mwenyewe? So anafaham kuwa ni kibaya?
 
Tools for Warfare? Nani sasa atume kimbunga? Yaani wasitume automated drones mbili kuichakaza bandari ila watume kimbunga?

Mbona tunapenda kujitukuza sana kuwa tuna maadui wengi!!
Taka kujua mkuu,usinibishie.Ukinibishia nitakuacha na umbumbumbu wako.

Kwa taarifa yako tayari zipo patents za kutengeneza vimbunga,kuleta mvua nyingi in any place of choice,ukame,volcaniceruptions etc.In short any drastic weather pattern you know can now be manufactured!Umeshawahi kusikia shirika la Marekani la Sayansi linaloitwa DARPA(Defense Advanced Research Projects Agency)
.Umeshawahi kusikia Programu ya Marekani inayoitwa HAARP(high frequency auroral research program - Sök på Google)
Ni noma.

Yale mawazo kwamba vitu kama mafuriko ni natural phenomenon yamepitwa na wakati,it is simply old fashion,science ime-advance sana.Hizi sasa ni silaha za kivita ambazo zinaweza kutumiwa dhidi ya nchi yeyote inayokwenda kinyume na matakwa ya nchi kama Marekani, ambayo tayari ina tekinolojia hizo.
 
Taka kujua mkuu,usinibishie.Ukinibishia nakuacha na umbumbumbu wako.

Kwa taarifa yako tayari zipo patents za kutengeneza vimbunga,kuleta mvua nyingi in any place of choice,ukame,volcaniceruptions etc.In short any drastic weather pattern you know can now be manufactured.Umeshawahi kusikia shirika la Marekani la Sayansi linaloitwa DARPA(Defense Advanced Research Projects Agency)
.Umeshawahi kusikia Programu ya Marekani inayoitwa HAARP(high frequency auroral research program - Sök på Google)

(High Frequency Auroral Research Programme).Ni noma.

Yale mawazo kwamba mambo kama mafuriko ni natural phenomenon yamepitwa na wakati,it is simply old fashion,science ime-advance sana.
HAARP ni conspirancy tu hizo ndio mnajibunia.... Hiyo taasisi inafanya tafiti za kawaida tu bado haijafikia stage ya kuunda man made catastrophe!!

Kingine vimbunga kwenye benguela ocean current huwa yapo karibu kila mwaka tulikua na Idai juzi tu na kikarudi tena baada ya mwezi.

Ingekua haijawahi tokea ndio tungeona kuna conspirancy.... By the way hizo zingetumika kwenye issue kma fukushima au Chernobyl jla sio kwa nchi maskini kma yetu ambayo wakifuta tu supply ya ARV tunapukutika kma kuku!!

tusijikuze sana hatujafika level ya kutumiwa silaha mbadala sisi drone tu ingemaliza kazi yote
 
Corona imekula wengi tu ....kuna watu walijidai eti corona ni mafua weeee!! acha kabisaa
 
HAARP ni conspirancy tu hizo ndio mnajibunia.... Hiyo taasisi inafanya tafiti za kawaida tu bado haijafikia stage ya kuunda man made catastrophe!!

Kingine vimbunga kwenye benguela ocean current huwa yapo karibu kila mwaka tulikua na Idai juzi tu na kikarudi tena baada ya mwezi.

Ingekua haijawahi tokea ndio tungeona kuna conspirancy.... By the way hizo zingetumika kwenye issue kma fukushima au Chernobyl jla sio kwa nchi maskini kma yetu ambayo wakifuta tu supply ya ARV tunapukutika kma kuku!!

tusijikuze sana hatujafika level ya kutumiwa silaha mbadala sisi drone tu ingemaliza kazi yote
Sina haja ya kuendeleza argument na wewe.Characteristic moja wapo ya a mind controlled, brainwashed and NWO slave ni kuita ukweli conspiracy.Mtu wa aina hiyo kujaribu kumuelimisha ni kujisumbua,kwa hiyo unamuacha na upumbavu wake.Bye.
 
Back
Top Bottom