Kwa hali ya Corona na kimbunga Jobo, nimeamini Tanzania inalindwa na Mungu

Kwa hali ya Corona na kimbunga Jobo, nimeamini Tanzania inalindwa na Mungu

Ningeweza kukutumia site ya hivi vimbunga satelite, wana level kama 5 na hii inakuwa kwa speed level 1 mpaka km 153, 2 mpaka 177 muhimu ikifika sasa 5 huko 252 kwenda juu huko sasa majanga. Satelite inachukuwa live speed na muelekeo speed ikipungua wanashusha category na mara nyingi kikifika ardhini speed inakuwa inapungua lakini inategemea na huko kimeanza na speed gani. wao wanaweza kukisia lakini kwa tahadhari wanachukuwa tahadhari zote ila wakiona kila baada ya masaa kina drop speed kiasi gani hapo wanatabiri mpaka kifike speed itakuwa hii wana kisia ila sababu sisi Tanzania hatujawahi kupata issue hizi sana hata kikija na speed 90 KMH kwa sisi ni kubwa sababu sidhani kama tumewahi kupata ila kwa USA mfano hiyo sio lolote maana huwa wanapata mpaka category 5 na inakuwa majanga.
Tarehe 21 speed ilivyokuwa 100Kmh walionya severe tropical storm lakini baadae wakasema inashuka speed lakini hakikuanza na speed labda 200 plus ila sasa sisi hata kikija kile kidogo speed 80 kitasumbua kutokana na mazingira yetu ndio maana tahadhari ilikuwa lazima ila dalili hizi sio nzuri.
 
Sina haja ya kuendeleza argument na wewe.Characteristic moja wapo ya a mind controlled, brainwashed and NWO slave ni kuita ukweli conspiracy.Mtu wa aina hiyo kujaribu kumuelimisha ni kujisumbua,kwa hiyo unamuacha na upumbavu wake.Bye.
Eti NWO we naye ndio wale wale mnaishi kwenye illusions...... Mie nimesoma vitabu vingi tu vya NWO kuanzia enzi za Roy Livesey aliandika miaka ya 90 pengine ulikua hata hujazaliwa so usijifanye una ni enlight about conspirancy bull$h!t.

Eti mtu anakazana HAARP inatengeneza vimbunga!! Hahahahha unachekesha sana kijana.

Tatizo lenu hamtaki facts kusoma wikpedia tu unajikuta tayari expert wa bio weapons

Kwa msaada tu ingia reddit r/conspiracy theory utakuta mada nyingi tu mpaka za kifo cha JPM na Nyerere zinajadiliwa. Huko utakuta washamba wenzio wamejazana zaidi ya 2 Million!! Good luck
 
Halafu either kuna tatizo katika vyombo vya habari au katika system za kutabiri(forecasting) majanga duniani.Nakumbuka CNN iliripoti kuwa Tanzania itapatwa na kimbunga ambacho haijawahi kukipata tangia miaka 80 iliyopita.Sasa najiuliza,ina maana vituo vya kufanya forecasting ya hali ya hewa vilishindwa kujua kuwa hicho kimbunga hakitafika Tanzania?

Ni sahihi kuwa wanasayansi wa kufanya utabiri wa hali ya hewa hawana uwezo wa kujua kwamba kutokana na sababu fulani fulani kimbunga fulani hakiwezi kufika sehemu fulani?Au CNN ndiyo wana tatizo katika kuripoti taarifa zao?
Kwa hiyo umeanza kuto waamini mabeberu?
Si.mnasema kila wanachosema ni sahaihi sasa kwa vile imeshindikana na hilu mnasema wanakosea?
 
Eti Mungu anatulinda sana wakati Biblia na Quran zote zinakiri mvua,upepo, n.k vinatoka kwa Mungu!! So ina maana Mungu anatulinda dhidi ya kitu alichoumba mwenyewe? So anafaham kuwa ni kibaya?
Unafahamu kuhusu agano alilofanya Mungu na mwanadamu mpaka kukawa na upinde wa mvua? Mungu yupo na ndo anatuepusha na majanga haya mwenyewe kwa kadiri ya neema zake.... bila YEYE sisi sio chochote. Daima twamtegemea YEYE atuepushe na majanga ya dunia hii. Nenda katubu ndugu, Mungu si wa kufanyiwa dhihaka.
 
Stuka wewe, hiyo stori inaweza kuwa ilikuzwa kutengeneza njia ya kupitisha mzigo ilipobumba ndio zinakuja taarifa kimeyeyuka kwa nguvu za maombi.chezea tani mbili nini ?
Inaweza kuwa kweli!! walitaka kutengeneza mazingira ili watu wawe wachache baharini ili mzigo upite!!
Kwahio wauza unga wanna watu wao hapo CNN.

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Kama hayati angekuwepo basi hiki kimbunga Jobo kingetupiga vibaya mno kama lile tetemeko la Kagera kisha angeshangisha pesa alafu angesema serikali haijaleta Kimbunga
 
Halafu either kuna tatizo katika vyombo vya habari au katika system za kutabiri(forecasting) majanga duniani.Nakumbuka CNN iliripoti kuwa Tanzania itapatwa na kimbunga ambacho haijawahi kukipata tangia miaka 80 iliyopita.Sasa najiuliza,ina maana vituo vya kufanya forecasting ya hali ya hewa vilishindwa kujua kuwa hicho kimbunga hakitafika Tanzania?

Ni sahihi kuwa wanasayansi wa kufanya utabiri wa hali ya hewa hawana uwezo wa kujua kwamba kutokana na sababu fulani fulani kimbunga fulani hakiwezi kufika sehemu fulani?Au CNN ndiyo wana tatizo katika kuripoti taarifa zao?
Ndugu yangu utaabiri lengo lake ni kutoa tahadhari.. kutokutokea kwa janga haimaniahi kwamba walikosea ndo maana ni watu haohao wametoa feedback kutaarifu kwamba kimbunga kumepungua nguvu technolojia ya sahivi ngumu sana kukosea hasa kwa janga kama la kimbunga yani..
 
Forecasting sio static ni agile.... Yaani unaweza ona mvua inakuja ila ndani ya sekunde ikahama. Same to Kimbunga cha mwaka jana baada ya Idai ilipaswa kitue Mtwara ila kikapinda kuelekea msumbiji.

Nadhani ukaribu na Equator ndio umeokoa hili kuliko wenzetu madagascar na msumbiji ambao hvi vimbunga huwapata kila wakati.

Mungu ni wa wote ina maana kwenye matetemeko kma Japan hakuna Mungu? Huko msumbiji hakuna wenye dini? Tuache kejeli za ajabu.
Mechanism ipi ilitumika kupinda Msumbiji? Hebu kuwa muungwana sema "Mungu alitusaidia" shenzi wewe!
 
Nimeiona mahali:


Ndugu zangu!

Kikawaida cyclones huwa hazikimbilii towards the equator. Zikifanya hivyo huwa zinakosa nguvu na kutawanyika. Kwa maana hiyo hatari kubwa kwa hii Cyclone ya Jobo ni Lindi na Mtwara (9 degrees S) na sio Dar (6 degrees S).

Ndiyo maana cyclones nyingi zinazoanzia bahari ya Hindi huwa zina gain southwards na kuishia Madagascar au Mozambique. Hii ya ku gain northwards towards the equator kwa kweli ni ajabu

Kikawaida ni vigumu kutokea cyclone/hurricane/typhoon 5 - 7 degrees South or North of the Equator sababu kuna Coriolis Effect ndogo. Dar ni 6 degrees South of Equator kwa hiyo ideally cyclone itadhoofishwa na kutawanyika inapokaribia Dar. Ndiyo maana Lindi na Mtwara (9 degrees S) makes more sense.

Huku kwetu kwenye Southern hemisphere cyclones zote huwa zinaenda clockwise, hata vimbunga n.k......kwenye Northern hemisphere huwa ni anti-clockwise. Sasa tunapo approach Equator huwa hii phenomenon inapungua na tunapoenda mbali na equator inaongezeka....na kwenye equator yenyewe hakuna hii effect......cyclones huwa hazikimbilii equator. Kwa mfano unaweza kufanya practical kidogo.....tukijaza sink maji tukiyafungulia yatazunguka clockwise sababu tupo Southern hemisphere ila kwa wenzetu waliopo northern hemisphere (mfano Uingereza) itakua anti-clockwise....na waliopo equator mfano Kenya au Uganda yataanguka tu straight down! Ndiyo maana inavyosemwa kitaenda northwards hapo ni ajabu sana.

Kinadharia....the worst that can happen kwa Dar ni mvua tu tena kwa kiasi chake. Kitakutana na mengi ya kukiresolve njiani mpaka kifike Dar. Imesahaulika tu kukumbushia oceanic currents,......maana kikiwa njiani kwa upande uliosemwa kutokea kitakutana na Mozambican current hivyo kitapunguzwa nguvu sana.

Vurugu inaweza kuwa kusini hasa Mafia, Rufiji na kwenda Lindi na Mtwara. Dar si rahisi....kikija northwards kuanzia (Dar) na kuendelea maeneo mengine northwards kweli kitakua kimefanya Job kama wanavyokiita Jobo [emoji28]
In short, Mungu ametusaidia hayo mengine ni upumbavu!
 
Mechanism ipi ilitumika kupinda Msumbiji? Hebu kuwa muungwana sema "Mungu alitusaidia" shenzi wewe!
Kwani kimbunga Idai nacho si kilikuwa Tz bound ila kikaishia mtwara to msumbiji..... Hata mvua kubwa imenyeshwa mtwara hku kimbunga kiki susbside baharini!! Au huko Mtwara hawana Mungu.

Akili zako ni kama hilo shetani kwenye avatar yako!!
 
Hivi mimi ni nani hadi nisishuhudie maajabu ya Mungu kwa Nchi yetu!

Kwa sisi tunaosafiri hasa Nchi za wenzetu kwa namna wanavyohangaishwa na Corona na ukiringanisha na namna tunavyoishi hapa kwetu Tanzania hakika mapenzi ya Mungu kwa Nchi yetu ni mema sana.

Hilo la kimbuga Jobo pia kutokuleta athali zozote kama ilivyotarajiwa hakika mkono wa Mungu ni wa kipekee kwa Taifa letu.

Kama Watanzania na pasipo kujali tofauti zetu za kiimani na kisiasa yatupasa sasa tumshukuru mwenyezi Mungu kwa mapenzi mema kwa Nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania!
Umesahau kitu kimoja ambacho Mungu alikifanya tukainuka kama taifa. Emb kiongeze hapo chap nishushie na hii throat sanitizer yangu! Fanya fasta.
 
Unafahamu kuhusu agano alilofanya Mungu na mwanadamu mpaka kukawa na upinde wa mvua? Mungu yupo na ndo anatuepusha na majanga haya mwenyewe kwa kadiri ya neema zake.... bila YEYE sisi sio chochote. Daima twamtegemea YEYE atuepushe na majanga ya dunia hii. Nenda katubu ndugu, Mungu si wa kufanyiwa dhihaka.
Acheni utoto ina maana msumbiji hakuna watu wenye Mungu? Mbona kuna mafuriko kila mwaka? TMA wameeleza proximity na equator ndio imetuokoa jitu linakuja hapa na upotoshaji.

Mungu ndio kaumba vimbunga na vinaua maelfu kila mwaka sasa unapodai yeye kazuia ina maana kazi yake ina makosa? Ina maana Mungu anajua vimbunga ni vibaya kwa binadamu ila anavipeleka msumbiji kila mwaka?

Embu msipende kujifanya mnampenda Mungu sana otherwise takwimu za Mewata zisingeonyesha 35% ya wanawake wanalawitiwa na wanaume Tanzania!!
 
Halafu either kuna tatizo katika vyombo vya habari au katika system za kutabiri(forecasting) majanga duniani.Nakumbuka CNN iliripoti kuwa Tanzania itapatwa na kimbunga ambacho haijawahi kukipata tangia miaka 80 iliyopita.Sasa najiuliza,ina maana vituo vya kufanya forecasting ya hali ya hewa vilishindwa kujua kuwa hicho kimbunga hakitafika Tanzania?

Ni sahihi kuwa wanasayansi wa kufanya utabiri wa hali ya hewa hawana uwezo wa kujua kwamba kutokana na sababu fulani fulani kimbunga fulani hakiwezi kufika sehemu fulani?Au CNN ndiyo wana tatizo katika kuripoti taarifa zao?
Asante hayati rais Magufuli kwa kutuachia wosia wa kuacha hofu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.

Kimbunga Jobo na Corona wamekiona cha mtema kuni Tanzania.

Ni aibu tupu kwa Chadema.
 
Nchi iliyobobea kwa matambiko na mambo ya hovyo hovyo kama ulozi, uchawi, ushirikina, ufisadi, wizi wa pesa na mali ya umma, ufiraji inalindwa na Mungu yupi? toa ufafanuzi...
 
Nimeiona mahali:


Ndugu zangu!

Kikawaida cyclones huwa hazikimbilii towards the equator. Zikifanya hivyo huwa zinakosa nguvu na kutawanyika. Kwa maana hiyo hatari kubwa kwa hii Cyclone ya Jobo ni Lindi na Mtwara (9 degrees S) na sio Dar (6 degrees S).

Ndiyo maana cyclones nyingi zinazoanzia bahari ya Hindi huwa zina gain southwards na kuishia Madagascar au Mozambique. Hii ya ku gain northwards towards the equator kwa kweli ni ajabu

Kikawaida ni vigumu kutokea cyclone/hurricane/typhoon 5 - 7 degrees South or North of the Equator sababu kuna Coriolis Effect ndogo. Dar ni 6 degrees South of Equator kwa hiyo ideally cyclone itadhoofishwa na kutawanyika inapokaribia Dar. Ndiyo maana Lindi na Mtwara (9 degrees S) makes more sense.

Huku kwetu kwenye Southern hemisphere cyclones zote huwa zinaenda clockwise, hata vimbunga n.k......kwenye Northern hemisphere huwa ni anti-clockwise. Sasa tunapo approach Equator huwa hii phenomenon inapungua na tunapoenda mbali na equator inaongezeka....na kwenye equator yenyewe hakuna hii effect......cyclones huwa hazikimbilii equator. Kwa mfano unaweza kufanya practical kidogo.....tukijaza sink maji tukiyafungulia yatazunguka clockwise sababu tupo Southern hemisphere ila kwa wenzetu waliopo northern hemisphere (mfano Uingereza) itakua anti-clockwise....na waliopo equator mfano Kenya au Uganda yataanguka tu straight down! Ndiyo maana inavyosemwa kitaenda northwards hapo ni ajabu sana.

Kinadharia....the worst that can happen kwa Dar ni mvua tu tena kwa kiasi chake. Kitakutana na mengi ya kukiresolve njiani mpaka kifike Dar. Imesahaulika tu kukumbushia oceanic currents,......maana kikiwa njiani kwa upande uliosemwa kutokea kitakutana na Mozambican current hivyo kitapunguzwa nguvu sana.

Vurugu inaweza kuwa kusini hasa Mafia, Rufiji na kwenda Lindi na Mtwara. Dar si rahisi....kikija northwards kuanzia (Dar) na kuendelea maeneo mengine northwards kweli kitakua kimefanya Job kama wanavyokiita Jobo [emoji28]
Alooo!!!

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Hivi mimi ni nani hadi nisishuhudie maajabu ya Mungu kwa Nchi yetu!

Kwa sisi tunaosafiri hasa Nchi za wenzetu kwa namna wanavyohangaishwa na Corona na ukiringanisha na namna tunavyoishi hapa kwetu Tanzania hakika mapenzi ya Mungu kwa Nchi yetu ni mema sana.

Hilo la kimbuga Jobo pia kutokuleta athali zozote kama ilivyotarajiwa hakika mkono wa Mungu ni wa kipekee kwa Taifa letu.

Kama Watanzania na pasipo kujali tofauti zetu za kiimani na kisiasa yatupasa sasa tumshukuru mwenyezi Mungu kwa mapenzi mema kwa Nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania!

Mungu kaanzisha lini mipaka ya nchi😂😂 sasa Je walikufa wengine kwenye nafasi za juu Mungu hakuwepo au😂😂 acheni kumchezea Mungu
 
Naona sheikh kisiki anasema jobo imechapwa 3 bila
 
Hivi mimi ni nani hadi nisishuhudie maajabu ya Mungu kwa Nchi yetu!

Kwa sisi tunaosafiri hasa Nchi za wenzetu kwa namna wanavyohangaishwa na Corona na ukiringanisha na namna tunavyoishi hapa kwetu Tanzania hakika mapenzi ya Mungu kwa Nchi yetu ni mema sana.

Hilo la kimbuga Jobo pia kutokuleta athali zozote kama ilivyotarajiwa hakika mkono wa Mungu ni wa kipekee kwa Taifa letu.

Kama Watanzania na pasipo kujali tofauti zetu za kiimani na kisiasa yatupasa sasa tumshukuru mwenyezi Mungu kwa mapenzi mema kwa Nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania!
Kabisa kabisa ... na kwa sababu hili umeliweka kwenye jukwaa la SIASA basi niseme tu hata huko MUNGU MKUU ametulinda kwa madhara ya kisiasa ambayo yalikua yanaenda kuligharimu taifa kwa madhara makubwa ya UDICTATOR

Basi niseme tu watanzania wote kwa ujumla wetu tumshukuru sana MUNGU kwa kutulinda na UDICTATOR hasa kwa kutuondelea DICTATOR aliyekua anaanza kuota mizizi na kushika kasi ya ajabu

Hii ni kwa sababu kuna mmoja wetu alijitangaza kuwa yeye ni MALAIKA na akataka kupewa URAISI wa maisha lakini kwa mapenzi yako MUNGU na kwa huruma yako kwa watanzania ukamkata moto fasta na kuzima ndoto zake na za wenza wake

Ila bado kuna mmoja bado anajitutumua na kujaribu kujifanya yeye ni Mwamba Mkuu. Eeh MUNGU tunakuomba kwa baraka za mwezi huu mtukufu wa RAMADHANI tusikie dua yetu watanzania, tunakuomba utuondolee na huyu nae haraka uwezavyo aidha kwa kifo, ugonjwa usiopona au ulemavu wa kudumu na ashindwe kukikalia tena kiti kile cha MJENGONI

Tuseme Amen!!! [emoji2969][emoji2969][emoji2969]
 
Back
Top Bottom