Kwa hali ya Corona na kimbunga Jobo, nimeamini Tanzania inalindwa na Mungu

Kwa hali ya Corona na kimbunga Jobo, nimeamini Tanzania inalindwa na Mungu

Halafu either kuna tatizo katika vyombo vya habari au katika system za kutabiri(forecasting) majanga duniani.Nakumbuka CNN iliripoti kuwa Tanzania itapatwa na kimbunga ambacho haijawahi kukipata tangia miaka 80 iliyopita.Sasa najiuliza,ina maana vituo vya kufanya forecasting ya hali ya hewa vilishindwa kujua kuwa hicho kimbunga hakitafika Tanzania?

Ni sahihi kuwa wanasayansi wa kufanya utabiri wa hali ya hewa hawana uwezo wa kujua kwamba kutokana na sababu fulani fulani kimbunga fulani hakiwezi kufika sehemu fulani?Au CNN ndiyo wana tatizo katika kuripoti taarifa zao?

Bwana Yesu alikemea Upepo baharini ukamtii na ukanyamaza. Alisema kwa Nguvu na Uweza Jina lake tutaponya kila ugonjwa. Mapepo na majini ndio kabisa yakilisikia jina lake yana weweseka na kutafuta pa kutokea. Acha wenye kuunda kamati za corona waunde bali kwenye Ulimwengu wa Roho corana imeshashindwa.

Eti Watanzania tuende leo tuwaulize wenzetu EAC na SADC kuhusu corona. Tumesha sahau mara tulimtanguliza na kumtegemea Mungu na hatuoni ahueni tuliyo nayo ukilinganisha na hao tunao enda kuwataka ushauri. Na fikiri duniani huko watu wengi wamejiuliza mbona Tanzania hivi ?Tumeona maana dunia leo iko kiganjani, ndugu na jamaa walio huko dunia ya kwanza wanasema jamani na sisi tuombeeni kwa Mungu. Lakini sometimes sijui wanadamu wengine wanamchukuliaje Mungu wa Mbinguni, inasikitisha tena sana.
 
....bado mwenyezi Mungu ni wa ajabu na anaendelea kutenda wema usioelezeka kwa Nchi yetu.

Asubuhi ya leo,rafiki yangu mmoja bwana Smith mwenyezi wa Chigago huko USA amenipigia simu huku akionyesha hali ya kutokuamini kipi kimeleteleza kimbuga Jobo kiukwepe Ukanda wetu wa Pwani jambo ambalo hata huko ng'ambo hawaamini!
JIWE alimtanguliza Mungu sana katika uongozi wake, na kila Mara alitusihi tumuamini Mungu!
RIP JIWE
 
Hivi mimi ni nani hadi nisishuhudie maajabu ya Mungu kwa Nchi yetu!

Kwa sisi tunaosafiri hasa Nchi za wenzetu kwa namna wanavyohangaishwa na Corona na ukiringanisha na namna tunavyoishi hapa kwetu Tanzania hakika mapenzi ya Mungu kwa Nchi yetu ni mema sana.

Hilo la kimbuga Jobo pia kutokuleta athali zozote kama ilivyotarajiwa hakika mkono wa Mungu ni wa kipekee kwa Taifa letu.

Kama Watanzania na pasipo kujali tofauti zetu za kiimani na kisiasa yatupasa sasa tumshukuru mwenyezi Mungu kwa mapenzi mema kwa Nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania!
Sina hakika kama ulisoma geography na kama ulisoma aliyelewa? Na kama ulielewa ulifanya mitihani yake! Na kama ulifanya ulifanya mwenyewe au ilifanyiwa nje unaingia na majawabu.
MUNGU YUPI? huyu mnaemhubiri pale bungeni huku mkiwa na mahirizi viunoni?????
 
Eti Mungu anatulinda sana wakati Biblia na Quran zote zinakiri mvua,upepo, n.k vinatoka kwa Mungu!! So ina maana Mungu anatulinda dhidi ya kitu alichoumba mwenyewe? So anafaham kuwa ni kibaya?
Mungu ni Mungu wa mipango mkuu,acha kumkufuru.Kumbuka pia kwamba Mungu ni upendo.Infact you can replace the word God with Love.

Mungu hana sababu yeyote ya kukutesa wewe wakati huu wa "New Covenant" na wanadamu.Ukiona mahali pana uharibifu au chochote cha kuleta majuto au maumivu,ujue kinatokana na Shetani.Kazi za Shetani ni dhahiri,nazo ni kuharibu,kuua na kuiba.
 
Corona imekula wengi tu ....kuna watu walijidai eti corona ni mafua weeee!! acha kabisaa
This is scientific misinformation.I call it "a scientific covid con game!" Mnasikiliza udaku kwenye vijiwe vya BBC,CNN,Aljazeera, CGTN na stooges wao ITV,Azam nk. halafu mnasambaza sumu ya uongo kwenye jamii ambayo inaleta hofu isiyo ya lazima kwenye jamii,mbaya sana.

The so called C-19 disease is a scandamic,it is not a pandemic.Tafuteni taarifa sahihi from uncompromized sources,sio from compromised sources kama BBC na vikaragosi vyao kama ITV nk.,mtalishwa matango mwitu.
 
Corona imekula wengi tu ....kuna watu walijidai eti corona ni mafua weeee!! acha kabisaa
Kwa hiyo sasa hivi corona imeisha? Mbona sisikii hata umbea kuwa fulani kafa kwa corona? Jibu imeisha?
 
Stuka wewe, hiyo stori inaweza kuwa ilikuzwa kutengeneza njia ya kupitisha mzigo ilipobumba ndio zinakuja taarifa kimeyeyuka kwa nguvu za maombi.chezea tani mbili nini ?
Mkuu umenishtua usingizini. Kwa weza kuwepo hila?
 
Mkuu umenishtua usingizini. Kwa weza kuwepo hila?
Mazingira ya jinsi tukio lilivyojiri yanaleta mashaka na kuhitaji mtu ufikirie nje ya box
Mkuu umenishtua usingizini. Kwa weza kuwepo hila?
Ni muda wa kumpa support kubwa sana Mabeyo naamini ni miongoni mwa wazalendo wakubwa sana kwa nchi yetu and Good thing ni kuwa aliplay along na hiyo stori huku akiwa kamili gado
 
Kwa hiyo sasa hivi corona imeisha? Mbona sisikii hata umbea kuwa fulani kafa kwa corona? Jibu imeisha?
Ni swali zuri sana mkuu.Mimi niko Morogoro.Sisikii ambulance zikipita na wagonjwa wa Corona;sioni jirani anayeumwa na Corona;wala jirani yangu Daktari sisikii akilalamika kwamba wamezidiwa na wagonjwa wa Corona.

Tukienda hospitali kuangalia wagonjwa,things are as normal as they can possibly be,wala hatuoni kwamba hospitali zimezidiwa na wagonjwa, kila kitu ni kama zamani tu.Mtaani sioni watu waliovaa barakoa.......!What is happening here.


This is scientific misinformation and fraud.I call it "a scientific covid con game!" Watu wanasikiliza udaku kwenye vijiwe vya BBC,CNN,Aljazeera, CGTN na stooges wao ITV,Azam nk. halafu wanasambaza sumu ya uongo kwenye jamii ambayo inaleta hofu isiyo ya lazima,mbaya sana.

The so called C-19 disease is a scandamic,it is not a pandemic.Watu watafute taarifa sahihi from uncompromized sources,sio from compromised sources kama BBC,Aljazeera na vikaragosi vyao ITV,Azam,Clouds nk.
 
Ni swali zuri sana mkuu.Mimi niko Morogoro.Sisikii ambulance zikipita na wagonjwa wa Corona;sioni jirani anayeumwa na Corona;wala jirani yangu Daktari sisikii akilalamika kwamba wamezidiwa na wagonjwa wa Corona.

Tukienda hospitali kuangalia wagonjwa,things are as normal as they can possibly be,wala hatuoni kwamba hospitali zimezidiwa na wagonjwa, kila kitu ni kama zamani tu.Mtaani sioni watu waliovaa barakoa.......!What is happening here.


This is scientific misinformation and fraud.I call it "a scientific covid con game!" Watu wanasikiliza udaku kwenye vijiwe vya BBC,CNN,Aljazeera, CGTN na stooges wao ITV,Azam nk. halafu wanasambaza sumu ya uongo kwenye jamii ambayo inaleta hofu isiyo ya lazima,mbaya sana.

The so called C-19 disease is a scandamic,it is not a pandemic.Watu watafute taarifa sahihi from uncompromized sources,sio from compromised sources kama BBC,Aljazeera na vikaragosi vyao ITV,Azam,Clouds nk.
Kila sehemu hai iko kama ulivyoelezea mkuu, hofu ya corona hakuna. Magufuli alikuwa sahihi. Wangetufungia sasa hivi hali ingekuwa vipi?

Wenye akili mbovu wanazusha eti magufuli alikufa kwa corona, je kama ni coron ni zaidi mwezi tangu afariki je hiyo corona wanayoisema ikulu mbona haijamuua mwingine?

Tofauti na ikulu, sehemu nyingine hali ikoje?
Maana hata kama hawatangazi lakini watanzania hawawezi kukosa taarifa hasa za corona, je baada ya magufuli kufa corona imeisha tanzania?
Binafsi sina uakika kama ipo au haipo, lakini najiuliza vip mbona kimya? Inamaana corona inakuja na kuondoka kwa muda?

Akili za kuambiwa ..........
 
Corona imekula wengi tu ....kuna watu walijidai eti corona ni mafua weeee!! acha kabisaa

Watu wanajidanganya kwamba corona kwetu haijaleta madhara naona ni wapuuzi au hawajui vizuri ugonjwa wa corona.

watambue kwamba watakaopata corona 85% hawaonyeshi dalili(Sio kwamba hakuna corona) , 15% wanaonyesha dalili katika hao 15% baadhi ya 3% wanafariki na mara nyingi wanakuwa na magonjwa mengine.

Kwahiyo kama upo strong ,huna magonjwa mengine ,kinga zipo juu basi unaweza ukaangukia kwenye hao 85%.
 
Geographical location yetu ndo inatubeba

Baadhi ya wanaJF sijui huwa hawatumii ubongo kufikiri? Haya majanga huwa na tabia ya kujirudia,sasa kama TZ hatujawahi kupata cyclones hiyo JOBO imetokea wapi? Jaribu kuchunguza USA sehemu ambazo zinapigwa na cyclones huwa zinajirudia rudia, kama sehemu haijawahi kupigwa basi ni rarely sana kuja kupigwa katika normal circumstances.
 
Halafu either kuna tatizo katika vyombo vya habari au katika system za kutabiri(forecasting) majanga duniani.Nakumbuka CNN iliripoti kuwa Tanzania itapatwa na kimbunga ambacho haijawahi kukipata tangia miaka 80 iliyopita.Sasa najiuliza,ina maana vituo vya kufanya forecasting ya hali ya hewa vilishindwa kujua kuwa hicho kimbunga hakitafika Tanzania?

Ni sahihi kuwa wanasayansi wa kufanya utabiri wa hali ya hewa hawana uwezo wa kujua kwamba kutokana na sababu fulani fulani kimbunga fulani hakiwezi kufika sehemu fulani?Au CNN ndiyo wana tatizo katika kuripoti taarifa zao?
Mkuu... Kubaliana tu na ukweli kuwa Mungu anatupenda na kutulinda... Acha kutafuta sababu za kutaka kupinga ukweli huu asee.
 
Mungu ni Mungu wa mipango mkuu,acha kumkufuru.Kumbuka pia kwamba Mungu ni upendo.Infact you can replace the word God with Love.

Mungu hana sababu yeyote ya kukutesa wewe wakati huu wa "New Covenant" na wanadamu.Ukiona mahali pana uharibifu au chochote cha kuleta majuto au maumivu,ujue kinatokana na Shetani.Kazi za Shetani ni dhahiri,nazo ni kuharibu,kuua na kuiba.
Jer 14:22
Je! Katika vitu vya ubatili vya mataifa, kiko kitu kiwezacho kuleta mvua? Je! Mbingu zaweza kutoa manyunyu? Je! Si wewe, Ee BWANA, Mungu wetu? Kwa sababu hiyo tutakungoja; kwa kuwa wewe umevifanya vitu hivi vyote.

Are there any among the false gods of the nations that can bring rain? Or can the heavens give showers? Are you not he, O Lord our God? We set our hope on you, for you do all these things.

Mpaka hapo bible inakataa kiumbe chochote kisicho Mungu hakiwezi kuleta Mvua!!!

Sasa basi nani huwa analeta?

Zechariah 10: 1
Ask rain from the Lord in the season of the spring rain, from the Lord who makes the storm clouds, and he will give them showers of rain, to everyone

Mungu ndio ana uwezo wa kutengeneza storms na hapo inasema inampata kila mtu yaani mwenye dhambi na mtakatifu bila kubagua.

Mathew 5:45
.....maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki

So mvua + upepo sio adhabu kwa mtu but ni nature ya Mungu na uumbaji wake hivyo vinaletwa na Mungu. Unapodai majanga yanaletwa na shetani ina maana shetani anaichukia sana Japan ambapo karbu kila mwezi kuna tetemeko?
 
Back
Top Bottom