Kwa hali ya Corona na kimbunga Jobo, nimeamini Tanzania inalindwa na Mungu

Mkuu mimi nina valid and reliable sources kabisa toka kwa viongozi wa dini waliomuombea dakika zake za mwisho..... JPM alifariki kwa CORONA and I'm very confident with this!! Hilo tatizo la moyo ni secondary tu ila iliyo trigger ni mfumo wa upumuaji.

By the way mashine yake ilisha expire toka 2018 so kama kumuua ingefanya hivyo toka huo mwaka!!
 
Kama corona mbona tangu afe hakuna mwingine alokufa?au corona ilikuja kwa ajili yake kwamba akifa yeye corona inaondoka tz?

Na hao viongozi unaowasema kama walikuwa nae mpaka dk za mwisho je wao bado wako hai? Mbona hakuwaambukiza?

So jpm kaondoka na corona ? mbona sisikii tetesi zozote za corona tangu afariki jpm?

Na hiy mashine kama ii expire 2018 je alikuwa akiishi vipi sasa for 2yrs baada ya expire? Nyie watu nyie??

Akili za kuambiwa........
 
Kama upo Dar naomba nikutembeze kwa watu naojua wanaugua Covid 19 mimi binafsi wazazi wangu wote wawili waliugua, rafiki zangu wa inner circle wawili, majirani zangu immediate waliugua wamama wawili na kijana mmoja!!

Naomba uende pale Aga Khan ER department simama reception afu karopoke hili..... Ukirudi ukiwa hai ww ni kidume.
 
Kama corona mbona tangu afe hakuna mwingine alokufa?au corona ilikuja kwa ajili yake kwamba akifa yeye corona inaondoka tz?

Akili za kuambiwa........
ile ni wave ili peaka February/March so waliokufa walienda waliobaki ndio wamepona.

Kma umemsikia Mama Samia ameeleza hilo kuwa issue sio corona bado ipo au lah issue ni kwamba wave ikirudi inapukuchua ghafla so lazma ujiandae nayo wakati wote.

Kanisani kwetu tu February tumezika seniors wengi sana tena watu muhimu sana. My both parents wameponea ICU so nime prove kwa macho yangu huu ugonjwa ni real
 
Sorry to say this ila CNN ni was**nge sana.

Wanatumia advantage ya kuwa wako credible kutisha na ku undermine African countries.


Pumbav zao.
 
Hao unaowakejeli wasingevumbua ARV na PrEP na kuwapa bure mngekuwa mmekufa wangapi?

Bila chemotherapy/Radiotherapy zao mngekua mmekufa wangapi na saratani.... Mind you kila mwaka TZ watu zaidi ya elfu 50 wanaugua kansa!!

Mungu ni wa wote na wamepata chanjo hku nyie mmekalia kejeli tu. Embu ingia Reddit uone kejeli alizopewa JPM, kwamba licha ya kumtegemea Mungy Covid imempeleka? Btw JPM aikua malaya vile hvi Mungu anasikiliza maombi ya muasherati?
 
Ukiachia mbali MUNGU,kuna kitu kina Mwalimu Nyerere na wazee wamekiweka kama kinga ya Nchi na mipaka yake ....
 
Kama ni wave kama ysemavyo kwa nini i peak kwa jpm? Si mulisema watu walivyo furika kuuaga mwili viwanjani na chato kwamba baada ya wiki mbili tutazika sana? Niambie ni mwezi + sasa mmezika wangapi?

Ninachoweza kusema sipingi kuwa corona haipo ila kifo cha jpm sio corona.hizo ni porojo za watu.
 
Reactions: RMC
Sorry to say this ila CNN ni was**nge sana.

Wanatumia advantage ya kuwa wako credible kutisha na ku undermine African countries.


Pumbav zao.
Mbona TMA, Media za bongo, kenya, China zilisema au mna bias na wazungu tu na sio TMA?

By the way CNN walisema kikifika nchi kavu kitapungua nguvu mpka below 40 km/ph sasa walimtisha nani?
 
Alieniambia hivyo ni kiongozi wa dini kubwa sana na ni informant wa TISS kwa miaka zaidi ya 10!! Alikuepo kwenye timu iliyoenda mfanyia maombi na wanadai walimuongoza sala ya toba.

So nimechagua kumuamini maana hakua na sababu ya kudanganya.
 

NIKO OFF THE TOPIC:

Unaponena habari njema za ufalme wa Mungu Yehova, nawe unatakiwa kuwa na moyo, dhamira na nafsi iliyo safi..

Jina la mtu huakisi (reflect) na huathiri tabia na matendo ya mtu huyo..

Naamini wewe ni msukuma. Bahati njema mimi nimeishi na wasukuma na naelewa utamaduni wa kisukuma ikiwemo lugha yao...

Jina lako unalotumia hapa "JITOMBA - SHISHO" ambalo umejipa mwenyewe ni ishara kuonesha kuwa huwa unawaza nini na uwazalo ndilo utendalo...

Laiti nikieleza maana ya jina lako la kisukuma ambalo moja kwa moja ni TUSI BAYA kabisa, watu watashangaa sana kiasi cha kushindwa kuelewa umepata wapi audacity ya kunena ya Mungu Yehova...

Ndugu tubu, badili jina lako lisiendelee kuathiri tabia na mwenendo wako. Kujifanya mtakatifu nje huku moyoni ukiwa sivyo, ni angamio lako...

Kama nitakukwaza kwa haya, naomba nitangulie kuomba radhi. Hata hivyo, niliwiwa kusema hili. Nimetimiza wajibu wangu...

Asante..
 
Asante hayati rais Magufuli kwa kutuachia wosia wa kuacha hofu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.

Kimbunga Jobo na Corona wamekiona cha mtema kuni Tanzania.

Ni aibu tupu kwa Chadema.
Your browser is not able to display this video.
 
Mungu hufanya au huruhusu jambo lolote litokee au lisitokee kwa mapenzi yake. Hoja kuwa mbona wenzetu wanasali na kuomba lakini wanapatwa na mabalaa haina uzito kwani sisi binadamu hatuwezi kumchunguza mwenyezi Mungu. Kama. i ni msomaji mzuri wa biblia hususan agano la kale utakuwa umeona kuwa mara nyingi waisraeli walipotangaziwa kupigwa mapigo kwa kumkosea Mungu, walipomlilia na kufanya toba Mungu alighairi kuwatenda mabaya, rejea simulizi ya nabii Yona kwa mfano. Mungu huchunguza mioyo ya wanadamu wanawaza nini, sisi binadamu tunamjaji mtu kwa kumuangalia kwa nje. Mfano baba yake Mfalme Daudi alipoendewa na nabii ili miongoni mwa watoto wake ampake mafuta mmoja wao kuwa mfalme, yule baba alimletea watoto wake sita kati ya saba sababu yule mmoja alimdharau kuwa hawezi kuteuliwa. Lakini nabii aliwakataa wote wale sita na akamuuliza huna mtoto mwingine? Yule mzee ndipo akasema kako kamoja kanachunga kondoo (Daudi). Nabii akaagiza aletwe na alipoletwa alipakwa mafuta na baadae akawa mfalme maarufu wa israel hata leo hii.

Usichunguze njia za Mungu kwa sababu hazichunguziki.

Suala la JPM, hakuna mtu anayebisha, Mungu ndiye aliyemuita kwake .

Angalia hata sasa nchi kama India, Brazil wanapokufa kwa korona licha ya kukumbatia chanjo lakini tazama jinsi Mungu anavyoiponya Tanzania hata hao vibaraka wanashindwa kutoa hata takwimu za uongo za kusingizia Tanzania kuna korona. Sipingi kuwa korona haijawahi kuwepo Tanzania la hasha, ilikuwepo lakini kwa kiasi kidogo sana na madhara yake hayakuwa makubwa hata kulinganisha na majirani zetu, pengine Mungu alitaka kutukumbusha kumtegemea. Watu waliponlilia na kumuomba amejibu ndio maana unaona hata hao wanaoipinga serikali hawavai barakoa, nenda mpirani, masokoni, vituo vya daladala kote huko hakuna anayevaa barakoa wala social distance. Hata leo hii mikutano ya upinzani ikiruhusiwa hakuna atakayevaa wala hivyo vyama havitawahimiza wanachama na mashabiki wao kuvaa barakoa.

Mungu yupo na ataendelea kuilinda Tanzania.
 
Nchi hii inalindwa na Mungu yeyeto atakae kuivuruga atavurugwa yeye na kusambaratika njia saba
 
Stuka wewe, hiyo stori inaweza kuwa ilikuzwa kutengeneza njia ya kupitisha mzigo ilipobumba ndio zinakuja taarifa kimeyeyuka kwa nguvu za maombi.chezea tani mbili nini ?
Ila kweli asee.... mimi nilokuwa najiuliza hiki kimbunga kunapopita kinapita kwenye visiwa mbalimbal kama ila hatukusikia maafa kwenye kisiwa hata kimoja. Inawezekana hakukuwa na kimbunga.
 
Are sure ni Corona disease na sio underlying cases,maana siku hizi kila ugonjwa ni Corona.

Kipimo chenyewe kinachotumiwa ni RT-PCR kit,ambayo ina-report false positives.Madaktari wenyewe wame-kuwa conned.Mkuu ni utapeli mtupu unaoendelea.Na mtu kama huna background ya science au your background is shaky in scirnce,ndio rahisi kweli kuwa conned.

Mkuu true science,sio compromized science,inasema kwamba hakuna C-19 disease,kinachosumbua watu ni other diseases from other causes,na kwa kuwa RT-PCR test nayo ina-report false positives, kila anayepelekwa hospitali anaonekana kama ana Corona.And mind you this is design ili kujaribu kuonyesha kwamba the problem is real,kumbe hata sio.

Watu tuamke jamani tutafute taarifa from independent sources,sio compromized sources.
 
Corona haipo mkuu,it's pure scientific misinformation. Asiye mtaalam hawezi ku-appreciate hili kwa kuwa kila kukicha anakuwa bombarded with information that C-19 disease is real.Kumbuka kwamba uongo ukirudiwa mara kwa mara the mind records it as real,na hili ndilo wanalofanya.
Ukifungua TV channel yeyote ni Corona Corona,Corona.Taarifa zingine zinapata very little coverage,ni kama hazipo vile.
 

ili uweze kufanya this deep analyis ni lazima uwe na satelite! kibaya zaidi watu wanachowaza bongo ni nafasi za kazi tu
 

ukweli ni kwamba hospitali zote nlizobahatika kutembelea dar hawana tatizo la wagonjwa wa corona! hio ni 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…