Kwa hali ya Corona na kimbunga Jobo, nimeamini Tanzania inalindwa na Mungu

Kwa hali ya Corona na kimbunga Jobo, nimeamini Tanzania inalindwa na Mungu

ukweli ni kwamba hospitali zote nlizobahatika kutembelea dar hawana tatizo la wagonjwa wa corona! hio ni 100%
Huu ndio ukweli mkuu.Thankyou.The whole thing is fabricated na daktari au mwanasiasa yeyote utakaye-ona anashupalia swala la Corona ujue kwamba ni compromized.
 
Alieniambia hivyo ni kiongozi wa dini kubwa sana na ni informant wa TISS kwa miaka zaidi ya 10!! Alikuepo kwenye timu iliyoenda mfanyia maombi na wanadai walimuongoza sala ya toba.

So nimechagua kumuamini maana hakua na sababu ya kudanganya.
Marehemu hana haki akishakufa yeyote anamsema chochote coz wanajua marehemu hawezi jitetea kwa chochote.

Hata waliompamba jp akiwa hai ndo hao hao wabaomsema vibaya akiwa narehemu.

Yaan kichwa chako kimeshindwa kwenda mbali kikawaza kwa nini baada ya jpm kufa hakuna kifo kilichotokea kikahusishwa na corona?

Kuna mengi usioyajua binadam tuna take advantage, waongelee corona tuone ndo ilimuua. Uenda wakati wake ulikuwa umefika ila sio corona.corona ni mwanvuli tu.
 
How,naomba scientific explanation mkuu.I am just curious to know.
Najua unajua ila hujui kama unajua. Nitakukumbisha kidogo Georaphia ya shule ya msingi.

Unakumbuka mstari wa equator, tropic ya cancer na tropic of capricorn. Unakumbuka mikondo bahari aka ocean currents...bila shaka. Unakumbuka mgandamizo wa hewa. Hivi vyote vinafanya eneo la dunia kuwa hali ya hewa na majira (weather and climates) tofauti tofauti. Sasa angalia position ya tanzania na hali ya hewa, majira ya eneo hili..
 
Mkuu mimi nina valid and reliable sources kabisa toka kwa viongozi wa dini waliomuombea dakika zake za mwisho..... JPM alifariki kwa CORONA and I'm very confident with this!! Hilo tatizo la moyo ni secondary tu ila iliyo trigger ni mfumo wa upumuaji.

By the way mashine yake ilisha expire toka 2018 so kama kumuua ingefanya hivyo toka huo mwaka!!
Kilicho wazi ni kuwa kuna chuki binafsi dhidi ya JPM, hivyo hoja zinazotolewa dhidi yake haziegemei kwenye ukweli bali chuki binafsi.

Duniani ni mahali pa mateso na mahangaiko tangu Adam na Eva walipomkosea Mungu, lakini Mungu hajamuacha kabisa mwanadamu . Pia Mungu alitupa maarifa ili tuyatumie kutatua matatizo lakini hakuacha kutusaidia pale tunapomuomba. Hakuna anayebisha kuwa Tanzania hakuna kabisa corona , ilikuwepo lakini jitihada za watu kumlilia Mungu zilisaidia kuufifisha kabisa na kuuondoa ugonjwa huo. Katika hali ya kawaida huwezi kulinganisha makali ya ugonjwa huo kwa Tanzania na nchi zingine. Kwa wale wanaotumia usafiri wa daldala hapa Dsm kwa siku mtu anaingiliana na zaidi ya abiria mia sita tena wakibanana ndani ya dala dala na vituoni wote wakwa hawana barakoa. Kama corona ingekuwepo si wangekuwa wanaugua na kufa maelfu kila siku? Mbona hawafi? Au mpirani angalia wanavyojaa , huko India au Ulaya wanajaa hivyo? wewe huoni tofauti hapo?

Mtu kufa kwa kuugua sio ajabu inategemea Mungu ameamua kumuita kwa njia ipi.

Nyinyi mnaosema corona ipo vaeni barakoa na zingatieni social distance lakini wengi wanaendelea kudunda kama kawa bila hizo barakoa
 
Halafu anasema corona aijaleta madhara seriously? Wakati bunju na Ikulu watu wamezika ipasavyo.
Nadhani hujamuelewa mleta UZI kuhusu CORONA, ni kweli yapo madhara ya ugonjwa hu but huwezi kulinganisha madhara tulioyapata Tanzania compared with other countries in Africa, in the world or even within EAC; labda kama tuanze tu kubishana, Kenya wameipata HASA.
 
Marehemu hana haki akishakufa yeyote anamsema chochote coz wanajua marehemu hawezi jitetea kwa chochote.

Hata waliompamba jp akiwa hai ndo hao hao wabaomsema vibaya akiwa narehemu.

Yaan kichwa chako kimeshindwa kwenda mbali kikawaza kwa nini baada ya jpm kufa hakuna kifo kilichotokea kikahusishwa na corona?

Kuna mengi usioyajua binadam tuna take advantage, waongelee corona tuone ndo ilimuua. Uenda wakati wake ulikuwa umefika ila sio corona.corona ni mwanvuli tu.
Sio kwamba vifo hamna ila media haitangazi tena maana walifanya vile kumpressure Rais achukue hatua. Mwezi huu tu mwandosya katoka kudai kalazwa for Covid 19 - related ilness.

Mama naye akizembea kuchukua hatua TANZIA zitapostiwa sana insta na twitter hadi naye aone tatizo ni kubwa. Na hiyo ndio kazi ya propaganda thru media.
 
Halafu either kuna tatizo katika vyombo vya habari au katika system za kutabiri(forecasting) majanga duniani.Nakumbuka CNN iliripoti kuwa Tanzania itapatwa na kimbunga ambacho haijawahi kukipata tangia miaka 80 iliyopita.Sasa najiuliza,ina maana vituo vya kufanya forecasting ya hali ya hewa vilishindwa kujua kuwa hicho kimbunga hakitafika Tanzania?

Ni sahihi kuwa wanasayansi wa kufanya utabiri wa hali ya hewa hawana uwezo wa kujua kwamba kutokana na sababu fulani fulani kimbunga fulani hakiwezi kufika sehemu fulani?Au CNN ndiyo wana tatizo katika kuripoti taarifa zao?


Kuna kitu ambacho, ama hatukijui, au tumeamua kwa makusudi kabisa kutokukitambua. Inchi hii ya Tanzania inalindwa na Mungu Aketie Juu Mbinguni. Lakini pia, MBEGU ya kumtegemea MUNGU katika Jimbo iliopandwa na Viongozi wetu ndio inayo mkumbusha Mungu kuendelea kuiangalia Tanzania kwa Jicho la Huruma na Rehema.
Hayati Dkt JPM alikuwa ni MwanaSayansi Kamili, lakini aliamua kumtumainia Mungu katika mambo ambayo yapo Inje ya uwezo wa Mwanadamu. Corona na JOBO sio vitu vidogo kuvibeza. Mimi binafsi nimeishi USA kwa 15 years. Najua nguvu ya kimbunga (Tornado) na hathali za corona. Scientifically speaking, hivi vitu ni very dangerous. Lakini Kwa Tanzania Mungu ametupa na anaendelea kutupa upendeleo wa Hali ya juu sana katika Ulinzi wake juu yetu.
Mungu anataka Mataifa yote yamtambue kuwa YEYE NDIO MUNGU WA KWELI, NA KWAMBA BILA YEYE MWANADAMU DOESN'T STAND A CHANCE FOR SURVIVAL.
Hayati Raisi MAGUFULI alilitambua hilo mapema akamkabidhi Mungu Hatma ya Taifa letu kuhusu janga la corona, na katika suala la Kimbunga, ni mbegu ileile ya kumtumainia Mungu ndio imesababisha Mungu kukisambaratisha kimbunga Jobo, ambacho, laka kingepita Tanzania,. I promise you, by personal experience, tungekuwa tunaombeleza vifo vingi sana.

Mwisho kabisa, tusibeze Science au utabiri uliotolewa kuhusu Kimbunga Jobo, bali tumshukuru Mungu kwa kutulinda na kutuepusha na Maafa ambayo yangesababishwa na JOBO.

THANK YOU GOD 🙏
 
Kilicho wazi ni kuwa kuna chuki binafsi dhidi ya JPM, hivyo hoja zinazotolewa dhidi yake haziegemei kwenye ukweli bali chuki binafsi.

Duniani ni mahali pa mateso na mahangaiko tangu Adam na Eva walipomkosea Mungu, lakini Mungu hajamuacha kabisa mwanadamu . Pia Mungu alitupa maarifa ili tuyatumie kutatua matatizo lakini hakuacha kutusaidia pale tunapomuomba. Hakuna anayebisha kuwa Tanzania hakuna kabisa corona , ilikuwepo lakini jitihada za watu kumlilia Mungu zilisaidia kuufifisha kabisa na kuuondoa ugonjwa huo. Katika hali ya kawaida huwezi kulinganisha makali ya ugonjwa huo kwa Tanzania na nchi zingine. Kwa wale wanaotumia usafiri wa daldala hapa Dsm kwa siku mtu anaingiliana na zaidi ya abiria mia sita tena wakibanana ndani ya dala dala na vituoni wote wakwa hawana barakoa. Kama corona ingekuwepo si wangekuwa wanaugua na kufa maelfu kila siku? Mbona hawafi? Au mpirani angalia wanavyojaa , huko India au Ulaya wanajaa hivyo? wewe huoni tofauti hapo?

Mtu kufa kwa kuugua sio ajabu inategemea Mungu ameamua kumuita kwa njia ipi.

Nyinyi mnaosema corona ipo vaeni barakoa na zingatieni social distance lakini wengi wanaendelea kudunda kama kawa bila hizo barakoa
Yes unaweza kuwa sahihi kuwa haina madhara kama nchi za magharibi lakini hta kenya na Ug ama Rwanda mbona hali yao kama yetu tu kwamba madhara sio kivile in terms of vifo ila wao wanatoa takwimu.

Sasa fikira RC tu ipoteze mapadri plus walei zaidi ya 50! Je unadhani washirika wangapi waliugua na kupona (Hata bila kuonyesha dalili)

Kama takwimu hamna tusipende kutoa conclusion..... Mama Samia alikua ikulu so anazo takwimu zote so ukiona anaunda kamati sio kma ni mjinga ila hataki kupingana na ukweli.

Ambacho naweza mpongeza JPM alipunguza panic kwa kubana takwimunza Covid na kuaminisha watu kuwa haipo so hta madhara yake hakuna aliyeyapa airtime!! Hizo strategy zilitumika hta china we umewahi sikia kina ugaidi? Wanatunguliwa kila mara na magaidi ila taarifa zinaminywa so dunia inaaminishwa nchi safe ya kuepuka ugaidi ni china pekee!!! Na wote tumeamini.

Media ndio kila kitu...... Ukiibana hata hutowahi jua nchi ina maskini au walemavu!!
 
Forecasting sio static ni agile.... Yaani unaweza ona mvua inakuja ila ndani ya sekunde ikahama. Same to Kimbunga cha mwaka jana baada ya Idai ilipaswa kitue Mtwara ila kikapinda kuelekea msumbiji.

Nadhani ukaribu na Equator ndio umeokoa hili kuliko wenzetu madagascar na msumbiji ambao hvi vimbunga huwapata kila wakati.

Mungu ni wa wote ina maana kwenye matetemeko kma Japan hakuna Mungu? Huko msumbiji hakuna wenye dini? Tuache kejeli za ajabu.
Watu wengi wanapenda sana kujiona special.

Ndiyo maana awali wengi wamekufa kwa UKIMWI kwa kupiga kavu wakifikiri "mimi hautanipata".

Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote angekuwepo, kusingewezekana kuwepo na kimbunga popote, muda wowote.
 
Halafu either kuna tatizo katika vyombo vya habari au katika system za kutabiri(forecasting) majanga duniani.Nakumbuka CNN iliripoti kuwa Tanzania itapatwa na kimbunga ambacho haijawahi kukipata tangia miaka 80 iliyopita.Sasa najiuliza,ina maana vituo vya kufanya forecasting ya hali ya hewa vilishindwa kujua kuwa hicho kimbunga hakitafika Tanzania?

Ni sahihi kuwa wanasayansi wa kufanya utabiri wa hali ya hewa hawana uwezo wa kujua kwamba kutokana na sababu fulani fulani kimbunga fulani hakiwezi kufika sehemu fulani?Au CNN ndiyo wana tatizo katika kuripoti taarifa zao?
Hukuwasikia vizuri CNN, mwishoni kwenye kutabiri walisisitiza "good news" ni kwamba kule kinakoelekea kitadhoofishwa na hali ya hewa.

Sikiliza kwa makini hiyo video hapo chini
 
Yes unaweza kuwa sahihi kuwa haina madhara kama nchi za magharibi lakini hta kenya na Ug ama Rwanda mbona hali yao kama yetu tu kwamba madhara sio kivile in terms of vifo ila wao wanatoa takwimu.

Sasa fikira RC tu ipoteze mapadri plus walei zaidi ya 50! Je unadhani washirika wangapi waliugua na kupona (Hata bila kuonyesha dalili)

Kama takwimu hamna tusipende kutoa conclusion..... Mama Samia alikua ikulu so anazo takwimu zote so ukiona anaunda kamati sio kma ni mjinga ila hataki kupingana na ukweli.

Ambacho naweza mpongeza JPM alipunguza panic kwa kubana takwimunza Covid na kuaminisha watu kuwa haipo so hta madhara yake hakuna aliyeyapa airtime!! Hizo strategy zilitumika hta china we umewahi sikia kina ugaidi? Wanatunguliwa kila mara na magaidi ila taarifa zinaminywa so dunia inaaminishwa nchi safe ya kuepuka ugaidi ni china pekee!!! Na wote tumeamini.

Media ndio kila kitu...... Ukiibana hata hutowahi jua nchi ina maskini au walemavu!!
Kuhusu vifo vya mapadre ilipaswa kutoa takwimu kwa mwaka mzima wa 2020 vifo on average vilikuwa vingapi kwa mapadre ili sasa zilipotolewa takwimu kuwa wamekufa idadi hiyo ya watawa ulinganishi uweze kufanyika ili kuona kama on average kuna ongezeko la vifo au la. RC ina majimbo 32 hivi nchi nzima kwa idadi yake ya mapadre unaweza kuta idadi ya vifo pengine ni ya kawaida.

Hata takwimu zisipotolewa rasmi kama hali ni mbaya kwa observation ya kawaida tu mtu unaweza kujua kama ugonjwa unapukutisha watu au la. watu wote tunaishi na kufanya kazi pamoja, pia tunasali pamoja hivyo lazima mwingiliano wa misiba ungekuwa mkubwa.
 
Mungu hufanya au huruhusu jambo lolote litokee au lisitokee kwa mapenzi yake. Hoja kuwa mbona wenzetu wanasali na kuomba lakini wanapatwa na mabalaa haina uzito kwani sisi binadamu hatuwezi kumchunguza mwenyezi Mungu. Kama. i ni msomaji mzuri wa biblia hususan agano la kale utakuwa umeona kuwa mara nyingi waisraeli walipotangaziwa kupigwa mapigo kwa kumkosea Mungu, walipomlilia na kufanya toba Mungu alighairi kuwatenda mabaya, rejea simulizi ya nabii Yona kwa mfano. Mungu huchunguza mioyo ya wanadamu wanawaza nini, sisi binadamu tunamjaji mtu kwa kumuangalia kwa nje. Mfano baba yake Mfalme Daudi alipoendewa na nabii ili miongoni mwa watoto wake ampake mafuta mmoja wao kuwa mfalme, yule baba alimletea watoto wake sita kati ya saba sababu yule mmoja alimdharau kuwa hawezi kuteuliwa. Lakini nabii aliwakataa wote wale sita na akamuuliza huna mtoto mwingine? Yule mzee ndipo akasema kako kamoja kanachunga kondoo (Daudi). Nabii akaagiza aletwe na alipoletwa alipakwa mafuta na baadae akawa mfalme maarufu wa israel hata leo hii.

Usichunguze njia za Mungu kwa sababu hazichunguziki.

Suala la JPM, hakuna mtu anayebisha, Mungu ndiye aliyemuita kwake .

Angalia hata sasa nchi kama India, Brazil wanapokufa kwa korona licha ya kukumbatia chanjo lakini tazama jinsi Mungu anavyoiponya Tanzania hata hao vibaraka wanashindwa kutoa hata takwimu za uongo za kusingizia Tanzania kuna korona. Sipingi kuwa korona haijawahi kuwepo Tanzania la hasha, ilikuwepo lakini kwa kiasi kidogo sana na madhara yake hayakuwa makubwa hata kulinganisha na majirani zetu, pengine Mungu alitaka kutukumbusha kumtegemea. Watu waliponlilia na kumuomba amejibu ndio maana unaona hata hao wanaoipinga serikali hawavai barakoa, nenda mpirani, masokoni, vituo vya daladala kote huko hakuna anayevaa barakoa wala social distance. Hata leo hii mikutano ya upinzani ikiruhusiwa hakuna atakayevaa wala hivyo vyama havitawahimiza wanachama na mashabiki wao kuvaa barakoa.

Mungu yupo na ataendelea kuilinda Tanzania.
Hii post naipa naikubali 100%
 
Hivi mimi ni nani hadi nisishuhudie maajabu ya Mungu kwa Nchi yetu!

Kwa sisi tunaosafiri hasa Nchi za wenzetu kwa namna wanavyohangaishwa na Corona na ukiringanisha na namna tunavyoishi hapa kwetu Tanzania hakika mapenzi ya Mungu kwa Nchi yetu ni mema sana.

Hilo la kimbuga Jobo pia kutokuleta athali zozote kama ilivyotarajiwa hakika mkono wa Mungu ni wa kipekee kwa Taifa letu.

Kama Watanzania na pasipo kujali tofauti zetu za kiimani na kisiasa yatupasa sasa tumshukuru mwenyezi Mungu kwa mapenzi mema kwa Nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania!

Kwanza Kwa kumuondoa Magufuli Mungu anailinda sana Tanzania.
 
Tanzania itapatwa na kimbunga ambacho haijawahi kukipata tangia miaka 80 iliyopita.
Mkuu walisema ni kimbunga ambacho hakijawahi kuikumba Tanzania kwa miaka 69. Maana yake kimbunga kama hicho kimewahi kuikumba Tanzania 1952.
 
Kuna kitu ambacho, ama hatukijui, au tumeamua kwa makusudi kabisa kutokukitambua. Inchi hii ya Tanzania inalindwa na Mungu Aketie Juu Mbinguni. Lakini pia, MBEGU ya kumtegemea MUNGU katika Jimbo iliopandwa na Viongozi wetu ndio inayo mkumbusha Mungu kuendelea kuiangalia Tanzania kwa Jicho la Huruma na Rehema.
Hayati Dkt JPM alikuwa ni MwanaSayansi Kamili, lakini aliamua kumtumainia Mungu katika mambo ambayo yapo Inje ya uwezo wa Mwanadamu. Corona na JOBO sio vitu vidogo kuvibeza. Mimi binafsi nimeishi USA kwa 15 years. Najua nguvu ya kimbunga (Tornado) na hathali za corona. Scientifically speaking, hivi vitu ni very dangerous. Lakini Kwa Tanzania Mungu ametupa na anaendelea kutupa upendeleo wa Hali ya juu sana katika Ulinzi wake juu yetu.
Mungu anataka Mataifa yote yamtambue kuwa YEYE NDIO MUNGU WA KWELI, NA KWAMBA BILA YEYE MWANADAMU DOESN'T STAND A CHANCE FOR SURVIVAL.
Hayati Raisi MAGUFULI alilitambua hilo mapema akamkabidhi Mungu Hatma ya Taifa letu kuhusu janga la corona, na katika suala la Kimbunga, ni mbegu ileile ya kumtumainia Mungu ndio imesababisha Mungu kukisambaratisha kimbunga Jobo, ambacho, laka kingepita Tanzania,. I promise you, by personal experience, tungekuwa tunaombeleza vifo vingi sana.

Mwisho kabisa, tusibeze Science au utabiri uliotolewa kuhusu Kimbunga Jobo, bali tumshukuru Mungu kwa kutulinda na kutuepusha na Maafa ambayo yangesababishwa na JOBO.

THANK YOU GOD 🙏
Watakupinga ila mimi niko na wewe.Magufuli aliona mbali.

RIP JPM
 
Watakupinga ila mimi niko na wewe.Magufuli aliona mbali.

RIP JPM
Hakuna kitu kilichonistajabisha mimi kama Mwanasayansi Magufuli kumtunainia MUNGU na kumtanguliza yeye kwenye Taifa.

Ni rahisi pekee toka Julius Nyerere aliyemtajac MUNGU sana na kum acknowledge MUNGU kwenye Urais wake.


Naamini kuna namna MUNGU anam reward kipenzi chetu JPM.
 
wachawi waliopo katika developed countries ambao ndio watawala wa dunia wanapojificha kwenye kichaka cha advancd technology, yaani yale mambo ya nguvu za giza wao wanasema ni advance technology.
 
Back
Top Bottom