Pre GE2025 Kwa hali ya kisiasa ilivyo nchini hakuna hata jimbo moja la uchaguzi nchini litaenda upinzani uchaguzi mkuu wa october 2025

Pre GE2025 Kwa hali ya kisiasa ilivyo nchini hakuna hata jimbo moja la uchaguzi nchini litaenda upinzani uchaguzi mkuu wa october 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
People must boycott such kind of threads, unachangiaje thread ya kipumbavu namna hii!
relax gentleman,
hiyo ndiyo tabia ya ukweli, unauma halafu ni mchungu sana na hua haupoi na unafurukuta moyoni balaaa:pedroP:
 
relax gentleman,
hiyo ndiyo tabia ya ukweli, unauma halafu ni mchungu sana na hua haupoi na unafurukuta moyoni balaaa:pedroP:
Kule shuleni tuliziita sifa za kijinga, 20yrs from now utakuja kusoma maandishi yako na kujiona mpuuzi tu. Fear God and technology.
 
Kule shuleni tuliziita sifa za kijinga, 20yrs from now utakuja kusoma maandishi yako na kujiona mpuuzi tu. Fear God and technology.
sasa gentleman,
kwa mfano jimbo gani la uchaguzi linweza kuchukuliwa na upinzani? tuwe wakweli tu.
kwanza atakua amefanya nini mathalan?

HUNA HAJA YA KUTIA HURUMA GENTLEMAN? :NoGodNo:
 
Kwa namna ambavyo ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 ilivyotekelezwa kikamilifu na kwa ufanisi wa zaidi ya 98%,

Ni wazi imani na kuaminika kwa serikali sikivu ya CCM kwa wananchi inaweza kua ni zaidi ya 100%, na hiyo itamaanisha na kuashiria kwamba, CCM inaweza kushinda uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025 katika majimbo yote ya uchaguzi nchini.

Una maoni na mtazamo gani juu ya hili 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mnajisumbua tu hatutashiriki uchaguzi bila tume huru,huyo ndiye jemedari wetu Tundu Lissu,halafu mkajishindanishe na T.L.P. CHAUMA muwashinde kwa asilimia 100
 
Mnajisumbua tu hatutashiriki uchaguzi bila tume huru,huyo ndiye jemedari wetu Tundu Lissu,halafu mkajishindanishe na T.L.P. CHAUMA muwashinde kwa asilimia 100
Gentleman,
uchaguzi wa Tanzania hufanyika kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, na siao kwa makelele, mdomo au utapeli wa wa vibaka wa siasa nchini.

sikiliza wimbo muhimu sana wa ccm, wenye maneno "Bila chama cha mapinduzi, uhuru wetu ungetoka wapi" utafarijika sana :pedroP:
 
Back
Top Bottom