Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hoja πππππMabwe pande aende ila ajiandae na chatu πΉπΉ
Ndio yapo ila siwez mfatia maan mimba yangu itatoka love πBeib Anastasia21 huko si yapo tu mengi njia ya wazo hill au mitaa ya madale?
Hata huko kanda ya ziwa siku hizi hauoti, mpaka upandweWakuu
Nimemiss kula mboga za asili,kuna anaejua wapi kwa hapa Dar naweza kupata hii mboga ya majani inayoitwa mgagani?
Ni mboga maarufu zaidi huko kanda ya ziwa.View attachment 3265940
πΉπΉπΉ beibi ya nyokoAcha roho mbaya beibi
La JNP πΉπΉπΉBwawa gani?
Weeeeeh tumepata kazi sana kuipata... hebu tulia tushampa location aende na kiroba chake kama mkara majani ya ng'ombe. Nakusubiri kule kwa jana tuendeleeNdio yapo ila siwez mfatia maan mimba yangu itatoka love π
KisaraweDar kuna mapori afsa?
Aah basi Dodoma yamejiotea kibao!pole kwa kukosa mgaganiWakuu
Nimemiss kula mboga za asili,kuna anaejua wapi kwa hapa Dar naweza kupata hii mboga ya majani inayoitwa mgagani?
Ni mboga maarufu zaidi huko kanda ya ziwa.View attachment 3265940
Kwa virutubisho hizo balaa!Ila kuna mboga unawaza binadamu alikuwa anawaza nini! Kuna mgagani, mnavu na mchungaπββοΈπββοΈπββοΈ
Vikindu nayo kumbe ipo DarYapo kibao kigamboni, vikindu, bunju
Zipo cheki maeneo ya banana , kitunda au gongo la mbotoMie nimetafuta juzi mbegu za mgagani,kunde na mnafu madukani nimekosa.
Ezisagaπ a.k.a gwata kumutwe! Hiyo mboga enzi zetu ilikuwa ikipikwa nyumbani watoto wote wakati wa kula basi mkono shavuni kama tumefiwaπ ni chungu balaa hasa ukiikosea kuipika( mkuu umenikumbusha mbali sana....!! Maisha haya nyie acheni jamani. Ni tiba nzuri piaWakuu
Nimemiss kula mboga za asili,kuna anaejua wapi kwa hapa Dar naweza kupata hii mboga ya majani inayoitwa mgagani?
Ni mboga maarufu zaidi huko kanda ya ziwa.View attachment 3265940