Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
Sawa beib ngoja atupe tendaWeeeeeh tumepata kazi sana kuipata... hebu tulia tushampa location aende na kiroba chake kama mkara majani ya ng'ombe. Nakusubiri kule kwa jana tuendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa beib ngoja atupe tendaWeeeeeh tumepata kazi sana kuipata... hebu tulia tushampa location aende na kiroba chake kama mkara majani ya ng'ombe. Nakusubiri kule kwa jana tuendelee
Hii mboga ,nili fall in love nayo at the first sight nilipoila nikiwa Kenya huko kwa wakikuyu.... inapendeza sana iungwe na nyaynya🤤🤤😋😋Wakuu
Nimemiss kula mboga za asili,kuna anaejua wapi kwa hapa Dar naweza kupata hii mboga ya majani inayoitwa mgagani?
Ni mboga maarufu zaidi huko kanda ya ziwa.View attachment 3265940
Sidhani kama unaweza kupata maporini, labda mashambani.Maporini yapo sana hayo
Kuna Jamaa Kwao Bukoba Anasema Mgagani, Mnavu Ni Mboga Lakini Pia DawaIla kuna mboga unawaza binadamu alikuwa anawaza nini! Kuna mgagani, mnavu na mchunga🙆♂️🙆♂️🙆♂️
nimeziona sana maeneo ya cota za ilalaWakuu
Nimemiss kula mboga za asili,kuna anaejua wapi kwa hapa Dar naweza kupata hii mboga ya majani inayoitwa mgagani?
Ni mboga maarufu zaidi huko kanda ya ziwa.View attachment 3265940
nimeziona sana maeneo ya kota za ilala BOMA,Wakuu
Nimemiss kula mboga za asili,kuna anaejua wapi kwa hapa Dar naweza kupata hii mboga ya majani inayoitwa mgagani?
Ni mboga maarufu zaidi huko kanda ya ziwa.View attachment 3265940
Hizi zitakuwa ni dawa tu kwakweli. Mboga gani chungu hivyo!!!Kuna Jamaa Kwao Bukoba Anasema Mgagani, Mnavu Ni Mboga Lakini Pia Dawa
Bwawa la maviBwawa gani?
Chunga sana. Siku hizi na uhaba wa vyoo na kutamalaki vya kulipia, watu wanajisaidia hovyo huko zilipo hizi mboga zako.Wakuu
Nimemiss kula mboga za asili,kuna anaejua wapi kwa hapa Dar naweza kupata hii mboga ya majani inayoitwa mgagani?
Ni mboga maarufu zaidi huko kanda ya ziwa.View attachment 3265940
Wewe ni WA Tabora bila shaka mkuuWakuu
Nimemiss kula mboga za asili,kuna anaejua wapi kwa hapa Dar naweza kupata hii mboga ya majani inayoitwa mgagani?
Ni mboga maarufu zaidi huko kanda ya ziwa.View attachment 3265940
We kijana, unajua haya maeneo yote? Kwanini umesahau Kashishi, Mbalandwa, Ngeme, Ngw'amapalala, Kasori, Malita, na Zanzui mwanangu?Nimetoka Simiyu huko vijiji vya Nyang'hwale, Nkindwabiye, Byuna, Nkololo, Nyangokolwa, Sanungu na Ng'washagata. Nimekula sana migagani tena ile orijino kabisa inayoota na kustawi vizuri kwenye matongo (maeneo yaliyokuwa mazizi ya ng'ombe zamani).
Kwa taarifa tu ya nyongeza mgagani (hasa ule mchungu kabisa) ni dawa moja safi sana kwa walioanza kupungukiwa na nguvu za nyuklia mwilini. Ukipikiwa hiyo wiki moja tu pamoja na maboga tayari mtambo wa nyuklia unaanza kuzalisha umeme. Pengine ndiyo sababu inasemekana Wasukuma wengi hawaishiwi umeme kirahisi rahisi hata wakizeeka namna gani....
Kwa Dar sikushauri maana utaishia kula sumu tu sawa na mboga zingine kama mchicha na matembele. Kuna tasnifu ya uzamili iliyochunguza makemikali na sumu zilizomo kwenye mboga zinazolimwa na kuzalishwa hapa Dar. Ni sumu tupu na sikushauri!
Kama kweli uko siriazi, agiza mtu akutumie kutoka Simiyu na sisitiza sana upate ule mgagani wenye rangi nyekundu kichwani kama jogoo zee.
Mnafu mboga nzuri sana sana. Mimi ndiyo chaguo langu na niseme ndiyo mboga nayoipenda kuliko zote. Ila siyo huu mnafu wa Dar wa kufoji. Ukienda Moshi kuna mnafu wa aiana nyingine, ule wenye vi-matunda vidogo vidogo.Ila kuna mboga unawaza binadamu alikuwa anawaza nini! Kuna mgagani, mnavu na mchunga🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Na pia pembezoni mwa mazizi ya mifugo!Hiyo maeneo ya vikunai,mgeninan kibao tu. Inaota san juu y udongo wenye mfinyaji
Ipo huku Morogoro imejaa mashambaniWakuu
Nimemiss kula mboga za asili,kuna anaejua wapi kwa hapa Dar naweza kupata hii mboga ya majani inayoitwa mgagani?
Ni mboga maarufu zaidi huko kanda ya ziwa.View attachment 3265940
We nawe blue Monday yote hii ndo kwanza week imeanza bichwa lako linawaza ngono Mxieeeeww.!!