King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Migagani ipo kibao hata ukitaka uletewe FUSO zima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani jamani🙆♂️🙆♂️🙆♂️Mnafu mboga nzuri sana sana. Mimi ndiyo chaguo langu na niseme ndiyo mboga nayoipenda kuliko zote. Ila siyo huu mnafu wa Dar wa kufoji. Ukienda Moshi kuna mnafu wa aiana nyingine, ule wenye vi-matunda vidogo vidogo.
Na huku Kilimanjaro, kuna mboga inaitwa ReshuuIla kuna mboga unawaza binadamu alikuwa anawaza nini! Kuna mgagani, mnavu na mchunga🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Sipendi harufu yake.Na huku Kilimanjaro, kuna mboga inaitwa Reshuu
Aaah!! Ni ule uchungu au?Kwa virutubisho hizo balaa!
Ikiwekwa kwa kitimoto inanukia poa sana rafiki.Sipendi harufu yake.
🤣🤣 au sio!!Ikiwekwa kwa kitimoto inanukia poa sana rafiki.
Kabisa Mae🤣🤣 au sio!!
Ndio Mkuu,mboga chungu ila umuhimu debe!Aaah!! Ni ule uchungu au?
Inaelekea huupendi kabisa. Mimi ndiyo zangu. Siyo wa Morogoro au Dar lakini.Jamani jamani🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Kweli siipendi.Inaelekea huupendi kabisa. Mimi ndiyo zangu. Siyo wa Morogoro au Dar lakini.
Ndio ni dawa mgaagani (omusaga) kwa watoto waliokuwa wanaumwa minyoo(nyakanyo)walikuwa waiponda kwa mkono kuifikicha ule mchuzi wanawekewa mataqoni dawa nzuri sana hiyo hukuti mtoto akijikuna kuna huko komesha kabisaKuna Jamaa Kwao Bukoba Anasema Mgagani, Mnavu Ni Mboga Lakini Pia Dawa
Ngumu sana Kwa dar.Wakuu
Nimemiss kula mboga za asili,kuna anaejua wapi kwa hapa Dar naweza kupata hii mboga ya majani inayoitwa mgagani?
Ni mboga maarufu zaidi huko kanda ya ziwa.View attachment 3265940
Unaona ukiwa unafanya nini🤔Huwa inaota sana karibu na vyanzo vya maji, hasa mabwawa na mito.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Acha woga mwali wa mtuNdio yapo ila siwez mfatia maan mimba yangu itatoka love 😞