minji
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 2,751
- 4,946
Hiyo kabati ina urefu/ukubwa gani ambapo hata mtoto wa miaka miwili anaweza kupanda.
Na mm nimeshangaa mtoto kupanda juu ya kabat mtoto wa miaka 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo kabati ina urefu/ukubwa gani ambapo hata mtoto wa miaka miwili anaweza kupanda.
Hahaha... Hizi ndio akili za usiku.Na mm nimeshangaa mtoto kupanda juu ya kabat mtoto wa miaka 2
you failed even vehemently screaming at your kid?why?
Tarzan 🤣🤣🤣🤣Mnaweka vitu hovyo mnamlaumu mtoto bure. Kwanini msivifungie chumbani kwenu, na muweke juu ya kabati refu au mmezaa TARZAN ?
Sent using Jamii Forums mobile app
dogo, anakula stiki za kumtosha, tatizo anasahau na kurudia, vinginevyo zikizidi ataanza kumuoana baba kama Beberuyou failed even vehemently screaming at your kid?
😁😁😁Tarzan 🤣🤣🤣🤣
safi sana.Dawa yake mtoto kama huyo ni hii... View attachment 1355743
sawa mkuu.Kama ni kweli jifanyieni tathmini nyie wazazi, kuna mahali mnakosea sana kwenye malezi ya hako ka 'Junia'.
Usikute ndio wale wazazi wa 'jamani Junior acha chakula cha mgeni'.
We jamaa hii ni chai kwanza hamna uhalisia wowote ule.
sio chai mkuu.We jamaa hii ni chai kwanza hamna uhalisia wowote ule.
Anakwea mkuu kama mti vileHiyo kabati ina urefu/ukubwa gani ambapo hata mtoto wa miaka miwili anaweza kupanda.
mkuu anapenda kuchezea vitu vya electronics tu, ukijisahau tu, unakuta kaloweka simu, anaitoa na kuanza kuongea na watua ambao huwa anasikia mnawataja majina.Kwa kifupi ndani ya siku chache kidume kimeharibu vitu vya milion 60 na usheeee
Wazazi wengine mmebakiza akili za kuvukia barabara tu pheeeewww
hahahaha... mimi nakubali kila kitu mkuu.Msiwe mnatafuta watoto mkiwa mmelewa bangi na kuvuta pombe
Kitochi Original