Kwa hasara ambayo huyu mtoto ameniingizia: Nashauri Sheria itungwe iwe ni shuruti watoto kusaidia Wazazi uzeeni

We jamaa hebu acha porojo zako bana hamna kitu kama hii labda huyo mtoto ana matatizo ambayo hamyajui.
hana matatizo mkuu.

Ukiongea anaelewa, ukimfundisha maneno, nyimbo anakariri na hasahau, watu hawasahau na majina yao pia.

Nilikuja kugundua alidekezwa kidogo na mama yake, lkn pia kuna kipindi huwa anasahauliwa na kudhani anajielewa na yeye anabadilikabadilika.

mfano ameshajua hatutaki ashike simu, ingawa huwa tunampa kwa uangalizi asalimiane na ndugu jamaa na marafiki sasa hivi anavizia na kuichukua kijanja, usipokuwa makini unakuta kaishaichukua.
 
Miaka mwambie mamake amuchape hata fimbo moja moja ila wewe usikachape mimi miezi 6 anakula fimbo

Sent using Jamii Forums mobile app
Miezi sita!
Huyu ajachapwa sana, maana tunaona ni mdogo, ila ukimtishia fimbo anaangalia uso kama uko siriasi, akiona umeishika maana anajua ilipo, anaacha fasta,
 
black sniper,
sawa mkuu nimechungulia kidogo nimepata mwanga ndarudi kusoma kwa kina.
Fimbo huondoa upumbavu, sasa nasita kukatia stick maana hakajajitambua vzr, ila mara moja moja anakula stiki moja.

Ila ukiacha fujo zake, akiwa nje ya maeneo ya home, yuko cool sana, anakuwa anaobserve tu, saana labda aone Baiskeli au Mpira ndio ataulilia kama wake
 
Hii nayo sio best solution ukiwa mkali sana mtoto anakuwa nunda ukiwa mpole sana mtoto anakuwa zuzu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nayo sio best solution ukiwa mkali sana mtoto anakuwa nunda ukiwa mpole sana mtoto anakuwa zuzu

Sent using Jamii Forums mobile app
kweli mkuu,

huyu dogo anamazuri yake licha ya hasara alizosababisha na tumejitahidi kuweka vitu mbali na kutojisahau kwa kadili inavyowezekana.

1: Hajinyei wala hajawahi kujinyea tangu alipofikisha mwaka na nusu. akitaka kukata gogo anaita ''mama poti'' analetewa.

2: Hazugi kula, hata ukimpa ugali bila mboga anakula hadi tumbo linajaa, na anaomba maji ya Kunywa.

3:analala mara mbili kwa siku ukiacha usiku.

4:Mimi Baba yake, naweza kwenda naye popote bila mama yake hata siku nzima na asinipe shida yoyote, Juzi nimejaribu kumtembeza kwa mguu tumetembea karibu kilometer moja bila kumbeba. anashangaa tu magari.

5:Ukimtuma kitu anakileta.
 
mkuu mbona unakuwa nabii wa mabaya tena mkuu kama mwamposa.
Nimepata kesi nyingi ya vitoto vya umri huu hata huyu anaafadhali maana anapenda vitu vya umeme mdogo zaidi (electronics) hivyo vingine vya hatari hata time navyo
Wewe wazazi wako unawasaidia? Walikutungia sheria? Maana yaelekea dogo amefata nyayo zako ki jenetiki kuiga tabia ulizokua nazo ulipokua mdogo
 
Hongera, akipata uelewa ataacha uwe unakaombea asubuhi na jioni kabla ya kulala na kukanenea maneno mazuri kataacha uharibifu

Sent using Jamii Forums mobile app
sawa mkuu.
tukiomba usiku na yeye anapiga magoti ingawa hazidi sekunde thelathini anaendelea na mishe zake.
Anapenda kusoma Bibilia na anaijua hata ukimchangayia na vitabu vingine, ila akiifunua anakua anaimba huku kaigeuza akichoka ni mwendo wa kuchana yaani inabidi kulia timing badala ya kumnyang'anya kabisa.
 
Wewe wazazi wako unawasaidia? Walikutungia sheria? Maana yaelekea dogo amefata nyayo zako ki jenetiki kuiga tabia ulizokua nazo ulipokua mdogo
nikiwa nacho tunashare.
mimi nilikuwa mpole sana mkuu, hata huyu dogo ukiwa church au mtaani wanampenda sana wanasema ni mpole sana na mtulivu lakini mziki wake tunaujua sisi.
 
Hivyo hivyo nikuelimishwa kawe kanaombewa kakiwa tayari kwenye net, na sadaka kabisa unakatolea madhabahuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…