Pre GE2025 Kwa haya Mafuriko ya Rais Samia, hakuna Sababu ya kampeni Mwakani

Pre GE2025 Kwa haya Mafuriko ya Rais Samia, hakuna Sababu ya kampeni Mwakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu watanzania,

Huu ni zaidi ya Upendo, Ni zaidi ya kukubalika, ni zaidi ya kila kitu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Kwa mafuriko yanayoendelea kushuhudiwa katika ziara za Mheshimiwa Rais wetu mpendwa, kwa hakika hakuna sababu Ya yeye kuanza kuzunguka Nchi nzima kupiga kampeni za Urais Mwakani.

Mama anapendwa na kukubalika mpaka wapinzani wanatetemeka kama wagonjwa wa homa kali. Wapinzani kwa sasa wamechanganyikiwa na kuvurugwa kabisa akili baada ya kuona mapokezi mazito ambayo hayajawahi kushuhudiwa hapa Nchini.

Kama Afrika ingekuwa ni nchi moja basi Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia ndiye angekuwa Rais kwa sasa.Anakubalika kwa watu mpaka Watu wanatokwa na Machozi ya furaha utafikiri wamepakwa pilipili machoni.
Screenshot_20240805-224054_1.jpg
Screenshot_20240802-154701_1.jpg
Screenshot_20240718-222437_1.jpg
Screenshot_20240718-205347_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
IMG-20240804-WA0057.jpg
 
Picha zilezile mwezi mzima, Hata kama ni Chawa huoni aibu?
Nitaendelea kuzileta tuuu kila siku, maana Najuwa zinakutesa sana moyo wako mpaka presha inapanda na kushuka utafikiri mtu aliyevaa suruali mlegezo. Mama ni mpango wa Mungu Mwenyewe.kama unaumia kunywa hata sumu tu ndugu yangu Erythrocytes😃😃😃
 
Nitaendelea kuzileta tuuu kila siku, maana Najuwa zinakutesa sana moyo wako mpaka presha inapanda na kushuka utafikiri mtu aliyevaa suruali mlegezo. Mama ni mpango wa Mungu Mwenyewe.kama unaumia kunywa hata sumu tu ndugu yangu Erythrocytes😃😃😃
Ni aibu sana kwako kwa kukosa habari mpya na kutuletea za uongo
 
Nitaendelea kuzileta tuuu kila siku, maana Najuwa zinakutesa sana moyo wako mpaka presha inapanda na kushuka utafikiri mtu aliyevaa suruali mlegezo. Mama ni mpango wa Mungu Mwenyewe.kama unaumia kunywa hata sumu tu ndugu yangu Erythrocytes😃😃😃
Wengi wao ni majobless!Wanapumzka tuu hapo kwenye mkutano
 
Back
Top Bottom