Pre GE2025 Kwa haya Mafuriko ya Rais Samia, hakuna Sababu ya kampeni Mwakani

Pre GE2025 Kwa haya Mafuriko ya Rais Samia, hakuna Sababu ya kampeni Mwakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu watanzania,

Huu ni zaidi ya Upendo, Ni zaidi ya kukubalika, ni zaidi ya kila kitu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Kwa mafuriko yanayoendelea kushuhudiwa katika ziara za Mheshimiwa Rais wetu mpendwa, kwa hakika hakuna sababu Ya yeye kuanza kuzunguka Nchi nzima kupiga kampeni za Urais Mwakani.

Mama anapendwa na kukubalika mpaka wapinzani wanatetemeka kama wagonjwa wa homa kali. Wapinzani kwa sasa wamechanganyikiwa na kuvurugwa kabisa akili baada ya kuona mapokezi mazito ambayo hayajawahi kushuhudiwa hapa Nchini.

Kama Afrika ingekuwa ni nchi moja basi Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia ndiye angekuwa Rais kwa sasa.Anakubalika kwa watu mpaka Watu wanatokwa na Machozi ya furaha utafikiri wamepakwa pilipili machoni.
View attachment 3062519View attachment 3062520View attachment 3062521View attachment 3062522

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3062523
Wewe kichwa maji haujasikia Rais kakemea kuzoa wanafunzi na watoto kuwapeleka kwenye mikutano yake?
 
Ndugu zangu watanzania,

Huu ni zaidi ya Upendo, Ni zaidi ya kukubalika, ni zaidi ya kila kitu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Kwa mafuriko yanayoendelea kushuhudiwa katika ziara za Mheshimiwa Rais wetu mpendwa, kwa hakika hakuna sababu Ya yeye kuanza kuzunguka Nchi nzima kupiga kampeni za Urais Mwakani.

Mama anapendwa na kukubalika mpaka wapinzani wanatetemeka kama wagonjwa wa homa kali. Wapinzani kwa sasa wamechanganyikiwa na kuvurugwa kabisa akili baada ya kuona mapokezi mazito ambayo hayajawahi kushuhudiwa hapa Nchini.

Kama Afrika ingekuwa ni nchi moja basi Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia ndiye angekuwa Rais kwa sasa.Anakubalika kwa watu mpaka Watu wanatokwa na Machozi ya furaha utafikiri wamepakwa pilipili machoni.
View attachment 3062519View attachment 3062520View attachment 3062521View attachment 3062522

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3062523
Utashangaa mda mwalim labda uchaguzi usifanyike 2025, Chahwa mtaama nchi kwa haibu iliyo kuu , asema Bwana
 
Ndugu zangu watanzania,

Huu ni zaidi ya Upendo, Ni zaidi ya kukubalika, ni zaidi ya kila kitu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Kwa mafuriko yanayoendelea kushuhudiwa katika ziara za Mheshimiwa Rais wetu mpendwa, kwa hakika hakuna sababu Ya yeye kuanza kuzunguka Nchi nzima kupiga kampeni za Urais Mwakani.

Mama anapendwa na kukubalika mpaka wapinzani wanatetemeka kama wagonjwa wa homa kali. Wapinzani kwa sasa wamechanganyikiwa na kuvurugwa kabisa akili baada ya kuona mapokezi mazito ambayo hayajawahi kushuhudiwa hapa Nchini.

Kama Afrika ingekuwa ni nchi moja basi Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia ndiye angekuwa Rais kwa sasa.Anakubalika kwa watu mpaka Watu wanatokwa na Machozi ya furaha utafikiri wamepakwa pilipili machoni.
View attachment 3062519View attachment 3062520View attachment 3062521View attachment 3062522

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3062523
Wewe baba una roho ngumu kweli. hukomi? hivi huyu hana ndugu angalau wamkanye.
 
Kama unaumia watanzania kumpenda Raisi wao na kumpongeza kwa uchapakazi wake basi wewe kunywa tu sumu UFE tu kabla hujafa kwa presha .
Fala Wewe toka umeanza kumsfia Rais kipi kilichobadilika kwenye maisha yako? Halafu Wewe huoni hata haya? Utawala unaousifia umekua na matukio ya hovyo huyaoni halafu hizi kelele unazipiga mitandaoni tu hebu jaribu kujitokeza mtaani na kispika halafu uwe unazungumza haya unayoyaandika humu. Kwanza Wazazi wengi mitaani wanalia Watoto wao wanatekwa na kuuwawa kinyama kwa kunyofolewa viungo na Rais ndio Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa vyombo vyote hachukuwi hatua yoyote kwa Wakuu aliowateua na Wewe kwa akili zako chafu kama Oil Chafu unakuwa unaandika ujinga tu humu. Jitafakari wewe. Kwanza huu utawala wengine tumekuwa ni Wahanga hatupati haki zetu kila sehemu tunakoenda tunaletewa mizengwe tu halafu nakushangaa boya kama Wewe unakuwa unasifia ujinga tu humu.
Nauchukia huu utawala kwa sababu Mimi ni Kijana niliye between 34-37 nilijitafutia mwenyewe hela ya kulipia chuo nikasoma nikapata Vyeti nikafanya kazi Kampuni kubwa idara nyingi kubwa kubwa za Serikali na Makampuni binafsi nikatengeneza CV yangu nzuri na Uzoefu wa kutosha, Kuna Mpuuzi fulani japo yeye ni Afisa wa Serikali katumia jina langu kumwingiza mdogo wake kazini nimepambana kwenda sehemu zote muhimu huwa anatrack mawasiliano yangu na huwa anaweka watu wake kila ninapokanyanga ili kunizuia halafu nakushangaa Mpuuzi kama Wewe unasifia sifia huwa napata hasira sana. na nitaendelea kukupinga na kukukatalia ikiwezekana kukutana uache huu ujinga wako unaoufanya. Ulishasifia tulishakusoma Sasa ni wakati wa wewe kutafuta Maspika na kutangaza barabarani sio humu.
 
Fala Wewe toka umeanza kumsfia Rais kipi kilichobadilika kwenye maisha yako? Halafu Wewe huoni hata haya? Utawala unaousifia umekua na matukio ya hovyo huyaoni halafu hizi kelele unazipiga mitandaoni tu hebu jaribu kujitokeza mtaani na kispika halafu uwe unazungumza haya unayoyaandika humu. Kwanza Wazazi wengi mitaani wanalia Watoto wao wanatekwa na kuuwawa kinyama kwa kunyofolewa viungo na Rais ndio Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa vyombo vyote hachukuwi hatua yoyote kwa Wakuu aliowateua na Wewe kwa akili zako chafu kama Oil Chafu unakuwa unaandika ujinga tu humu. Jitafakari wewe. Kwanza huu utawala wengine tumekuwa ni Wahanga hatupati haki zetu kila sehemu tunakoenda tunaletewa mizengwe tu halafu nakushangaa boya kama Wewe unakuwa unasifia ujinga tu humu.
Nauchukia huu utawala kwa sababu Mimi ni Kijana niliye between 34-37 nilijitafutia mwenyewe hela ya kulipia chuo nikasoma nikapata Vyeti nikafanya kazi Kampuni kubwa idara nyingi kubwa kubwa za Serikali na Makampuni binafsi nikatengeneza CV yangu nzuri na Uzoefu wa kutosha, Kuna Mpuuzi fulani japo yeye ni Afisa wa Serikali katumia jina langu kumwingiza mdogo wake kazini nimepambana kwenda sehemu zote muhimu huwa anatrack mawasiliano yangu na huwa anaweka watu wake kila ninapokanyanga ili kunizuia halafu nakushangaa Mpuuzi kama Wewe unasifia sifia huwa napata hasira sana. na nitaendelea kukupinga na kukukatalia ikiwezekana kukutana uache huu ujinga wako unaoufanya. Ulishasifia tulishakusoma Sasa ni wakati wa wewe kutafuta Maspika na kutangaza barabarani sio humu.
ephen_ kama huyu ndio Mtarajiwa wako hafai ni Bonge la fala tu dume zima linasifia mwanamke wakati wote. :Agakakskagesh::Agakakskagesh::Agakakskagesh:
 
Ndugu zangu watanzania,

Huu ni zaidi ya Upendo, Ni zaidi ya kukubalika, ni zaidi ya kila kitu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Kwa mafuriko yanayoendelea kushuhudiwa katika ziara za Mheshimiwa Rais wetu mpendwa, kwa hakika hakuna sababu Ya yeye kuanza kuzunguka Nchi nzima kupiga kampeni za Urais Mwakani.

Mama anapendwa na kukubalika mpaka wapinzani wanatetemeka kama wagonjwa wa homa kali. Wapinzani kwa sasa wamechanganyikiwa na kuvurugwa kabisa akili baada ya kuona mapokezi mazito ambayo hayajawahi kushuhudiwa hapa Nchini.

Kama Afrika ingekuwa ni nchi moja basi Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia ndiye angekuwa Rais kwa sasa.Anakubalika kwa watu mpaka Watu wanatokwa na Machozi ya furaha utafikiri wamepakwa pilipili machoni.
View attachment 3062519View attachment 3062520View attachment 3062521View attachment 3062522

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3062523
 

Attachments

  • IMG-20240806-WA0047.jpg
    IMG-20240806-WA0047.jpg
    49.3 KB · Views: 1
Mbona umechelewa kuniambia? Sisi tushafunga ndoa
Huyo Jamaa yako ni bonge la faala sana , kila siku kumsifia Mwanmke tu wakati huu utawala wengine tumekuwa Wahanga, Yaani Ada niitafute mwenyewe, Nisome Mimi, Nifanye na kufaulu mitihani na kupata vyeti halafu Wajinga wengine wanakuja ku trigger Jina langu wanapigia hela tu. najisikiaga hasira sana na haya mabandiko ya Jamaa yako humu
 
Huyo Jamaa yako ni bonge la faala sana , kila siku kumsifia Mwanmke tu wakati huu utawala wengine tumekuwa Wahanga, Yaani Ada niitafute mwenyewe, Nisome Mimi, Nifanye na kufaulu mitihani na kupata vyeti halafu Wajinga wengine wanakuja ku trigger Jina langu wanapigia hela tu. najisikiaga hasira sana na haya mabandiko ya Jamaa yako humu
Unapata wapi ujasiri wa kumuita mwanaume mwenzako fala?
Watch your mouth..!
 
Ndugu zangu watanzania,

Huu ni zaidi ya Upendo, Ni zaidi ya kukubalika, ni zaidi ya kila kitu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Kwa mafuriko yanayoendelea kushuhudiwa katika ziara za Mheshimiwa Rais wetu mpendwa, kwa hakika hakuna sababu Ya yeye kuanza kuzunguka Nchi nzima kupiga kampeni za Urais Mwakani.

Mama anapendwa na kukubalika mpaka wapinzani wanatetemeka kama wagonjwa wa homa kali. Wapinzani kwa sasa wamechanganyikiwa na kuvurugwa kabisa akili baada ya kuona mapokezi mazito ambayo hayajawahi kushuhudiwa hapa Nchini.

Kama Afrika ingekuwa ni nchi moja basi Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia ndiye angekuwa Rais kwa sasa.Anakubalika kwa watu mpaka Watu wanatokwa na Machozi ya furaha utafikiri wamepakwa pilipili machoni.
View attachment 3062519View attachment 3062520View attachment 3062521View attachment 3062522

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3062523
SIO KAMPENI TU! HAMNA HAJA YA UCHAGUZI HIZO HELA ZA UCHGUZI ZIKATUMIKE KWENYE MAMBO YA MAENDELEO
#MAMA SAMIA AWE MALIKIA MILELE
CC : ephen_ Palina FaizaFixy
 
Back
Top Bottom