Pre GE2025 Kwa haya Mafuriko ya Rais Samia, hakuna Sababu ya kampeni Mwakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
SIJAWAHI KUONA LUCAS MWENYE AKILI WOTE HUWAGA NI MINARA
 

Mafuriko ya mchongo.
 
Mafuriko ya mama yamewachanganya sana Ma CHADEMA
Tungekuwa hatujui hayo mafuriko yanapatinaje ndio yangetuchanganya. Watu wasiojitambua ndio mnaweza kuwahadaa na hayo mafuriko ya mchongo.
 
Tungekuwa hatujui hayo mafuriko yanapatinaje ndio yangetuchanganya. Watu wasiojitambua ndio mnaweza kuwahadaa na hayo mafuriko ya mchongo.
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, anaendelea kuteka mioyo ya mamilioni ya watanzania.Ndio maana unaona Watu wakimiminika na kufurika kama mchanga wa baharini katika mikutano yake
 
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, anaendelea kuteka mioyo ya mamilioni ya watanzania.Ndio maana unaona Watu wakimiminika na kufurika kama mchanga wa baharini katika mikutano yake
Narudia tena, kwa mazombie ndio mtawahadaa kwa hizo nyomi za mchongo. Tunaojitambua tunawachora tu.
 
Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe

Hivi wodi za mirembe zimejaa?
 
Mmejaza watoto wetu wa shule za msingi, secondary, vyuo, watumishi wa Halmashauri - mna taabu nyingi nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…