Kwa haya ya Baltazar, kuna nyaya kwenye maisha hupaswi kuzikanyaga na pia privacy kwenye mambo ya familia ni muhimu

Kwa haya ya Baltazar, kuna nyaya kwenye maisha hupaswi kuzikanyaga na pia privacy kwenye mambo ya familia ni muhimu

Unaweza kudhani ni kweli kabisa Mzee Baltazar alisafisha kweli wanawake 400; dunia ya sasa imekuwa ni mazombi, just play with social media.

they believe everything from the social media without critical analysis, cha ajabu hata vyombo vya habari now days vimekuwa useless, wapo busy na nani atakuwa wa kwanza ku post.

Hii imenikumbusha enzi ya Babu Seya, Baba Kaka na watoto wote sehemu moja wamebaka.

Mwisho kabisa inakuja kujulikana kuwa jamaa alikanyaga nyaya hatari. Hiki ndio kimemkuta Baltazari matokeo yake jamaa kachafuka na wameharibu reputation ya familia

Now days kuna AI na Machine learning ambazo ni ngumu kutofautishq outputs zake na original. Ndio kinachomkuta Baltazar baada ya kukanyaga nyaya Hatari kwenye pita pita zake ndani ya jengo kuu

Vijana tuwe makini, sio kila nyaya inayojileta unataka pita nayo, chunguza kwanza mtu wake anapower kiasi gani na how stronger uta handle mikiki, wanawake wengi wa vigogo ikulu wana stress hatari maana jamaa zao hawana
Muda na wanakuaga na multiple relationships kwenye heka heka zao na hata nguvu zinakuwa low to handle kwa ulienae ndani.

Matokeo yake ukimpata mtu wake na ukimgusa tu hakuachi halaf along the way wana lose control hadi jamaa yake anastuka…… WAFWA……kama Baltazar

Nguza alikanyaga nyaya za kigogo wa state mliona kilichotokea.

kitu kingine, vijana kwa dunia ya sasa it is not worth it kuweka family issue kwenye social media , siku ukijichanganya kwenye line za wahuni utakuja kunielewa

Hakuna ulazima watu kumjua mke wako au watoto zako, hata your Staff Members hawapaswi kujua anything about your spouse and family issue except work issues

we are not perfect

Kujichanganya ni kawaida in life, unaweza ukajikuta umeingia cha kike, hata kwenye financial conflict or property conflict, mapenzi.

Manipulations alizofqnyiwa Baltazar, Nguza na Hata Mzee Kimambi na wengineo inatupa akili tunapaswa kuwa makini kwenye pita pita zetu

Famili ya Baltazar ipo kwenye shame with fake videos just for the interest of one person at the top.

Kazi kwenu
Nimekuelewa sana ulipotaja AL and ML. Kwa wasiovijua hivi vitu wanaweza amini kweli kuwa mwamba kawalamba hao wanawake wote. Dunia inapoelekea utu unapotoshwa na mashine...
 
Mahali nimeona kuwa Balthazar alikuwa na kesi ya upotevu mkubwa wa pesa ya umma,

Wakamkata then wakaenda kwake wakachukua baadhi ya vitu vyake kama laptop ambayo waliifungua na kufanya yaliyoonekana

Ukisema nyaya ni kweli, siamini kama Balthazar ameyafanya yote

Vijana nendeni polepole.
 
Umeongea point kubwa sana ila hawa wavulana wa humu hawawezi kukuelewa kila kitu chao wanaweka kwenye social media halafu wanafanya mauchafu yao.......sio mambo ya kudate na wenye power tu hata hawa michepuko wa kawaida tu mtaani wanaua sana wake/watoto wa me kwa ushirikina
 
Tatizo kubwa watu hawajui how AI works . Halaf now days kuna tools za kufanya analysis za AI

AI DETECTOR IMESEma 💯 Ai, kwa mfano moja ya reasons iliyowekq AI detector ni hakuna proportional ya viungo vyao, mfano mikono, miguu na hata dick , sperms an blow job zao, voice modulation are not realistic , movement za sex are not realistic , miili yao kwa ujumla, kuna AI nyingine zilikuwa low quality …kwenye zile video … you can see hata kwa macho ya kawaida
Utaona most of the time jamaa ana cross his hands na kuweka kifuani….. that was low quality out put even local detectors can give you signal

Hivi why wa TZ NI washamba na mpo nyuma ya muda sana


Taifa linaloongoza kwa ujinga ni TZ , so easy to be manipulated; same as wanavoamini ishu ya p didy

All are fake and manipulative
Utachoka bure....
 
Mkuu watu hawajui hicho kitu, zile video mashaka yalianzia kwa ile yupo kwenye maji na ukiangalia vizuri soundi inapanda na kushuka halafu jamaa anaongea maneno Fulani sijui ni kihispaniola kile lakini yapo very similar kwa video zaidi ya 5 na Bado wale watu wanawake wote wanaonekana hawana hofu ilihali wote wanajua wanarecodiwa. Hivi kweli mke wa mtu utamrekodi vile na aendelee kufurahi tu?
Kuna video za kweli mule na za AI pia...
 
Mahali nimeona kuwa Balthazar alikuwa na kesi ya upotevu mkubwa wa pesa ya umma,

Wakamkata then wakaenda kwake wakachukua baadhi ya vitu vyake kama laptop ambayo waliifungua na kufanya yaliyoonekana

Ukisema nyaya ni kweli, siamini kama Balthazar ameyafanya yote

Vijana nendeni polepole.
Twende pole pole! Hivi mimi nikisema nimetembea nawe utakaa kimya? Halafu wewe ni mke wa boss na familia yako
 
Umeongea point kubwa sana ila hawa wavulana wa humu hawawezi kukuelewa kila kitu chao wanaweka kwenye social media halafu wanafanya mauchafu yao.......sio mambo ya kudate na wenye power tu hata hawa michepuko wa kawaida tu mtaani wanaua sana wake/watoto wa me kwa ushirikina
Naamini Hizi ni AI ila zinaakisi ukweli wa matukio. Kuwa hawa wake wa vigogo aliwapitia (ndiyo maana wapo kimya na mpaka mwingine kujiua)! Ila it’s impossible mke wa mtu kumrecord wakati anachepuka.

Ila kiuhalisia alitembea nao! Hivi unajua mwanaume kuambiwa kuwa mke wako amekazwa ni kashfa kubwa kwako! Mara ngapi watu wanafumania na kuua wanaume ila mkewe anamuacha. Hivi Makamu wa Rais mkewe atumuke naye akae kimya kama mtoto kapewa peremende. Think twice
 
Unaweza kudhani ni kweli kabisa Mzee Baltazar alisafisha kweli wanawake 400; dunia ya sasa imekuwa ni mazombi, just play with social media.

they believe everything from the social media without critical analysis, cha ajabu hata vyombo vya habari now days vimekuwa useless, wapo busy na nani atakuwa wa kwanza ku post.

Hii imenikumbusha enzi ya Babu Seya, Baba Kaka na watoto wote sehemu moja wamebaka.

Mwisho kabisa inakuja kujulikana kuwa jamaa alikanyaga nyaya hatari. Hiki ndio kimemkuta Baltazari matokeo yake jamaa kachafuka na wameharibu reputation ya familia

Now days kuna AI na Machine learning ambazo ni ngumu kutofautishq outputs zake na original. Ndio kinachomkuta Baltazar baada ya kukanyaga nyaya Hatari kwenye pita pita zake ndani ya jengo kuu

Vijana tuwe makini, sio kila nyaya inayojileta unataka pita nayo, chunguza kwanza mtu wake anapower kiasi gani na how stronger uta handle mikiki, wanawake wengi wa vigogo ikulu wana stress hatari maana jamaa zao hawana
Muda na wanakuaga na multiple relationships kwenye heka heka zao na hata nguvu zinakuwa low to handle kwa ulienae ndani.

Matokeo yake ukimpata mtu wake na ukimgusa tu hakuachi halaf along the way wana lose control hadi jamaa yake anastuka…… WAFWA……kama Baltazar

Nguza alikanyaga nyaya za kigogo wa state mliona kilichotokea.

kitu kingine, vijana kwa dunia ya sasa it is not worth it kuweka family issue kwenye social media , siku ukijichanganya kwenye line za wahuni utakuja kunielewa

Hakuna ulazima watu kumjua mke wako au watoto zako, hata your Staff Members hawapaswi kujua anything about your spouse and family issue except work issues

we are not perfect

Kujichanganya ni kawaida in life, unaweza ukajikuta umeingia cha kike, hata kwenye financial conflict or property conflict, mapenzi.

Manipulations alizofqnyiwa Baltazar, Nguza na Hata Mzee Kimambi na wengineo inatupa akili tunapaswa kuwa makini kwenye pita pita zetu

Famili ya Baltazar ipo kwenye shame with fake videos just for the interest of one person at the top.

Kazi kwenu
Sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom