Kwa haya yanayotokea ulimwenguni, tuombe au kusema nini mbele ya Mungu?

Kwa haya yanayotokea ulimwenguni, tuombe au kusema nini mbele ya Mungu?

Beesmom

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
17,202
Reaction score
28,732
Vita vya mtoto na mzazi, ndugu kwa ndugu, jirani kwa jirani, nchi kwa nchi na dunia kwa ujumla ni dalili mbaya iletayo hofu kubwa.

Sisi kwa sisi hatupendani kabisa, kila MTU anajua, anajitutumua, twaumizana kwa makusudi, yaani wale walioumbiwa upole wa moyo na matendo ndio wanazidi kuonewa, wapo kwenye mateso makuu hasa kwa kuangalia na kusikia mateso ya watu wengine (inaumiza sana moyoni jaman)

Tusemeni nini au tuombe nini mbele ya mwenyezi Mungu ili dunia iwe na unafuu (mnasikia matukio ya mauaji kwa wazazi, kulawiti watoto, vita maofisini sisi kwa sisi yaani kutenda dhambi now imekuwa fashion)

Tufanye nini ili tujenge amani, upendo na ustahilivu?
 
Elimu inatengeneza fursa ya kuishi kwa kuheshimiana. Nazungumzia elimu ya darasani
 
Hapana,usiseme ivo mkuu...Mwenyez Mungu hawez furahia ubaya mi nadhani binadamu tumejipa Uhuru sana kwa kila kitu hatuoni baya
Umesahau kwenye vita hata Mungu alikuwa na upande? Labda maisha yetu hapa dunia ni kama vile wewe unavyocheza PS labda na sisi ni PS yao
 
Back
Top Bottom