Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiwa serious utanikimbia...Huwez ukawa serious hata Mara moja tu.Ha ha haa
Kuna kitu utakua umewaza ndiyo maana umechekelea sana... Hahahaha😂😂😂😂nimecheka sana aisee
Mbona kwenye BIBLIA Kuna vita nyingi sanaa?Tutubu..tumrudie Mungu kwa kumaanisha
Ila hakika dunia inatisha kwa Sasa
Mimi nina masihara sana, ndiyo maana huaga sinaga stress...Kwann nikukimbie ingali tutakuwa tunaongea maongez serious
Kama unawaza unavyowaza, ushindwe kwa jina la...Ha ha haa,sina nyongeza
Njaa ilikuwepo hata zama za Wana Biblia..Siku za mwisho hizi matukio yaliyosemwa na Mungu mwenyewe lazima yatokee, na huo mwisho ndipo utakapokuja.
Baadhi ya matukio ni njaa,
Israel kwenye BIBLIA walipigana vita Vingi sanaa?vita,
Yalikuwepo mengi tu mpaka Tauni kuangamiza na kutesa baadhi kwenye BIBLIA.magonjwa,
Kwenye Biblia wapo kibaoo (Mungu bahari)manabii wa uongo,
Kaini, na kisa cha Yusuph na visa vyengine kama hivyo.tamaa na uchu wa madaraka.
Sasa mbona tokea enzi VILIKUWEPO?Umeuliza tuombe nini?
Mungu alisema muyaonapo haya, inuane vichwa vyenu, changamkeni mwisho umekaribia, Mshukuru Mungu kwa mafunuo haya unayoyashubudia Sasa akuwezeshe kufundisha wanao, mkeo, nduguzo, majirani ili kuutambua wakati.
Sawa,nimejifunza kitu...ni kwamba inatakiwa tuishi umoNjaa ilikuwepo hata zama za Wana Biblia..
Yusufu aliuzwa sababu ya njaa.
Israel kwenye BIBLIA walipigana vita Vingi sanaa?
Yalikuwepo mengi tu mpaka Tauni kuangamiza na kutesa baadhi kwenye BIBLIA.
Kwenye Biblia wapo kibaoo (Mungu bahari)
Kaini, na kisa cha Yusuph na visa vyengine kama hivyo.
Sasa mbona tokea enzi VILIKUWEPO?
#YNWA
Kaah!! Hizi shutuma siyo zangu i believe...Nimeona na nimeprove maana comments zinaendana....mtu anaweza jifeel special to you kumbe ni nothing. Ha ha haa ..meinyaka...u are always not serios
Hakuna pa kuchomokeaMtaalamu wa kazi, Shetani, shetty, Ibilisi, Azazzel, Devil, Satan, Beelzebub, Lucifer,
Akiwa kazini anapiga shift zote mchana na usiku
Yaani asipokukamata kwenye uzinzi atakushika kwenye Uongo, ukichomoka kwenye Wizi atakushika kwenye, Usengenyaji ukichomoka kwenye Uuaji unanaswa kwenye Chuki, Husda na Wivu.
Muongozo tafadhali now am serious... ngoja ni behave uu seriousness...Ha ha haa,sina nyongeza