Kwa haya yanayotokea ulimwenguni, tuombe au kusema nini mbele ya Mungu?

Kwa haya yanayotokea ulimwenguni, tuombe au kusema nini mbele ya Mungu?

Hakika mkuu, tuzidi kuitumainia tu kesho iliyo njema, kwa sababu tumewekewa ukomo katika fikra na hatuwezi kubadili uhalisia wa ulimwengu.
Kizazi mpaka kizazi


Aliharibu sauli na yuda eskarioti
 
Vita vya mtoto na mzazi, ndugu kwa ndugu, jirani kwa jirani, nchi kwa nchi na dunia kwa ujumla no dalili mbaya iletayo hofu kubwa.

Sisi kwa sisi hatupendani kabisa, kila MTU anajua, anajitutumua, twaumizana kwa makusudi, yaani wale walioumbiwa upole wa moyo na matendo ndo wanazidi kuonewa, wapo kwenye mateso makuu hasa kwa kuangalia na kusikia mateso ya watu wengine (inaumiza sana moyoni jaman)

Tusemeni nini au tuombe nn mbele ya mwenyez Mungu ili dunia iwe na unafuu (mnasikia matukio ya mauaji kwa wazazi, kulawiti watoto, vita maofisini sisi kwa sisi yaan kutenda dhambi now imekuwa fashion)

Tufanye nn ili tujenge amani, upendo na ustahili
Siku za mwisho hizi matukio yaliyosemwa na Mungu mwenyewe lazima yatokee, na huo mwisho ndipo utakapokuja.
Baadhi ya matukio ni njaa, vita, magonjwa, manabii wa uongo, tamaa na uchu wa madaraka.
Umeuliza tuombe nini?
Mungu alisema muyaonapo haya, inuane vichwa vyenu, changamkeni mwisho umekaribia, Mshukuru Mungu kwa mafunuo haya unayoyashubudia Sasa akuwezeshe kufundisha wanao, mkeo, nduguzo, majirani ili kuutambua wakati.
 
Leo umewaza nini, ila kiujumla Mungu hajachoka kutuacha Hadi sasa anavumilie akitegemea tutatubu na kurejea kwake
 
Siku za mwisho hizi matukio yaliyosemwa na Mungu mwenyewe lazima yatokee, na huo mwisho ndipo utakapokuja.
Baadhi ya matukio ni njaa, vita, magonjwa, manabii wa uongo, tamaa na uchu wa madaraka.
Umeuliza tuombe nini?
Mungu alisema muyaonapo haya, inuane vichwa vyenu, changamkeni mwisho umekaribia, Mshukuru Mungu kwa mafunuo haya unayoyashubudia Sasa akuwezeshe kufundisha wanao, mkeo, nduguzo, majirani ili kuutambua wakati.
Kweli kabisa
 
Binadamu tumekua, machoni kama watu, mioyoni hatuna utu...
Na unasema haipaswi kufanya kitu? Je huamini kuwa tukisimama mimi na wewe tunaweza angusha milima? Tunaweza Smart
 
Back
Top Bottom