Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ndilo anguko KUU.....Na tumepumbazika mazima...pesa imebeba utu
Yanii wee acha tu.Nimepita sehemu juzi aisee nilifadhaika snHakika mkuu...huruma kwa wanetu kizazi chao ndo balaa
Kutoka ndHilo ndilo anguko KUU.....
Pesa IMEFINYANGWA haswa na imani ya WHITE SUPREMACISM.....na imani hiyo adui mkubwa wa wanadamu WENGI WALIO WANYONGE......
Bahati mbaya sana TUMEKUWA MATEKA WAO.......
#YetzerHatov
#ShavuaTov
Mungu mwenyewe aingilie kati kwa kweliYanii wee acha tu.Nimepita sehemu juzi aisee nilifadhaika sn
We are all dead.TutakomaHilo ndilo anguko KUU.....
Pesa IMEFINYANGWA haswa na imani ya WHITE SUPREMACISM.....na imani hiyo adui mkubwa wa wanadamu WENGI WALIO WANYONGE......
Bahati mbaya sana TUMEKUWA MATEKA WAO.......
#YetzerHatov
#ShavuaTov
Rudieni umoja wenu wa Kiafrika.Vita vya mtoto na mzazi, ndugu kwa ndugu, jirani kwa jirani, nchi kwa nchi na dunia kwa ujumla ni dalili mbaya iletayo hofu kubwa.
Sisi kwa sisi hatupendani kabisa, kila MTU anajua, anajitutumua, twaumizana kwa makusudi, yaani wale walioumbiwa upole wa moyo na matendo ndio wanazidi kuonewa, wapo kwenye mateso makuu hasa kwa kuangalia na kusikia mateso ya watu wengine (inaumiza sana moyoni jaman)
Tusemeni nini au tuombe nini mbele ya mwenyezi Mungu ili dunia iwe na unafuu (mnasikia matukio ya mauaji kwa wazazi, kulawiti watoto, vita maofisini sisi kwa sisi yaani kutenda dhambi now imekuwa fashion)
Tufanye nini ili tujenge amani, upendo na ustahilivu?
Pole bestVita vya mtoto na mzazi, ndugu kwa ndugu, jirani kwa jirani, nchi kwa nchi na dunia kwa ujumla ni dalili mbaya iletayo hofu kubwa.
Sisi kwa sisi hatupendani kabisa, kila MTU anajua, anajitutumua, twaumizana kwa makusudi, yaani wale walioumbiwa upole wa moyo na matendo ndio wanazidi kuonewa, wapo kwenye mateso makuu hasa kwa kuangalia na kusikia mateso ya watu wengine (inaumiza sana moyoni jaman)
Tusemeni nini au tuombe nini mbele ya mwenyezi Mungu ili dunia iwe na unafuu (mnasikia matukio ya mauaji kwa wazazi, kulawiti watoto, vita maofisini sisi kwa sisi yaani kutenda dhambi now imekuwa fashion)
Tufanye nini ili tujenge amani, upendo na ustahilivu?
Vita vya mtoto na mzazi, ndugu kwa ndugu, jirani kwa jirani, nchi kwa nchi na dunia kwa ujumla ni dalili mbaya iletayo hofu kubwa.
Sisi kwa sisi hatupendani kabisa, kila MTU anajua, anajitutumua, twaumizana kwa makusudi, yaani wale walioumbiwa upole wa moyo na matendo ndio wanazidi kuonewa, wapo kwenye mateso makuu hasa kwa kuangalia na kusikia mateso ya watu wengine (inaumiza sana moyoni jaman)
Tusemeni nini au tuombe nini mbele ya mwenyezi Mungu ili dunia iwe na unafuu (mnasikia matukio ya mauaji kwa wazazi, kulawiti watoto, vita maofisini sisi kwa sisi yaani kutenda dhambi now imekuwa fashion)
Tufanye nini ili tujenge amani, upendo na ustahilivu?