Kwa haya yanayotokea ulimwenguni, tuombe au kusema nini mbele ya Mungu?

Na tumepumbazika mazima...pesa imebeba utu
Hilo ndilo anguko KUU.....

Pesa IMEFINYANGWA haswa na imani ya WHITE SUPREMACISM.....na imani hiyo adui mkubwa wa wanadamu WENGI WALIO WANYONGE......

Bahati mbaya sana TUMEKUWA MATEKA WAO.......

#YetzerHatov
#ShavuaTov
 
Hilo ndilo anguko KUU.....

Pesa IMEFINYANGWA haswa na imani ya WHITE SUPREMACISM.....na imani hiyo adui mkubwa wa wanadamu WENGI WALIO WANYONGE......

Bahati mbaya sana TUMEKUWA MATEKA WAO.......

#YetzerHatov
#ShavuaTov
Kutoka nd
Yanii wee acha tu.Nimepita sehemu juzi aisee nilifadhaika sn
Mungu mwenyewe aingilie kati kwa kweli
 
Hilo ndilo anguko KUU.....

Pesa IMEFINYANGWA haswa na imani ya WHITE SUPREMACISM.....na imani hiyo adui mkubwa wa wanadamu WENGI WALIO WANYONGE......

Bahati mbaya sana TUMEKUWA MATEKA WAO.......

#YetzerHatov
#ShavuaTov
We are all dead.Tutakoma
 
Rudieni umoja wenu wa Kiafrika.

Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
 
Pole best
 

Labda tuanze na huyu muumbaji je haya anayaona au hayaoni au tumeachwa huru tufanye kile tunachotaka kufanya,,,jambo lingine ni kwamba huwezi kumuweka mtoto na nyoka ndani ya chumba kimoja ukawa na matarajio ya kwamba mtoto ata mshinda uyo nyoka kama wakianza kupigana ikitokea kashinda mtoto basi ni huruma ya huyo nyoka lakini ki uharisia hakuna ushindi apo tunajidanganya tu kudhani kwamba shetani ni mwepesi kiasi cha kusema tunamuweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…