OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Umechelewa sana kujua hawa jamaa wako planted na serikalView attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Yaani huyo mzee mbowe ni mbinafsi sana kakubali kuwa kibaraka wa sa100 kwenye chama kikuu cha upinzaniTumtoe Rais katika hili, tupambane na tuliyemuona kama alama ya upinzani na demokrasia nchini kumbe naye ni mpinzani ndani ya chama na mminya demokrasia.
Heshima yote niliyokuwa nampa Mbowe nimeiondoa jana.
Tutakuwa na hoja gani endapo Rais aliyeko madarakani akiadhimia kuongeza muda?
Tangu lini uliwahi kumuunga mkono Mbowe na Chadema? Mbona siku ile ya maandamano Mbowe alikuwa peke yake na bintiiye tu? Eti leo sikuungi mkono! KUMBAVU!!View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Karibu CHAUMA nimekuwekea sitina sahani ya ubwabwaView attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Usimtaje tena huyo kirusi karibu ChaumaTumtoe Rais katika hili, tupambane na tuliyemuona kama alama ya upinzani na demokrasia nchini kumbe naye ni mpinzani ndani ya chama na mminya demokrasia.
Heshima yote niliyokuwa nampa Mbowe nimeiondoa jana.
Tutakuwa na hoja gani endapo Rais aliyeko madarakani akiadhimia kuongeza muda?
Mkuu uko sahihi mno mno. Mbowe nanadhani ameona maisha yake ya kisiasa yanafikia ukingoni, basi akaamua chama kife ili tu yeye afaidike. Miaka 20+ kwenye uenyekiti halafu anasema eti bado kuna kazi hajamalizia. Ni kama Samia alipokuwa anaambiwa katiba ni muhimu anasema tumpe muda alete maendeleo kwanza. Tushukuru sana hakuweza kuwa rais alipogombea kwani angekuwa rais wa maisha.Tumtoe Rais katika hili, tupambane na tuliyemuona kama alama ya upinzani na demokrasia nchini kumbe naye ni mpinzani ndani ya chama na mminya demokrasia.
Heshima yote niliyokuwa nampa Mbowe nimeiondoa jana.
Tutakuwa na hoja gani endapo Rais aliyeko madarakani akiadhimia kuongeza muda?
Mbowe yupo kwenye dili la kuwamilikicha WAZANZIBAR WAPUMBAVU NCHI YA TANGANYIKAView attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Ukimtoa majalaana samia bushiri kwenye hili umesha jichanganya tena unakuwa ujatumia akili ..leo mbowe akiitisha maandamano ya kumuunga mkono abaki madarakani bila hata ya kibari cha polisi yatafanyika bilashida yoyote tena hadi polisi waliovalia gwanda za chadema wataongeza nguvu ili kuonyesha kuwa muhuni mbowe anakubalika ...sasa jiulize kwanini?Tumtoe Rais katika hili, tupambane na tuliyemuona kama alama ya upinzani na demokrasia nchini kumbe naye ni mpinzani ndani ya chama na mminya demokrasia.
Heshima yote niliyokuwa nampa Mbowe nimeiondoa jana.
Tutakuwa na hoja gani endapo Rais aliyeko madarakani akiadhimia kuongeza muda?
Lissu alikuiteni tarehe 23/9 sijui mlikuwa wapi ndio alipanga kumpindua Mbowe!View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Ni furaha kubwa mbinguni mwenye dhambi mmoja akitubu,vivyo hivyo ni furaha kubwa duniani nyumbu mmoja akijitambua na kuacha unyumbu!。View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Naunga mkono hoja mkuu tupo pamoja 💯💯💯View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Fala wewe mpumbavu ndio anakutawala kelbu waheed.Mbowe yupo kwenye dili la kuwamilikicha WAZANZIBAR WAPUMBAVU NCHI YA TANGANYIKA