Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Tumuachie.chama.chake na machawa wake wamtumikie Mama Abduli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haitokaa tena ije itokee nisikilize kitu atakachosema Mbowe. Hivi umewahi kuona sehemu mtu kama Lipumba anahutubia ukakaa ukamsikiliza? Au jinsi tu unavyomchukulia baada ya ujinga aliofanya CUF? Basi kama jinsi ninavyomchukulia Lipumba na Mbowe namchukulia hivyo hivyo tangia jana. Ni tapeli, hanangwa, asiyejua wakati sahihi, mhuni mhuni na jambazi kwenye siasa. Ninachofurahi tumeona nyeti za kuku.View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Hayo unayofanya kuiua Chadema ndo CCM wanafurahia. Naona umeamua kumsafishia njia SSH 2025.View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
OKW BOBAN SUNZU ,View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Asilimia 35% ya wajumbe wa chadema wanamilikiwa na bwana ABDUL NA MAMA YAKE BUSHIRI hao wamesha pokea maelekezo kumpitisha BWANA DJ(let the music play) mbowe... bado machawa wa mbowe kati ya wajumbe ...tundu lissu kinacho weza kumwokoa ni hofu ya wajumbe kukiua chama baada ya kumtosa tundu lissu ....namshauri tundu lissu akikosa kiti ajitoe chadema na kujiunga na chama kingine kidogo kwa msingi wa yeye kupewa uwenyekiti ...maana vyama vyote vya upinzani vidogo na vikubwa vipo mikononi mwa tiss na policcm na ccm ni vyama BOSHENI TU ... au ajiunge na kile chama cha mtikila sikumbuki jina lake.Hata mm ni chadema toka enzi za Ndesa niko Moshi na chaguzi zoote kura yangu huws ni chadema.
Ila ktk hili mbowe ameniudhi na kunikatisha tamaa kabisa kwa kung'ang'ania kwake madaraka.
Uchaguzi mkuu ujao sitapiga kura popote labda Mbowe ashindwe na hilo sitegemei kutokea kwakuwa wajumbe wengi watakuwa ni machawa yake.
Ila uchaguzi ungekuwa unaamuliwa na wanachama Mbowe angeaibika kwa kura ambazo angeambulia!!.
Ile ilikuwa movie ya kijinga.Tangu lini uliwahi kumuunga mkono Mbowe na Chadema? Mbona siku ile ya maandamano Mbowe alikuwa peke yake na bintiiye tu? Eti leo sikuungi mkono! KUMBAVU!!
Hakuna kitu km hicho sio Mbowe..Lisu ndio mlitaka awe kibaraka wenu, Mashinji ana tofauti gani na Lisu au huyo rafiki yake Msigwa..Umechelewa sana kujua hawa jamaa wako planted na serikal
Na Mnyika mratibu wa maandamano alikuwa kwenye "maombi maalum" sio? Kadanganye wengine!!Ile ilikuwa movie ya kijinga.
Maigizo yaliyo dhahiri.
Viongozi wote walipigwa Pini magetini nyumbani kwao kasoro Mbowe hakujulikana yuko wapi Hadi pale alipoibukia eneo la kuandamana.
Takataka wa jalalani.....nenda mwana kwendaView attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Weka orodha kuanzia kwa Mashinji..hao wote wana tofauti gani na Lisu? Kati yao na Mbowe nani bado anapitia misuko suko..Mashinji Katibu Mkuu wa Chama alisaliti chama kwenda kuwa DC mashenzini huko..Lisu ni nyani si binadamu?Hata mm ni chadema toka enzi za Ndesa niko Moshi na chaguzi zoote kura yangu huws ni chadema.
Ila ktk hili mbowe ameniudhi na kunikatisha tamaa kabisa kwa kung'ang'ania kwake madaraka.
Uchaguzi mkuu ujao sitapiga kura popote labda Mbowe ashindwe na hilo sitegemei kutokea kwakuwa wajumbe wengi watakuwa ni machawa yake.
Ila uchaguzi ungekuwa unaamuliwa na wanachama Mbowe angeaibika kwa kura ambazo angeambulia!!.
Yale maandano yalikua geresha tu yalitakiwa yafanyike tanga sku tu baada ya kumzika kibao sio wiki tatu toka tukio amka usingizin ndo maana watu hawakwendaTangu lini uliwahi kumuunga mkono Mbowe na Chadema? Mbona siku ile ya maandamano Mbowe alikuwa peke yake na bintiiye tu? Eti leo sikuungi mkono! KUMBAVU!!
Mlitaka akina nani?Hakuna kitu km hicho sio Mbowe..Lisu ndio mlitaka awe kibaraka wenu, Mashinji ana tofauti gani na Lisu au huyo rafiki yake Msigwa..
..akili yenu ni km mlenda wa jana, akili ya kitoto kabisa, inaona kitu kimoja tu kati kati ya mambo mengi makubwa na yametajwa jana!Tumtoe Rais katika hili, tupambane na tuliyemuona kama alama ya upinzani na demokrasia nchini kumbe naye ni mpinzani ndani ya chama na mminya demokrasia.
Heshima yote niliyokuwa nampa Mbowe nimeiondoa jana.
Tutakuwa na hoja gani endapo Rais aliyeko madarakani akiadhimia kuongeza muda?
Mlichelewa sana......Anaetaka kuondoka unafikiri anaongeaga basi! ni vitendo tuu ...we sepaTumuachie.chama.chake na machawa wake wamtumikie Mama Abduli.
Unathibitisha hoja yangu.Na Mnyika mratibu wa maandamano alikuwa kwenye "maombi maalum" sio? Kadanganye wengine!!
KANYANGA LA CCM HILO NI POLICCM NA TISS NA CCM ....CHAMA BOSHENI ....AGENDA ILIYOPO MEZANI MWA BWANA ROSTAM AZIZI NI KUAKIKISHA VYAMA VYA UPINZANI VYOTE NI MILIKI YA CCM ..Twendeni CHAUMA