Kwa heri Chadema, sitakuwa siwezi kuwa chawa wa kumsafishia njia Samia

Kwa heri Chadema, sitakuwa siwezi kuwa chawa wa kumsafishia njia Samia

View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.

Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Wazee wa kulamba asali.
 
Naunga mkono hoja.
CHADEMA chini ya Mbowe imepoteza mwelekeo imekosa agenda hawajui hta wanapigania kitu gani.
Mabadiriko ya kweli yataletwa na umma wenyewe ukichoka madhila ya kuwa chini ya utawala wa chama kimoja Kwa muda mrefu.
Tusiwategemee hawa wanasiasa wenye ndimi mbili ambao kwao kipaumbele ni MATUMBO YAO na sio kuwa sauti ya wanyonge.
NB:Vijana msikubali kutumika na hawa wahuni wahuni CHADEMA mtakufa na kupata vilema vya kudumu huku wao wakifurahia kunywa mvinyo mwekundu na hawa watesi wetu.
Kama mlivyomuumiza lisu
 
View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.

Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Naunga mkono hoja yako!. Na Mimi pia sio mfuasi wa chadema tena.
 
Back
Top Bottom