Kwa heri Chadema, sitakuwa siwezi kuwa chawa wa kumsafishia njia Samia

Kwa heri Chadema, sitakuwa siwezi kuwa chawa wa kumsafishia njia Samia

Nilikuwa nawaangalia tu huku nikiwacheka mlipokuwa mnapambana na mambo ya CDM na hata wengine kupoteza maisha, dhambi hii ya watu kufa wakiamini wanapigania haki kupitia chama genuine kumbe nyuma ya pazia ni story nyingine itabebwa na Mbowe na wenzie.

CDM wasn't real na haitokuwa real, Mwenyekiti mliyekuwa mkimuimbia mwamba tuvushe alikuwa anawachora tu na kuchekea chumbani.
Nilibishana na watu juu ya COVID 19 nikawaambia Mbowe anajua mchezo wote na siajabu wanapiga ruzuku na pia kwenye hiyo deal alipiga mpunga mnenne.

CCM elite hawajali gharama kwenye survival na manipulation ili CCM iendelee kuexist.

Watu wengi na vijana wa sasa uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo Kwa macho ya kijasusi bado ni mdogo sana.
 
Tumtoe Rais katika hili, tupambane na tuliyemuona kama alama ya upinzani na demokrasia nchini kumbe naye ni mpinzani ndani ya chama na mminya demokrasia.

Heshima yote niliyokuwa nampa Mbowe nimeiondoa jana.

Tutakuwa na hoja gani endapo Rais aliyeko madarakani akiadhimia kuongeza muda?
Mimi ile move ya kutoka Gerezani mpaka Ikulu nilishamvua nyota zote Mchaga huyu.
 
Wanaangaika kupindisha sheria za chama ili Lisu apite njia kitonga. Chama akina ukomo wa nafasi unaweza kuwa kiongozi milele ata akiamua kumsubili mwanae akue ampe chama sawa tu.
 
View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.

Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Lisu akasajili chama chake ichi cha Mbowe na watoto wake watoto wakikuwa wakiwa tayali kuongoza mzee Mbowe atapunzika msiwe na alaka. Aka kama nimimi siku ya maandamano wote walikimbia nikabaki mm na mwanangu tu. Leo Eti aje mtu kutoka Singida afu inaonekana kama kalani wawazungu nimwachie vipi chama. KAKA MBOWE shikilia apo apo tupo nyuma yako Watanzania masikini tusio na pasport za kusafiria !!!! tumeona kongo ile ichi inaporwa na wageni na ndio Congo ilikuwa chini ya Ubelgiji inapigana vita miaka 30 sasa na ni Wakoloni makatili sana wameiba adi meno ya Wakombozi wetu. Mbowe ataki kung,qng,ania Madalaka lkn ikiwa atokei mgombea mwenye Uzalendo ni afadhali aendelee mzee Mbowe Chama Cha Wananchi kiongozi lazima awe na sifa nyingi ikiwemo sifa kuu Uzalendo. Mtu anatembea na pasport mkononi afu tumpe chama.!!!!! Kama yeye ni mwanasheria nguli ndio wakati sasa wakuonesha unguli wake kwa kuanzisha chama kipya. Asitegemee mawazo ya wenzie miaka na miaka walianzisha alakati afu yeye aje leo atuambie ichi sio sawa ichi sawa atutakii kasajili chako. Watu milioni 60 atujawai panda ndege au kuvuka mipaka yoyote.
 
View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.

Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Nyie wadudu wa CCM mnatafuta nini CDM?
 
View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.

Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Nadhani Mbowe anatuona hatuna akili ametufanya kuwa daraja lake
 
Lisu akasajili chama chake ichi cha Mbowe na watoto wake watoto wakikuwa wakiwa tayali kuongoza mzee Mbowe atapunzika msiwe na alaka. Aka kama nimimi siku ya maandamano wote walikimbia nikabaki mm na mwanangu tu. Leo Eti aje mtu kutoka Singida afu inaonekana kama kalani wawazungu nimwachie vipi chama. KAKA MBOWE shikilia apo apo tupo nyuma yako Watanzania masikini tusio na pasport za kusafiria !!!! tumeona kongo ile ichi inaporwa na wageni na ndio Congo ilikuwa chini ya Ubelgiji inapigana vita miaka 30 sasa na ni Wakoloni makatili sana wameiba adi meno ya Wakombozi wetu. Mbowe ataki kung,qng,ania Madalaka lkn ikiwa atokei mgombea mwenye Uzalendo ni afadhali aendelee mzee Mbowe Chama Cha Wananchi kiongozi lazima awe na sifa nyingi ikiwemo sifa kuu Uzalendo. Mtu anatembea na pasport mkononi afu tumpe chama.!!!!! Kama yeye ni mwanasheria nguli ndio wakati sasa wakuonesha unguli wake kwa kuanzisha chama kipya. Asitegemee mawazo ya wenzie miaka na miaka walianzisha alakati afu yeye aje leo atuambie ichi sio sawa ichi sawa atutakii kasajili chako. Watu milioni 60 atujawai panda ndege au kuvuka mipaka yoyote.
Ulisoma wapi broo?
 
View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.

Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Mbowe is a sell out, I wish tungemjua mapema before it was too late. Hivi kwa siasa moderate za Mbowe kuna matumaini kweli kumtoa Samia?

Mimi siwezi msupport tena huyu mzee, nitajiweka mbali na chadema mpaka siku tukikomboa chama kutoka kwa huyu fisadi.
 
View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.

Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Nimeamini CCM Pamoja na Samia wanamogopa saaana Lissu....upinzani umeshindwa kufanya mageuzi kisa huyu kibaraka feki mwamba.
 
Kumbukeni siku ya maandamano mlimuacha pekeyake na chama chake leo hamtaki agombee
 
View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.

Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Huyu bwana Lipumba wa CDM amekuwa "smart" kwa muda mrefu sana, tulichelewa sana kumjua vizuri.
 
Siku Mbowe alipoachiliwa toka jela kwa kesi ya kubunba ya ugaidi, na jioni kuwa Ikulu ndio ilikuwa alama ya hatari ya mwisho ya anguko la Chadema chini ya Mbowe.

Ingekuwa kwa Lissu kutangaza nia ya kuwa Mwenyekiti watu wengi wangekuwa gizani bado, so Lissu hata asiposhinda atakuwa amefanya jambo la maana sana.
 
Back
Top Bottom