Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Mshazidiwa kete basi mnatoa milio kama Mbwa Koko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣vivyo hivyo ni furaha kubwa duniani nyumbu mmoja akijitambua na kuacha unyumbu!。
Mimi ile move ya kutoka Gerezani mpaka Ikulu nilishamvua nyota zote Mchaga huyu.Tumtoe Rais katika hili, tupambane na tuliyemuona kama alama ya upinzani na demokrasia nchini kumbe naye ni mpinzani ndani ya chama na mminya demokrasia.
Heshima yote niliyokuwa nampa Mbowe nimeiondoa jana.
Tutakuwa na hoja gani endapo Rais aliyeko madarakani akiadhimia kuongeza muda?
Lisu akasajili chama chake ichi cha Mbowe na watoto wake watoto wakikuwa wakiwa tayali kuongoza mzee Mbowe atapunzika msiwe na alaka. Aka kama nimimi siku ya maandamano wote walikimbia nikabaki mm na mwanangu tu. Leo Eti aje mtu kutoka Singida afu inaonekana kama kalani wawazungu nimwachie vipi chama. KAKA MBOWE shikilia apo apo tupo nyuma yako Watanzania masikini tusio na pasport za kusafiria !!!! tumeona kongo ile ichi inaporwa na wageni na ndio Congo ilikuwa chini ya Ubelgiji inapigana vita miaka 30 sasa na ni Wakoloni makatili sana wameiba adi meno ya Wakombozi wetu. Mbowe ataki kung,qng,ania Madalaka lkn ikiwa atokei mgombea mwenye Uzalendo ni afadhali aendelee mzee Mbowe Chama Cha Wananchi kiongozi lazima awe na sifa nyingi ikiwemo sifa kuu Uzalendo. Mtu anatembea na pasport mkononi afu tumpe chama.!!!!! Kama yeye ni mwanasheria nguli ndio wakati sasa wakuonesha unguli wake kwa kuanzisha chama kipya. Asitegemee mawazo ya wenzie miaka na miaka walianzisha alakati afu yeye aje leo atuambie ichi sio sawa ichi sawa atutakii kasajili chako. Watu milioni 60 atujawai panda ndege au kuvuka mipaka yoyote.View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Nyie wadudu wa CCM mnatafuta nini CDM?View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Nadhani Mbowe anatuona hatuna akili ametufanya kuwa daraja lakeView attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Ulisoma wapi broo?Lisu akasajili chama chake ichi cha Mbowe na watoto wake watoto wakikuwa wakiwa tayali kuongoza mzee Mbowe atapunzika msiwe na alaka. Aka kama nimimi siku ya maandamano wote walikimbia nikabaki mm na mwanangu tu. Leo Eti aje mtu kutoka Singida afu inaonekana kama kalani wawazungu nimwachie vipi chama. KAKA MBOWE shikilia apo apo tupo nyuma yako Watanzania masikini tusio na pasport za kusafiria !!!! tumeona kongo ile ichi inaporwa na wageni na ndio Congo ilikuwa chini ya Ubelgiji inapigana vita miaka 30 sasa na ni Wakoloni makatili sana wameiba adi meno ya Wakombozi wetu. Mbowe ataki kung,qng,ania Madalaka lkn ikiwa atokei mgombea mwenye Uzalendo ni afadhali aendelee mzee Mbowe Chama Cha Wananchi kiongozi lazima awe na sifa nyingi ikiwemo sifa kuu Uzalendo. Mtu anatembea na pasport mkononi afu tumpe chama.!!!!! Kama yeye ni mwanasheria nguli ndio wakati sasa wakuonesha unguli wake kwa kuanzisha chama kipya. Asitegemee mawazo ya wenzie miaka na miaka walianzisha alakati afu yeye aje leo atuambie ichi sio sawa ichi sawa atutakii kasajili chako. Watu milioni 60 atujawai panda ndege au kuvuka mipaka yoyote.
Mbowe is a sell out, I wish tungemjua mapema before it was too late. Hivi kwa siasa moderate za Mbowe kuna matumaini kweli kumtoa Samia?View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Incumbent unamungushaje na kamati anaandaa mwenyewe ni sawa tu kuamini utaangusha CCM wakati kamati anateua Raiskwahiyo munakimbia uchaguzi ama?
Wewe kende unazingua kibushNenda uendako sisimizi wahed 😂🐼
Nimeamini CCM Pamoja na Samia wanamogopa saaana Lissu....upinzani umeshindwa kufanya mageuzi kisa huyu kibaraka feki mwamba.View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Huyu bwana Lipumba wa CDM amekuwa "smart" kwa muda mrefu sana, tulichelewa sana kumjua vizuri.View attachment 3182292
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia.
Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa kama CUF ya Lipumba. Sisi tuna akili, nenda peke yako bwana Mbowe kulamba viatu vya Samia. Kama ulitegemea tutakuunga mkono, basi ulichanga karata zako vibaya.
Hatutaondoka Jukwaa la Siasa, lakini sio kuunga mkono hotuba zako za kitapeli.
Tapeli Mbowe upepo umeanika uchi wakeMbowe kapata mwisho mbaya,heshima yake yote kaipoteza, kumbe angefanikiwa siku moja kuwa rais angefia madarakani asingeachia nchi, ahahahaha