benignusmulisa
Senior Member
- Feb 4, 2014
- 138
- 140
Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amedai DP World kwa miezi mitano tangu ianze kazi imekusanya Bilioni 325. Hii ni sawa na Bilioni 65 kwa wastani wa kila mwezi mmoja.
Natuzingatie hii ni miezi yenye meli nyingi na mizigo mingi. Kwa mwaka wa 2019/2020 Serikali ilikusanya Bilioni 901 kwa mwaka (12 miezi). Hii ni sawa na Bilioni 75 kwa wastani wa kila mwezi mmoja (1) kwa miezi 12.
Hapa kuna tofauti ya Bilioni 10 kwa kila mwezi. Source google mapato dar Port 2019/2020.
Ushauri: DP World walete mitambo hasa ya kupakua mizigo kutoka kwenye meli. Offshore gantry cranes. Wameleta mitambo ya kupanga container sio kupakua. Bandarini inaonesha bado wanatumia mitambo ya TICTS na ile mipya miwili ya Serikali. Kimakusanyo wamekuwa chini. Mungu ibariki Tanzania muhimu tuzingatie facts..
Natuzingatie hii ni miezi yenye meli nyingi na mizigo mingi. Kwa mwaka wa 2019/2020 Serikali ilikusanya Bilioni 901 kwa mwaka (12 miezi). Hii ni sawa na Bilioni 75 kwa wastani wa kila mwezi mmoja (1) kwa miezi 12.
Hapa kuna tofauti ya Bilioni 10 kwa kila mwezi. Source google mapato dar Port 2019/2020.
Ushauri: DP World walete mitambo hasa ya kupakua mizigo kutoka kwenye meli. Offshore gantry cranes. Wameleta mitambo ya kupanga container sio kupakua. Bandarini inaonesha bado wanatumia mitambo ya TICTS na ile mipya miwili ya Serikali. Kimakusanyo wamekuwa chini. Mungu ibariki Tanzania muhimu tuzingatie facts..